Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Huu utaratibu unawezekana ikiwa umeshatoka kwenye chain ya umaskini. Huwezi kuanza kula matango na mayai tu wakati kazi yako ni Kubeba magunia ya viazi sokoni.Asubuhi anakula tango moja na mayai mawili ya kuchemsha .na maji glass 4.jioni saa 11 anakula kipande cha boga na sangara aliechemshwa na limao na kitunguu .anashushia na juisi ya anapiga na glas4 za maji