Hahahaa hata Mwl nyerere hakumuona huyo?
..Katika ma-cj na ma-ag wote kabla ya magufuli hakuna hata mmoja aliyeteuliwa toka miongoni mwa wahadhiri wa udsm.
..sidhani kama hiyo inamaanisha kwamba wahadhiri waliokuwa kitivo cha sheria hawajui sheria au ni wabovu kitaaluma.