Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Uraia wa Asad ni upi? Wauza Bandari ni kina nani?
Nyinyi ndio wale Assad aliosema ni mbumbu mbumbu mnaburuzwa na kundi la kina Tundulisu, hoja zimetandikwa wewe kama ni kidume pindua
 
shida ya profesa wako, bado anawaza kuteuliwa kuwa C.A.G, ndio maana kasoma upepo wa mama na makada mmejaa, hamna kitu humo.

awaachie wakina professa shivji, watueleze kuhusu sheria, yeye ni nani kwenye sheria, ana uelewa wa nini,? na mbaya zaidi maoni ni conclusive ya kutukana waliotoa uchambuzi wa kisheria
nyinyi ndio wale madebe matupu., hoja zimewekwa very clear wewe kama kidume pindua, hao ndio wachumi sio kina Tundulisu muliezoeshwa eti mwanasheria kila mtu husimama kwa nafasi yake, si kila mtu anaweza kutoa mawazo kwa lazima kwa jambo asilolifahamu, huyo jamaa ni mchumi balaa
 
Basi itabidi Kila mtanzania aende kuhudumia kwa siku pake ikulu km rais kwani Kuna nini cha ajabu
Kwa akili yako ndogo huoni kama mikataba ni kwa maslahi ya nchi na wananchi wake? Kwani mkataba kuwekwa kwenye mtandao ni dhambi? Mbona nchi za wenzetu wanaweka? Nini ambacho wao wanacho na sisi hatuna?
 
Kwa akili yako ndogo huoni kama mikataba ni kwa maslahi ya nchi na wananchi wake? Kwani mkataba kuwekwa kwenye mtandao ni dhambi? Mbona nchi za wenzetu wanaweka? Nini ambacho wao wanacho na sisi hatuna?
Kwa akili yako watanzania wanaweza kuelewa mikataba ya kitaalamu? Unalinganisha uelewa wa watanzania na nchi zilizoendelea ambazo asilimia tisini ya watu wao wamefika vyuo vikuu? Yaani hawa watanzania ndio wasome mkataba wauelewe Kama si kutaka chaos ni nini? Acha wanasheria tuliowasomesha wafanye kazi kwa niaba yetu mpk pale watu wetu watakapokuwa na uwezo wa kuchambua mambo. Umepata hukumu ya kesi Mbeya? Ujinga mwingi sana nchi hii.
 
Kwa akili yako watanzania wanaweza kuelewa mikataba ya kitaalamu? Unalinganisha uelewa wa watanzania na nchi zilizoendelea ambazo asilimia tisini ya watu wao wamefika vyuo vikuu? Yaani hawa watanzania ndio wasome mkataba wauelewe Kama si kutaka chaos ni nini? Acha wanasheria tuliowasomesha wafanye kazi kwa niaba yetu mpk pale watu wetu watakapokuwa na uwezo wa kuchambua mambo. Umepata hukumu ya kesi Mbeya? Ujinga mwingi sana nchi hii.
So kwa sababu tu hawawezi kuelewa mikata right? So wewe umeelewa si ndio?
Yes, ya Mbeya imeenda kama RA alivyosema, hii hata sisi wengine tumespeculate kuwa Nini kimetokea pale tulipoona kuwa nchi imeamia mbeya obvious matokeo yalishajulikana kabla.
 
Dini zimeondoa uwezo wa kufikiri

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Pole sana mkuu DA DON, umekuwa ukitumia nguvu nyingi ku-copy na kupaste hivyo vifungu saba kama kasuku vile kwa takriban miezi miwili humu JF. Leo mmeangukia pua kule Mbeya.
 
So kwa sababu tu hawawezi kuelewa mikata right? So wewe umeelewa si ndio?
Yes, ya Mbeya imeenda kama RA alivyosema, hii hata sisi wengine tumespeculate kuwa Nini kimetokea pale tulipoona kuwa nchi imeamia mbeya obvious matokeo yalishajulikana kabla.
Nilielewa na ndio maana tunawaelemisha Kila siku mnakaza mafuvu kujiona wasomi saana. Mlispeculate mkaenda kuchukua nini mahakamani msiyo na Imani nayo...acheni mihemko tujenge nchi. Nchi hii ni yetu wote watanzania bado tuna safari ndefu tuungane tujikwamue acheni kutumikia mabeberu. Kila kitu mnapinga mnajiona mna akili sana haya umeme wa Nyerere dam ukataeni Sasa.
 
Nilielewa na ndio maana tunawaelemisha Kila siku mnakaza mafuvu kujiona wasomi saana. Mlispeculate mkaenda kuchukua nini mahakamani msiyo na Imani nayo...acheni mihemko tujenge nchi. Nchi hii ni yetu wote watanzania bado tuna safari ndefu tuungane tujikwamue acheni kutumikia mabeberu. Kila kitu mnapinga mnajiona mna akili sana haya umeme wa Nyerere dam ukataeni Sasa.
Kijana, Mi najitegemea, jeshi la mtu mmoja, silambi buti la mtu yoyote, tofauti na nyie walamba buti, nakuhakikishia ndani ya miaka mitatu baada ya mangungu wa msowelo kuchukua Bandari utakuwa wa kwanza kulaumu.
RA alishasema Hizi mahakama hazina maamuzi hilo hatuhitaji kulijadili, Mi sio mpinzani kama unavyodhani, ila sio mlamba boot.
Hili sio suala la kujiona au kushindana akili, ni maslahi mapana na mustakabali wa nchi yetu, tutafahamiana uko mbeleni, trust me.
 
Mambo ya afya tuwaachie madaktari, mambo ya uchumi tuwaachie wachumi, mambo ya fedha tuwaachie wanamahesabu, mambo ya sheria waachie wanasheria.

Renowned lawyers like Professor shivji walishaongea, wewe ni nani katika sheria?
Ujui kuwa kuna kitu kinaitwa Business Law...ahahahaa wale wahasibu wanajua vzuri
 
Huyu ni mtaalamu wa finance mambo ya sheria amwachie Prof Issa Shivji.
Kuna kitu kinaitwa business Law....sijajua kama wanasheria wanasoma hili soma,ila watu wa uchumi wanalijua vzuri
 
Contentious terms of the contract Prof Tibaijuka hawezi kuzifasiri maana siyo taaluma yake, ndo maana unaona ameishia kuvurunda tu, amefasiri kwa Uelewa wake wa Kiingereza na amepotosha meeengi tu
Mimi Naona ungeandaliwa mdahalo ili mbivu na mbichi zitenganishwe
Wenye taaluma Yao ya sheria ndio akina Shivji na wao hawajatofautiana na Tibaijuka hivyo kuwa kavurunda kama alivyovurunda sheikh Assad ni imagination yako tu!!
 
Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi

[emoji1485] Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu. (Sikiliza zaidi)

[emoji1485] Ukomo hauwekwi kwenye IGA, bali kwenye mikataba ya chini (Projects Agreements). (Sikiliza Zaidi)

Profesa Assad ametoa majibu mazuri kabisa, na huyu ndio Profesa wa kweli sasa, sio wale wengine akina Tibaijuka na Shivji, wachumia tumbo tu, Sikilizeni nondo kutoka kwa Prof.

View attachment 2712096
View attachment 2712097
View attachment 2712098
View attachment 2712099


Prof. Assad: Kuongeza kodi hakusaidii pato la Nchi
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amesema Nchi zilizofanikiwa sio ambazo zilifanikiwa kuongeza kodi.

Akizungumza katika mahojiano na Channel Ten, Profesa Assad amesema “Kwa mfano kiwango cha Kodi ya Kampuni Nchini ni 30%, hicho ni kiwango kikubwa sana, Taifa kama Ireland ni moja ya Nchi zilizovutia wawekezaji wengi Ulaya, kiwango chao cha Kodi ni 18%.”

Ameongeza kuwa haungi mkono kupanda kwa kodi kwa kuwa ikishushwa makusanyo yake yatapanda na kusaidia Nchi.


Prof. Assad: Mamlaka zishiriki kukuza wafanyabiashara wadogo sio kusubiri mpaka wakue
“Tuwafundishe watu umuhimu wa uwekaji wa hesabu za fedha, si kwa sababu ya kukusanya kodi, akiweka hesabu zake vizuri miaka mitano sita atahitaji mkopo wa benki, baada ya hapo atakata leseni na tutatoa kodi kidogokidogo,” - Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (#CAG), Profesa Mussa Assad.

PROF. ASSAD: MKATABA WA BANDARI UNAHUSU HAKI ZA ARDHI SIO UMILIKI
Akitoa maoni kuhusu uwekezaji wa DP World katika Bandari, aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (#CAG), Profesa Mussa Assad amesema tatizo ni dhana ambazo si nzuri kufikiri kuwa wawekezaji watafanya vitu ambavyo havifai pamoja na watu ambao sio wataalam husika kulisemea jambo hilo.

Akizungumza katika mahojiano na Channel Ten, amesema “Kuna wataalam wa uwekezaji wakiwemo Wanasheria wa Uwekezaji japo ni wachache lakini sisi tunawasikiliza Wanasheria wa Kodi, Wanasheria za Familia, Wanasheria wa mambo ya kampuni ambao ndio wameingia katika maeneo ambayo hayana tija na kusababisha dhana mbaya.”

Ameongeza “Watu wengi si wataalam wa uwekezaji, kipengele kinachozungumziwa katika mkataba ni Haki za Ardhi, sio umiliki, wanachomaanisha ni haki ya utumiaji lakini mmiliki ataendelea kubaki Shirika la Bandari, kuhusu suala la ukomo wanaweza kuweka hata miaka 25 au 30 basi ili watu wakafurahi.”

Nadhani amechoka kutotolesha mayai kuke koymta za chuo huenda biashara ishakuwa ngumu kwake, sasa anasifia sifia angalau aonekane.
 
Nawaza hii issue ya Bandari kama Rais angekuwa Magufuli halafu Assad ndio akapewa nafasi kutoa maoni yake sijui yangekuwa hayo hayo au kungekuwa na mabadiliko?
Yale majibu ya asadi ni kama dongo upande wa mamlaka kama hujamuelewa
 
Back
Top Bottom