Yaani asichokijua ,niwanaomzunguka ni wanafiki sana na amewaachia wajilimbikizie mali /yaani wanapesa sasa na ndizo watakazo mmaliza nazo akifikiri anajeshi la polisi.Nimeanza kuona awe makini sana 2025 kwa CCM itapasuka vipande vipande yaani upinzani wala hawana shida a deal na MaCCM tuShe won't get anywhere past 2025.
Yaani asichokijua ,niwanaomzunguka ni wanafiki sana na amewaachia wajilimbikizie mali /yaani wanapesa sasa na ndizo watakazo mmaliza nazo akifikiri anajeshi la polisi.Nimeanza kuona awe makini sana 2025 kwa CCM itapasuka vipande vipande yaani upinzani wala hawana shida a deal na MaCCM tu
Ccm wanamuendeshea kampeni mbaya sana ya Uzanzibari. Juzi nimeenda kijiji kimoja porini huko nimakuta hizo stori sikuamini, nilifikiri ni watu wa mjini tu wana hizo mawazo kumbe sio, hata bush wanazijua.Yaani asichokijua ,niwanaomzunguka ni wanafiki sana na amewaachia wajilimbikizie mali /yaani wanapesa sasa na ndizo watakazo mmaliza nazo akifikiri anajeshi la polisi.Nimeanza kuona awe makini sana 2025 kwa CCM itapasuka vipande vipande yaani upinzani wala hawana shida a deal na MaCCM tu
Mkuu it is true ,but kuna kizazi hiki cha sasa cha 2000 ,kuna fukuto kubwa sana hawatakuwezekana kwani hata wazazi wamewashindwa na sasa wameanza kuingizwa jeshini,JKTnk na pia wako kwa wingi kwenye ICT watavuruga ,dunia ijayo ya next 5 years sio nzuri .CCM inatakiwa wajiendeshe kisayansi na sio propaganda tena.Gap ya Wazee wenye nacho against vijana gap inakuwa kubwa sanaHii post ya kusadikika sana! Kwanza, Watanzania lazima tubadili mindset zetu, hivi ni wapi iliandikwa hao waliondolewa uwaziri walikuwa na hatimiliki za madaraka ya umma? Mawaziri wangapi waliwahi kushika hizo nafasi?
Pili, hiyo 32% imetoka source ipi ya kuaminika? 3. Mhe. Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni Mtanzania huo ukaburu wa Utanganyika na Uzanzibari hauna nafasi na haitafanya chochote .
4. Sioni uthibitisho wa kisayansi wa kitisho chochote cha Lissu. 5. Kufikiria gender katika uongozi sioni pia, najua Mhe. Rais anao uwezo wa uongozi kama binadamu. 6. Usipoteze muda hakuna wa kumtisha Amiri Jeshi Mkuu. 🙏🙏🙏
Ndio maana aliku dead mapema ,pressure was real to him on how to continue what he started.Udekiteta sioHata Magufuli hatukumkubali lakini alitutawala
Well said.Ndio maana aliku dead mapema ,pressure was real to him on how to continue what he started.Udekiteta sio
Nadhani yeye mwenyewe hana shida sana ya kuendelea na urais.Inaonekana wanaomzunguka ambao wananufaika na urais wake ndiyo shida.Angeilinda heshima yake kama angekubali kuwa yeye alikuwa ni Rais wa mpito kuelekea Rais atakayechaguliwa na umma. Sasa amejawa na tamaa, na kuamini anaweza kuchaguliwa, wakati kwa muda mfupi amefanya madudu mengi ikiwemo kupora rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi, wanafamilia na marafiki zake waliowezesha uharamia wa kuporwa kwa rasilimali za Tanganyika.
Umenena vemasamia hawezi kuongoza watu, kuanzia 2025 na yeye atakua anaongozwa
Hapa Sasa itakuwa ni "reject the gender balance order" siyo reject the finance billBado ana chance
Mfano,
Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...
Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.
vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.
Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Uko sahihi, ni kama wakati wa Magufuli tu, alipoona kuwa kuna watu hawampendi, akajua kura za halali zitamfanya aonekane kuna kundi kubwa halimpendi, hivyo ikabidi apore mchakato wa uchaguziz ili kupata kura alizotaka.Mjadala Wa hovyo sana huu. Hivi Samia ashindwe kwa tume ipi ya uchaguzi? Kura za nani zitakazohesabiwa za kumuondoa Samia madarakani. Polisi gani atakayesimamia vituo vya uchaguzi kuwazuia CCM kufanya wanavyotaka?. Samia labda akataliwe na CCM wenzie lakini siyo kwenye sanduku la kura. Tena, kwa taarifa yenu, kutokana na hizo kasoro mlizosema anazo, cjui, mwanamke, mzanzibar, ameuza Loliondo na Bandari, mnampa hasira tu za kushinda kwa kishindo kikuu km Kagame. Mana ni kuamua tu ngapi zitangazwe. Atangatazwa ameshinda kwa 99.9% ili kuwafunga midomo watu waliofikiria hatachaguliwa na CCM itatamba vibaya kwa ujambazi huo ktk uchaguzi. Mnaishi humu humu na hamuoni hali iliyopo, tena ni ya muda mrefu tu?
Hivi wewe unajua nguvu ya Rais na mwenyekiti wa CCM? Hakuna mjumbe wa mkutano mkuu anayeweza kuthubutu kufanya hicho unachodhani.. wanaweza kufyekwa nusu wa wajumbe wa mkutano mkuu na kuishia kupoteza uanachama. Mwalimu Nyerere akiwa mwenyekiti wa CCM alimvua madaraka yote aliyokuwa nayo Rais wa Zanzibar ndani ya saa 24.atashindwa kwenye kapu la mkutano mkuu maalum. kwa heshima yake hapungukiwi na chochote akiamua kuwaachiea wengine, itampa furaha na amani ya wakati wote wa maisha yake.
Hakuna ajuaye keshoUpinzani kuchukua nchi Bado sana tuache kujifariji
Wewe ni msaidizi wa Mungu?Tutaona huko tuendako, ila jambo moja tu ni kuwa Mungu hadhihakiwi.
Mimi ni Kuhani MkuuWewe ni msaidizi wa Mungu?