econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Aliwanyooshaje?. Wakati ule ulikuwa ulaghai. Diwani wa mkoa mwingine wa Tanga analetwa Arusha ili to u kuongeza kura.