Acha utoto wako kaa kwa Baba na mama yako kula ugali wa bureAlikuwa anatembea nae kuelekea wapi? Kiswahili kigumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto wako kaa kwa Baba na mama yako kula ugali wa bureAlikuwa anatembea nae kuelekea wapi? Kiswahili kigumu sana
Uzuri nanyi mnaishia jela...mi unakuwa umeniwahisha tu lakini mke anakuwa ameliwa tayari na kuliwa kwake ni tusi tosha kuwa wewe huwez kaz au umeoa mwanamke Malaya,nakufa nawe nakuachia shombo.😜We bisha sasa, Wake zetu wasitulie wawape mle mfe.
That's first degree muders, anyongwe tu,si angemuua mgoni wake pekee! That must be mental illness!Jeshi la polisi mkoani Kigoma linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji ya watu sita (baadaye alifariki Mtoto hivyo idadi ya vifo kufika7) bwana Peter Morris (33) wakati upepelezi ukiendelea.
Taarifa za awali zinadai Peter Morris alikuwa akimtuhumu January Mussa (marehemu) kutembea na mke wake.
=====================
Akiri kuua watu saba Kigoma kisa wivu wa mapenzi
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma limethibitisha kumkamata mkazi wa Mlole Manispaa ya Kigoma Ujiji Peter Moris ambaye ni fundi ujenzi akituhumiwa kwa mauaji ya watu saba wa familia moja katika kijiji cha Kiganza mkoani Kigoma yaliyotokea usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita
Akizungumza na Waandishi wa habari, Mkuu wa oparesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamishna Liberatus Sabas amesema mtuhukiwa Peter Moris amekamatwa Mjini Kigoma na wamejiridhisha kuwa mtuhumiwa ametekeleza mauaji hayo peke yake kwa kutumia panga na kwamba baada ya kumhoji amedai sababu ni marehemu January Mussa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wake.
Aidha Kamishna Sabas amesema wananchi wametoa ushirikiano mkubwa kufanikisha kukamatwa kwake na atafikishwa mahakamani mara baada ya uchunguzi kukamilika ambapo pia ameeleza kuwa idadi ya waliokufa imeongezeka baada ya mtoto aliyejeruhiwa kufariki mkoani Morogoro wakati akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya taifa ya muhimbili.
Kwa upande wake Mratibu wa kanda ya magharibi wa mtandao wa watetezi wa haki za Binadamu Tanzania THRDC Alex Luoga amelaani tukio hilo na kuitaka jamii kutumia njia sahihi na za kisheria kumaliza matatizo.
Naona vigumu kuamini habari hii. Watu sita ndani ya nyumba wanauawa na mtu mmoja wakiwa wamelala pasipo mmojawao kuamka na kupiga kelele. Hii imekaaje? Isijekuwa kakiri kwa kuchelea kipigo cha mbwa koko alichoshushiwa. Tubgoje tuone mwisho wake.Hizi taarifa za awali siziamini,kama ni polisi ndio wanasema hivi kuna walakini hapa,wameshindwa kufanya kazi wanakuja na taarifa za awali ili baadae ndio iwe imetoka hio.
Mtu unahisi anatembea na mkeo ndio uue familia nzima hadi watoto wadogo?halafu haohao polisi walisema waliofanya mauaji hayo sio mtu mmja,kuna shida hapa
Daaah unacompare pgo la kuuwawa na la aibu, Aibu huisha maisha huendelea muulize konde boyUzuri nanyi mnaishia jela...mi unakuwa umeniwahisha tu lakini mke anakuwa ameliwa tayari na kuliwa kwake ni tusi tosha kuwa wewe huwez kaz au umeoa mwanamke Malaya,nakufa nawe nakuachia shombo.[emoji12]
Chama Moko, Kaz kaz Chepuka uchapike.Yupo sahihi mke anauma haina mfano
Polich Washenz sana, Me siwez kuamini hilo jambo kama lilivyotaarifiwa labda waboreshe hoja nitawaelewa. Ila kama kwel Mwamba kafanya kaz pekeake basi apewe kazi Special Force Watu Wasiojulikana.Naona vigumu kuamini habari hii. Watu sita ndani ya nyumba wanauawa na mtu mmoja wakiwa wamelala pasipo mmojawao kuamka na kupiga kelele. Hii imekaaje? Isijekuwa kakiri kwa kuchelea kipigo cha mbwa koko alichoshushiwa. Tubgoje tuone mwisho wake.
Kuna mashaka hapa mkuu,hawa jamaa wanapenda matokeo ya haraka ili wakimbilie kwenye media kupata sifaNaona vigumu kuamini habari hii. Watu sita ndani ya nyumba wanauawa na mtu mmoja wakiwa wamelala pasipo mmojawao kuamka na kupiga kelele. Hii imekaaje? Isijekuwa kakiri kwa kuchelea kipigo cha mbwa koko alichoshushiwa. Tubgoje tuone mwisho wake.
Hivi huko kusema tunaenaendelea na uchunguzi wakati muhusika amekiri mwenyewe huwa wanachunguza nini hasaa? Wanampima kipimo kikubwa cha damu cha muuaji au?
Hana akili sasa kafanya nini si bora angejiua na yeye, mijanamke ipo kibao uswahilini si angeachana nae na kujitafutia mwingine. Mijitu ya bara haina hekima, ustarabu wala busaraHivi kwanini ule mali ya mtu tena iliyotolewa mali pia? Uku kwetu anakufa mhusika pekee afu fresh tu wazee wa kijiji wanahalalisha tukio.
Mianamike ipo mingi ndiyo ila Mama watoto ni mmoja tu Mkuu.Hana akili sasa kafanya nini si bora angejiua na yeye, mijanamke ipo kibao uswahilini si angeachana nae na kujitafutia mwingine. Mijitu ya bara haina hekima, ustarabu wala busara
hata mimi hainiingii akilini, mtu mmoja kuua watu wote peke ake???bila wengine hata kupambana etcHizi taarifa za awali siziamini,kama ni polisi ndio wanasema hivi kuna walakini hapa,wameshindwa kufanya kazi wanakuja na taarifa za awali ili baadae ndio iwe imetoka hio.
Mtu unahisi anatembea na mkeo ndio uue familia nzima hadi watoto wadogo?halafu haohao polisi walisema waliofanya mauaji hayo sio mtu mmja,kuna shida hapa
Kovu huwa halifutiki mkuu,why alinicheat? Why? Mbona pesa ninayo na nilimpa? Why mwee,lakin kwann😜Daaah unacompare pgo la kuuwawa na la aibu, Aibu huisha maisha huendelea muulize konde boy
Ataozea jela huyo kengeJeshi la polisi mkoani Kigoma linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji ya watu sita (baadaye alifariki Mtoto hivyo idadi ya vifo kufika7) bwana Peter Morris (33) wakati upepelezi ukiendelea.
Taarifa za awali zinadai Peter Morris alikuwa akimtuhumu January Mussa (marehemu) kutembea na mke wake.
=====================
Akiri kuua watu saba Kigoma kisa wivu wa mapenzi
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma limethibitisha kumkamata mkazi wa Mlole Manispaa ya Kigoma Ujiji Peter Moris ambaye ni fundi ujenzi akituhumiwa kwa mauaji ya watu saba wa familia moja katika kijiji cha Kiganza mkoani Kigoma yaliyotokea usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita
Akizungumza na Waandishi wa habari, Mkuu wa oparesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamishna Liberatus Sabas amesema mtuhukiwa Peter Moris amekamatwa Mjini Kigoma na wamejiridhisha kuwa mtuhumiwa ametekeleza mauaji hayo peke yake kwa kutumia panga na kwamba baada ya kumhoji amedai sababu ni marehemu January Mussa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wake.
Aidha Kamishna Sabas amesema wananchi wametoa ushirikiano mkubwa kufanikisha kukamatwa kwake na atafikishwa mahakamani mara baada ya uchunguzi kukamilika ambapo pia ameeleza kuwa idadi ya waliokufa imeongezeka baada ya mtoto aliyejeruhiwa kufariki mkoani Morogoro wakati akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya taifa ya muhimbili.
Kwa upande wake Mratibu wa kanda ya magharibi wa mtandao wa watetezi wa haki za Binadamu Tanzania THRDC Alex Luoga amelaani tukio hilo na kuitaka jamii kutumia njia sahihi na za kisheria kumaliza matatizo.
Wanachunguza kama kuna chanzo kingine tofauti na maelezo ya mtuhumiwa, labda huenda alitumwa au kuna alioshirikiana nao.Hivi huko kusema tunaenaendelea na uchunguzi wakati muhusika amekiri mwenyewe huwa wanachunguza nini hasaa? Wanampima kipimo kikubwa cha damu cha muuaji au?