GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwahiyo Wewe Pimbi na Boya umeona ukianzusha Uzi wako kwa hii Biashara yako hautasomwa na ukaona upate Lifti ya GENTAMYCINE kupitia huu Uzi wake kwakuwa ni maarufu, anakubalika na anasomwa sana hapa JamiiForums ili Usomwe na Watu ( Members ) wengi?Post imekaa kichocheziView attachment 2765079
Pumbavu.Mleta uzi hebu jaribu kutafuta taarifa zinazohusu TISS hata kwa juu juu tu. Sio unaandika habari kama upo kwenye jukwaa la Utani, burudani na Vichekesho. Muda mwingine jaribu kutuliza akili yako na upost vitu vyenye tija.
Cc LIKUDA) Rais Samia hawasikilizi TISS
B) TISS wanampuuza na hawamsaidii Rais Samia
C) Rais Samia na TISS hawaaminiani Kitaarifa
D) TISS wanamchomesha makusudi kwa Majina anayoyateua ili akikosea Wananchi wamuone Rais Samia hana Uwezo
Chagua tu herufi iliyo sahihi na Jibu.
Mumeo?
Mkuu hivi unafikiri kila kitu hapa Tanzania ni kazi ya taasisiA) Rais Samia hawasikilizi TISS
B) TISS wanampuuza na hawamsaidii Rais Samia
C) Rais Samia na TISS hawaaminiani Kitaarifa
D) TISS wanamchomesha makusudi kwa Majina anayoyateua ili akikosea Wananchi wamuone Rais Samia hana Uwezo
Chagua tu herufi iliyo sahihi na Jibu.
Jibu jibu HILI kwangu nipigwe ban milele.Mumeo?
Jipende na jiamini mwenyewe kwanza. Halafu hizo habari za TISS mbona Evarist Chachali ameandika sanaGENTAMYCINE NI TAASISI SIO MTU. MODS PINGENI HILI GENTAMYCINE NI IDARA TIMILIFU KUANZIA MICHEZO MPAKA NDANI YA SERIKALI NA NI IDARA MAALUMU.
Kila nikitaka kufanya expz yake nazuiwa unaweza sema ni sheria ila dahJipende na jiamini mwenyewe kwanza. Halafu hizo habari za TISS mbona Evarist Chachali ameandika sana
Hiloo linaish Bush huko na kutaka kuaminisha watu linaishi Dar. Likitamani kuwa Mtutsi.Mumeo?
Mbona unajitahidi sana kumuita Mume lakini anakuchunia tu? Hujishtukii tu?
kweli ndugu yangu waziri ameona huyu Prof tena jina lake linaashiria ni Mgalatia ataleta taabuLabda Waziri hakumtaka
Kioara anapanga safu.Juzi Mhe. Rais Rais alimteua Prof. Kennedy Gaston kuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje (anayeshughulikia ushirikiano wa Afrika Mashariki). Ijumaa tar. 1 akaapishwa huko Zanzibar. Jumamosi akarudi nyumbani Dsm. Jana jumapili akaenda kanisani kutoa shukrani kwa kuteuliwa lakini jana usiku akafurushwa na kupelekwa ofisi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali. Yaani ameondolewa kwenye nafasi hata hajaingia ofisini.
Kwahiyo Prof. Kennedy ndiye Katibu Mkuu ambaye amedumu kwa kipindi kifupi sana maana ametenguliwa kabla hata hajaingia ofisini. Wizara ya mambo ya nje inaingia kwenye historia ya kuwa na Katibu Mkuu ambaye haijui ofisi. Kwa kuwa tayari alishaapa, jina lake litakuwepo kwenye orodha ya Makatibu wakuu wa wizara. Lakini "tenure" yake itakua siku moja, maana aliapishwa September 1 na kufurushwa September 3 bila kuingia ofisini.
Anyway, nadhani timu ya Rais inayoshughulika na "vetting" za viongozi haifanyi kazi yake ipasavyo. Huwezi kumteua Katibu Mkuu wa wizara nyeti kama ya Foreign kwa kubahatisha. Kama walikua hawana uhakika nae wasingemteua. Bora nafasi ingebaki "vacant" kuliko kumteua mtu leo na kumuondoa kesho.
Inaonekana hakuna umakini kwenye teuzi. Maafisa wanaomsaidia mama wanapuga ramli. Na hii si mara ya kwanza. Kuna jamaa mmoja aliwahi kuteuliwa DED na DAS kwa wakati mmoja. Ikaleta gumzo hadi yakafanyika mabadiliko. Timu ya "vetting" imsaidie Rais vizuri. Iache kufanya betting. Taarifa ya Ikulu haipaswi kuwa ya kubahatisha, inapaswa iwe firm and legitimate. Isiwe kama taarifa ya vicoba vya Mburahati. Fanyeni vetting sio betting.!
Malisa JG