Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Alifanya mambo gani Arusha?
Huchui Mary Chatanda alichowafanya CHADEMA kweli Arusha Au unacomment usichokijua?
Yaani CCM kushinda ni UOVU?
Mtaelewa nguvu ya Mary vizuri,
Yaani CCM kushinda ni UOVU?
CCM itatawala kwa miaka 500
Kama hawalioni swali lakoUdini hapo Vipi?
Mary ni mtu wa Arusha anatokaje Tanga MzeeAliongezwa akitokea Tanga ili kuja kupiga kura za meya wa jiji la Arusha.
Haiandikwi hivyo inaandikwa kleptomaniacHuyu si Cleptomaniac?
Unaelewa maana yake?Huyu si Cleptomaniac?
Asante kwa kunipa jibu zuri mkuu, hapo sasa nimeelewaAliyetoa jibu hapo juu hakuna anachokijua. Uwakilishi kutoka jumuiya nyingine (UVCCM, WAZAZI) kwenda UWT ni lazima awe mwanamke.
Hao probably watakuwa ni makatibu wa UWT kwenye wilaya au mkoa. Hivyo ni wajumbe halali wa mkutano. Makatibu ngazi ya wilaya kwenda taifa ni waajiriwa. Ni possible kuwa na katibu mwanaume kwenye jumuiya ya UWT.
Kama sivyo basi ni waratibu wa uchaguzi.
Nani huyo mkuu?
Sawa Mkuu.Haiandikwi hivyo inaandikwa kleptomaniac
Hapana mkuu sielewi.Unaelewa maana yake?
Chama chetu kinasonga mbeleAsante kwa kunipa jibu zuri mkuu, hapo sasa nimeelewa
Hao ni maiti wanaotembeaKwa hiyo awanyoshe Watanzania?. Mbona wakati fulani mna hoja za kipumbavu sana??. Talk about development Acha Uchawa na Ukunguni wa Kitoto.