joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #61
Hahahaha, sasa mbona KQ waliandika kutaka waruhusie kuja Tanzania, mbona hayo mashirika mengine likiwemo fly540 yamekua yakifanya biashara hadi tulipowasimamisha na bado wanaomba kuruhisiwa kuendelea na Niagara?, hivi unajua idadi ya watalii kati ya Nairobi na Kilimanjaro na Kati ya Mombasa na Zanzibar?Mbona serikali ya kenya haikuiweka tanzania kwenye orodha ya nchi ambazo zimeruhusiwa kuingia kenya? Kwa sababu hawakukua na Nia ya kuanza Safari za moja kwa moja Hadi tanzania na ndio maana hata leo precision airline wamecancel Safari zao maana hawana wasafiri
Tuachaneni nae jama mwezi mchanga huyu ajui hata anachokiongea , hivi uwe na uoga wa kitu halafu ukifate!!. Yani wakifuatwa wanaogopa ila wakifata wao hawaogopi huyu jamaa ajitambuiKama ni waoga wa Corona, mbona wanataka ndege zao zije Tanzania kwenye Corona?, unazijua dalili za watu wanafiki?
Waulize Fly540 kama walikua hawapati abiria kwanini wanaomba mgogoro umalizike haraka ili waendelee na biashara?Soma taarifa uwelewe, wamesema weak demand meaning no travellers, ndege haiwezi ukafanya ruti ambazo hazina wasafiri watafanya losi.
Tanzanians are smarter can't elect stupid leaders like Uhuni Kenyatta, we are not corrupt neither tribalism like Kenyans.. Magufuli 95% victoryUmeona uhuru akionesha Nia ya mazungumzo? Tunasubiri uchaguzi uishe tufanye mazungumzo na rais mpya wa JMT Tundu Antipass Lissu jamaa anaejielewa sio kile kituko,kwa taarifa yako kuanzia tarehe 29 oktoba zile buku Saba unapewa pale lumumba Sasa Basi.
Kama kweli abiria walikuepo mbona Sasa precision airline wasichukue hao abiria ili shughuli zao ziendelee? Inakuaje precision airline wanaachiwa ruti lakini pia wanakosa abiria?.Waulize Fly540 kama walikua hawapati abiria kwanini wanaomba mgogoro umalizike haraka ili waendelee na biashara?
Serikali ya Tanzania imetoa onyo kwa shirika lolote la ndege linalotoa huduma kati ya Kenya na Tanzania kusimamisha hizo Safari kwa sasa zikiwemo kampuni za ndege za kukodisha, vinginevyo zitafutiwa usajili wao.Kama kweli abiria walikuepo mbona Sasa precision airline wasichukue hao abiria ili shughuli zao ziendelee? Inakuaje precision airline wanaachiwa ruti lakini pia wanakosa abiria?.
Hupati Tena buku Saba tutayazima hayo ,,2020 Ni yeye. Mulizani risasi zitaunyamazisha upinzani Ila umepata umaarufu zaidi, kutumia mabillion kutoka kwa mfuko wa umma kujijengea kiwanja Cha ndege kijijini kwako si ufisadi huo? Hebu leta hapa taarifa inayoonyesha ndege za atcl zikiwa na ruti yoyote ya chato , Kama sio yule jamaa wa kujimwambafai mwambafai yeye ndio anaenda huko na ndege ilihali uwanja umejengwa kutumia pesa za umma. Munawaengua wagombea kutoka vyama pinzani kuhuni kihuni eti ndio mshinde? This is 2020 my friend hayo Mambo hatukubali ,majimbo yote ambayo wapinzani wameenguliwa haswa Jimbo la ruangwa Hatutakubali mtu kupita kwa meza hio Ni kunyima wananchi haki Yao ya kikatiba.Tanzanians are smarter can't elect stupid leaders like Uhuni Kenyatta, we are not corrupt neither tribalism like Kenyans.. Magufuli 95% victory
Leta hio onyo hapa hatutaki maneno ya Katarina hapa.Serikali ya Tanzania imetoa onyo kwa shirika lolote la ndege linalotoa huduma kati ya Kenya na Tanzania kusimamisha hizo Safari kwa sasa zikiwemo kampuni za ndege za kukodisha, vinginevyo zitafutiwa usajili wao.
Wewe hushangai kuona kwamba makampuni matatu toka Kenya yalikua yanafanya biashara na wanapata wateja, iweje kampuni moja likiwa peke yake likose Abiria?
Hahahaha, kwanza tumalize hili la ndege ambalo tayari limewazidi nguvu, usijaribu kuvuruga mada, nimekustukia [emoji23][emoji23][emoji23]Hupati Tena buku Saba tutayazima hayo ,,2020 Ni yeye. Mulizani risasi zitaunyamazisha upinzani Ila umepata umaarufu zaidi, kutumia mabillion kutoka kwa mfuko wa umma kujijengea kiwanja Cha ndege kijijini kwako si ufisadi huo? Hebu leta hapa taarifa inayoonyesha ndege za atcl zikiwa na ruti yoyote ya chato , Kama sio yule jamaa wa kujimwambafai mwambafai yeye ndio anaenda huko na ndege ilihali uwanja umejengwa kutumia pesa za umma. Munawaengua wagombea kutoka vyama pinzani kuhuni kihuni eti ndio mshinde? This is 2020 my friend hayo Mambo hatukubali ,majimbo yote ambayo wapinzani wameenguliwa haswa Jimbo la ruangwa Hatutakubali mtu kupita kwa meza hio Ni kunyima wananchi haki Yao ya kikatiba.
Tunajua piaHivi mnafahamu hata wamiliki wa hiyo kampuni?
Hakuna heshima yoyote tutakayoikosa kwa kuwapuuza hawa. Sisi ni superior hilo lipo wazi, historia yetu inatubeba. Hatuna sababu ya kuitafuta heshima. A beast is a beast. Tanzania ni beast of Africa tangu Nyerere
MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.
Ok leta ushauri siyo kulalamika tu...Kenya wamepanga kuiangamiza Tanzania kiuchumi kwa kutumia Corona...wameruhusu watu wa nchi 130 wasiwekwe karantini lakini Tanzania hatumo...wana uhuru was kufanya hivyo kwani ni nchi huru...na sisi TZ tuna uhuru wa kufanya maamuzi kwa maslahi ya nchi yetu...TZ haiwezi kufa kwa 'sumu'....Wanaotumia 'sumu' kutaka kutuangamiza ndio watakaoumia na ikibidi hata kufa.....Kenya ni washenzi Sana...they can go to hell...jambo hili halina Afya kwa uchumi wa nchi zote mbili,Watalii waliopo kenya watafikaje Tanzania?Je ni vipi tutawashawishi watalii waliokua na nia ya kutembelea Mombasa,Malindi,Zanzibar,Serengeti na nk..wasicancel route zao.Tunahitaji kufikiri Upya kama huu mgogoro unatusaidia ama la,Kenya ilitaka kutumia Covid -19 Kuharibu image ya Tanzania lakini na sisi tumechagua njia ya sumu ambayo hata sisi inatupata,haina tofauti na kuweka sumu ya panya halafu umeacha ndoo za maji wazi panya akikimbilia humo atakuafa ndio lakini ataacha sumu kwenye maji yako.We have to rethink Again.
That is a diplomatic statement ila ukweli wakienda Kenya wanafutwa hapa TZ...Soma taarifa uwelewe, wamesema weak demand meaning no travellers, ndege haiwezi ukafanya ruti ambazo hazina wasafiri watafanya losi.
Hahahaha, tunapiga kata funua, unajua maana ya kata funua?Acha kushabikia ujinga ww!!!
SawaAnd that weak demand is because Kenyans in Tanzania have all come back so there are no people to carry. Watanzania hawapandangi ndege.
Umetumia nguvu nyingi sana kumjibu kilaza kama yuleKwani hao wakenya walipoamua kuweka vikwazo kwa watanzania kuingia Kenya hawakujua kwamba wanasumbua wafanya biashara wa Tanzania?, ulitaka tukae kimya au tuwapigie makofi?