Huu utaratibu unawezekana ikiwa umeshatoka kwenye chain ya umaskini. Huwezi kuanza kula matango na mayai tu wakati kazi yako ni Kubeba magunia ya viazi sokoni.Asubuhi anakula tango moja na mayai mawili ya kuchemsha .na maji glass 4.jioni saa 11 anakula kipande cha boga na sangara aliechemshwa na limao na kitunguu .anashushia na juisi ya anapiga na glas4 za maji
Huyo Mzee kashavuka 60subiri ufike above 60 utajua hujui
Soda huwa sio nzuri, zina viwango vikubwa vya sukari. Tujitahidi kuziepuka.Yes Baghdad Sugar ilimpitia ,alisema alikuwa kwa siku anapiga hadi soda 15.
Hasanali alipungua kwasababu aifanya section alipigwa kisu South Africa.
Yes Boma Ye alipungua coz ya kuumwa.
Na Peter Msechu lile puto aliloweka kwa mbwembwe ili kupunguza unene naona halijamsaidia kitu.Yes Baghdad Sugar ilimpitia ,alisema alikuwa kwa siku anapiga hadi soda 15.
Hasanali alipungua kwasababu aifanya section alipigwa kisu South Africa.
Yes Boma Ye alipungua coz ya kuumwa.
Hapa anaongelea wenye vipato vya uhakika wewe enndelea kula tu kila kinapopatikanaAna nidhamu ya kula. Ishu ya kulakula inategemeana na uwezo wa mtu kupata chakula. Huwezi kupanga masaa ya kula kama huna uhakika wa kula utakulakula chochote kinacholiwa ukikutana nacho. Wengine hufakamia vyakula kwa kuwa wamevipata kama bahati na hawana uhakika wa kuvipata tena kwa hiyo wanavibugia. Unakuta mtu hana utaratibu wa kula kwa kuwa bajeti murua ya chakula hana. Wengine wana uwezo wa kupata chakula aina zote ila nidhamu ya kula hawana
Madhara ya sukari mwilini hayapo kwenye chai tu. Mwili hausemi kuwa hii ni sukari ya kwenye keki pita kulia, hii ni ya kwenye chai pita kushoto. Hata sukari ya kwenye matunda pia sio nzuri especially kwa haya matunda yatokanayo na GMO.Mkuu sukari ina umuhimu wake tusidanganyane ila tuambie tuwe na kiasi sukari is more than tea tuna matumizi nayo mengi
Jipu OMAD & 2MAD ni vitu gani mkuu?Mimi nifikisha miaka mitatu nikiwa na utaratibu wa OMAD na mara chache sana nafanya 2MAD nimepata matokeo mengi mazuri sana. Age mates wananiuliza niwape siri ya mafanikio huwa nacheka tu maana najua hawawezi.
Eti energy ya kukwepaNa tutawapigia wake zao sana, na wakileta ugomvi ni kuwazamba ngumi tu sababu hawana hata energy ya kukwepa
Siku ukipata type 2 diabetes utajua hujui.Mbinguni tutapata miili mipya
Anapenda ujiko,mbona Mimi sili kabisa na sijisifu.
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Hata wife kumfikisha kile..ni kwa mlo HUO sijui.Professor Amekosa Afya Hana Nuru Kabisa, Sasa Ulaji Gani Huo
Utaweza Kwenda Shamba Kulima
Mkuu vipi na chief godlove?🤣Yes Baghdad Sugar ilimpitia ,alisema alikuwa kwa siku anapiga hadi soda 15.
Hasanali alipungua kwasababu aifanya section alipigwa kisu South Africa.
Yes Boma Ye alipungua coz ya kuumwa.
OMAD Na 2MaD ndo nn mkuuMimi nifikisha miaka mitatu nikiwa na utaratibu wa OMAD na mara chache sana nafanya 2MAD nimepata matokeo mengi mazuri sana. Age mates wananiuliza niwape siri ya mafanikio huwa nacheka tu maana najua hawawezi.