matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Au alikimbilia kubonyeza trigger tuItakua haijafanyiwa services muda mrefu.
Unajua ili ufyatue risasi ni ka process yaan uweke RISASI CHEMBER, UWEKE USALAMA ON, THEN NDIO UBONYEZE TRIGGER.
Meneja amebisha kuwa sio yeye mbele ya mkewe na ndugu zake.Kwani meneja ye huko aliko anasemaje🤣🤣
Au ndo wewe yule?
Siyo usalama, ni kibaka tu wa kawaida, anayetamani vyeo visivyo kuwa vyake na anafanya kazi TRA. Hajawahi kwenda kozi hata ya siku moja ya usalma wa Taifa. Mpuuzi tu aliyelewa akaamua kuchukua sheria mkononi kisa malaya wa Massaki.MENEMENE TEKERI NA PERESI mwanangu umefanya nimevuruga ukimia wa hapa kijiweni kwangu. Sasa mkuu kama uko vzuri fanya mpango tumtafute Derick mitaa yote ya Obay, Masaki na Msasani tumshikishe adabu.
nyboma wafundeni hawa vijana wanaharibu Image ya Kitengo
Mkuu umesomeka! hujawahi kutuangusha. OverSiyo usalama, ni kibaka tu wa kawaida, anayetamani vyeo visivyo kuwa vyake na anafanya kazi TRA. Hajawahi kwenda kozi hata ya siku moja ya usalma wa Taifa. Mpuuzi tu aliyelewa akaamua kuchukua sheria mkononi kisa malaya wa Massaki.
Pia ana ukaribu na IGP wa sasa Camillius Wambura ( Mjomba wake), hivyo apuuzwe sio mtu wa kitengo.
Bahati mbaya ndivyo ulivyoeleweka. Lakini nakuamini kuwa haukuwa na nia ya kumpakazia yule binti.Nimezungumzia General na hasa nililenga kuwazungumzia sana hao wanaoitwa Wanauslaama, sikumlenga hasa huyo dada
Unaweka safety halafu ndio una shoot? Au sijakuelewa?Itakua haijafanyiwa services muda mrefu.
Unajua ili ufyatue risasi ni ka process yaan uweke RISASI CHEMBER, UWEKE USALAMA ON, THEN NDIO UBONYEZE TRIGGER.
Okay...Wakuu,
Baada ya kuwepo kwa video zinazosambaa mtandaoni kuhusu mwanaume mmoja aliyedaiwa kuwa ni Afisa wa Usalama wa Taifa mwenye jina la Derick Junior kumpiga raia kwa kitako cha bunduki wakati akiwa kwenye 1234 club huko Masaki, Jeshi la Polisi hatimaye limetoa tamko.
Kwenye tamko lao, Jeshi La Polisi limethibitisha kumkamata mwanaume huyo na kusema kuwa kwa sasa wako kwenye mchakato wa kumpeleka kwenye hatua nyingine za kisheria.
Aidha Jeshi la Polisi lilisisitiza kuwa litamchukua hatua kali mtu yeyote anayemiliki silaha na kuitumia isivyopaswa.
Soma pia: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi
Fa mchezo nini..🤣🤣Meneja amebisha kuwa sio yeye mbele ya mkewe na ndugu zake.
Hata ningekuwa mimi ningenishwa hata nikatwe kichwa kuwa yule sio mimi.