Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Polisi wamgomea Lissu kufanya mikutano Ngorongoro, yeye asema ataenda kwani sehemu hiyo sio Gereza

Ndiyo maana teuzi zipo kiukoo zaidi na siyo kiutendaji
Hatari sana kwa kweli.

wale Mungu atakaowajalia Umri mrefu wa kuishi walau kufika 2055, wajiandae kuulizwa maswali mengi na vijana wa miaka hiyo.

Maana itaonekana ni kama Nchi nzima haikuwa na watu wenye uwezo wa kuhoji wakati haya mabaya yakifanyika 🙌
 
Hatari sana kwa kweli.

wale Mungu atakaowajalia Umri mrefu wa kuishi walau kufika 2055, wajiandae kuulizwa maswali mengi na vijana wa miaka hiyo.

Maana itaonekana ni kama Nchi nzima haikuwa na watu wenye uwezo wa kuhoji wakati haya mabaya yakifanyika 🙌
Mi ntakuwepo na nitawaongoza vijana kuyachapa makaburi ya vijana wote wa miaka hiii
 
Mi ntakuwepo na nitawaongoza vijana kuyachapa makaburi ya vijana wote wa miaka hiii
Mungu akusaidie, InshaAllah 🙏

Ila tafadhali, utaniombea Msamaha kwa hao Vijana, kwamba Mkataba sikuupenda na kuonesha kutokubaliana nao tuliandika maoni yetu hapa JamiiForums hivyo msije kuchapa bakora kabuli langu nitakapokuwa nimelala usingizi wa milele 🤗
 
Samia ni zimwi kabisa, hivi huko Ngorongoro wanaficha kitu gani? huyu mwanamke ni mtu wa ajabu na hatari sana, asiye huruma kabisa.

Sasa ameamua kutumia cheo chake kuwanufaisha anaowajali yeye, wala hatujali watanganyika alioapa kuwatumikia.

Huyu mtu anastahili kabisa kupelekwa mahakamani kwa kukiuka kiapo alichoapa, amegeuka msaliti wa wazi kabisa asiye na chembe ya aibu.

Sitaki kuamini siku hizi ndani ya nchi yetu kuna sehemu hatutakiwi kukanyaga, huku ni kuvunja sheria makusudi, halafu akiambiwa ukweli anasema ameziba masikio na kutafuta uadui na watu, huyu dikteta mwanamke ni balaa kabisa.

Wajue tu, vile wanavyozidi kuzuia watu wasiende Ngorongoro ndivyo ambavyo wengi watataka kujua wanachoficha huko, iko siku ukweli utafahamika.
Ngorongoro ni hifadhi ya kidunia kwa sasa si ya Tanzania pekee.

Waliohamia humo ndani kuishi na wanyama, wote wanaondolewa na wameshapewa sehemu zingine za kuishi.

Lussu anataka kwenda kuhutubia fisi? Si akahutubie kwao kwenye mafisi wengi.
 
Polisi wamekataza mikutano yetu ya hadhara Ngorongoro. Juzi Serikali ya Samia imekataza wabunge wa Ulaya kutembelea eneo hilo. Wanaficha kitu gani? Licha ya jitihada za Serikali, Ngorongoro sio gereza & Wamaasai sio wafungwa wa gereza hilo. Sisi tutakuwa Ngorongoro kuanzia kesho!

Tundu Lissu
Mtandao wa X

Tunapenda kukufahamisha kuwa barua yako tajwa tumeipokea ikiwa na maudhui ya kufanya vikao vya ndani na mikutano ya hadhara maeneo ya kata 3 zizopo tarafa ya Loliondo na kata 3 zilizopo tarafa ya Ngorongoro.

Hata hivyo tarafa ya Ngorongoro ni eneo la Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro na kwamba kuingia na kutoka eneo hilo ni sharti kufuata taratibu zinazosimamia eneo hilo (kupata kiball kutoka Mamlaka ya Ngorongoro).

Aidha kwa upande wa tarafa ya Loliondo kulingana na tarifa mbaimbali tulizo nazo haziruhusu kufanya shughuli za kisiasa hasa mikutano ya hadhara.

Kutokana na sababu hizo hapo juu, tunaelekeza kwamba usitishe mikutano hiyo kwa sasa hadi wakati mwingine ambao utakuwa mwafaka kwa ustawi wa amani na utulivu wa wilaya yetu.
Ndo maana tunaambiwa Roliondo na Ngorongoro zimeuzwa ni mali ya waarabu. Huwezi ukaingia kufanya mikutano ya kisiasa nchi ya watu
 
MH tundu lissu ashasema anaenda kisheria polisi ni kuwaataarifu tu, wagome au wakatae ni maamuzi yao, natamani kua kama lissu yani haki yake anaipigania haombi anaichukua hii ni tofauti karibu asilimia 99.99 ya watz tunaomba haki zetu tubadilike kwakweli.
Tatizo la hifadhini ni kwamba huwezi kuingia mpaka upate kibali (permit) kutoka NCAA.

Kwahiyo Lissu hataweza kuingia bila permit.
 
Nadhani wanakosea. Rais Dkt Samia hataki uminyani ya uhuru wa siasa. Hawa polisi wanakosea. Mh. Lisu hata fanyeje hakubaliki kabisa. 2025 ni Dkt Samia pekee ndiye anapendwa zaidi. Polisi wamuache azurule atakavyo maana kukaa ndani ulaya kumemchosha sana. Ukizingatia hana mshahara hizo ndiyo per diem zake jamani.
Ndoto na sala za wavuta bangi.
 
Polisi wamekataza mikutano yetu ya hadhara Ngorongoro. Juzi Serikali ya Samia imekataza wabunge wa Ulaya kutembelea eneo hilo. Wanaficha kitu gani? Licha ya jitihada za Serikali, Ngorongoro sio gereza & Wamaasai sio wafungwa wa gereza hilo. Sisi tutakuwa Ngorongoro kuanzia kesho!

Tundu Lissu
Mtandao wa X

Tunapenda kukufahamisha kuwa barua yako tajwa tumeipokea ikiwa na maudhui ya kufanya vikao vya ndani na mikutano ya hadhara maeneo ya kata 3 zizopo tarafa ya Loliondo na kata 3 zilizopo tarafa ya Ngorongoro.

Hata hivyo tarafa ya Ngorongoro ni eneo la Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro na kwamba kuingia na kutoka eneo hilo ni sharti kufuata taratibu zinazosimamia eneo hilo (kupata kiball kutoka Mamlaka ya Ngorongoro).

Aidha kwa upande wa tarafa ya Loliondo kulingana na tarifa mbaimbali tulizo nazo haziruhusu kufanya shughuli za kisiasa hasa mikutano ya hadhara.

Kutokana na sababu hizo hapo juu, tunaelekeza kwamba usitishe mikutano hiyo kwa sasa hadi wakati mwingine ambao utakuwa mwafaka kwa ustawi wa amani na utulivu wa wilaya yetu.
KWANINI NGORONGORO AKATAZWE KUFANYA MIKUTANO KUNA NINI ?
AU KUNA CORONA ?
 
Loliondo nako ni kitalu cha kuwinda, nani alimwambia waliokodisha hicho kitalu na wageni wao wanaokuja kuwinda kuwa wanataka siasa?

Huyo mwehu anatafuta kiki kijinga.
Unatoa Jibu tofauti na Polisi, unamwakilisha nani? IBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Tukaombe idhini Dubai kwa Mali zetu? Yaani Sasa hata kupita Ngorongoro tukaombe idhini Dubai? Huu ujinga ubaki CCM na Dubai.
 
Back
Top Bottom