Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Sina shaka na lissu...hata wamkate mikono nina hakika atasimamia anachokiamini...
 
Daaah kumbe zile kauli huwezi kuzitoa ukiwa mzima aisee!
Watu wamepata pa kutokea hapo!!! sasa na wale wanaoshindwa kumjua Ngedere!! Hizi siasa za awamu hii............. Huko mbele Tanzania yetu itajiweka wapi na siasa zake kama nchi. KWA WA NJE WANAJIONEA SINEMA YA BURE
 
Wanafikiri hayo majibu ya mkemia yataaminika
 
Mkojo unahusiana vipi na uchochezi? Hii nchi ngumu sana kwakweli


BAADA KUTUMIA AINA HIZO ZA "KINACHOHISIWA", MTUMIAJI HUWA KATIKA HALI KUTOJITAMBUA NA KUPATA UJASIRI WA KUFANYA/KUROPOKA CHOCHOTE ANACHOFIKIRI NI SAHIHI. HEBU ANGALIA "MATEJA" WANAVYO JIAMINI MARA BAADA YA KUTUMIA HASHISHI/AFYUNI. MATOKEO YA KIPIMO CHA MKOJO HUONESHA KAMA MTU ANATUMIA VILEVI HIVYO. KWA HALI ILIVYO "INAWEZEKANA" HUYO ALIYETAJWA NI "TEJA MTANASHATI" TOFAUTI NA "MATEJA" WACHAFU WACHAFU MLIOWAZOEA
 
UNAWEZA KUMKATALIA MTU DHAMANA KUMBE MGONJWA, SASA AKIMALIZIKIA HUMO NDANI ZIKAZUKA TUHUMA ZINGINE
 
So wanahisi kavuta bangi right??
Ebu ngoja ni google nione huo mkojo wa mbunge wetu wanautaka wa nini......hawachelewi kusema tumekamata makontena19 ya makinikia kwenye mkojo wa muheshimiwa.
 
Duh kwumbe mkojo unaweza kuwa kifaa au zana ya kufanya uchochezi wacha nami nikapime wangu nijue kama nina vimelea uchochezi
 
Uchochezi .............. kipimo mkojo!!?

Mtu anatafitiwa kesi ya nguvu!! I hope hakula au kunywa kitu kwenye mazingira ya utata akiwa Kolokoloni!!
 
Dah...jamani nahamgaika na mtu mmoja anayeongea ila hajau-a!! badala ya kuhangaika na kundi la watu wanaou-a ndugu zetu hapa kibiti kweli jamani kweli...aghaaa....mnatengeneza woga kwa watanzania waliowapa kura wakiamini mtakuwa busy kulinda usalama wa nchi na kuleta amani ya taifa?

mnajua kwa sasa watu wamejawa hofu na chuki mioyoni mwao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…