issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Bado mapema kuingiza Tanzania bara barani kwani tukiingia mapema mutahairisha uchaguzi ili mukajipange tenaKuanzia saa nane mpaka usiku? Nafikiri kama akili zake zinafanya kazi,atakuwa amegundua kuwa swala la kuwaingiza watz barabarani haliwezi kuwa jepesi kama alivyokuwa analichukulia.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app