Wapi kwenye mkataba huo wamesema/wameandika wakishindwa kufikia hayo malengo basi watavunja huo mkataba?Hakuna sehemu IGA imeandika wakifanya vizuri watapewa hayo maeneo mengine au hata mimi kuandika hivyo; hayo umeyatoa kichwani kwako tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi kwenye mkataba huo wamesema/wameandika wakishindwa kufikia hayo malengo basi watavunja huo mkataba?Hakuna sehemu IGA imeandika wakifanya vizuri watapewa hayo maeneo mengine au hata mimi kuandika hivyo; hayo umeyatoa kichwani kwako tu...
Huu mkataba unapigiwa debe sana sana kwani kuna nini jamen? Mbona sio kawaida ya serikali kufanya hivi?Hakuna sehemu IGA imeandika wakifanya vizuri watapewa hayo maeneo mengine au hata mimi kuandika hivyo; hayo umeyatoa kichwani kwako tu...
Una faida kubwa sana kwa Tanzania, hata mimi nilikuwa against it maana sikuona tija ukizingatia serikali ilikuwa imeongeza kina cha kupokea meli kubwa na washaanza kununua baadhi ya cranes; so nikaona hawa waarabu wanakuja kufanya nini zaidi ya kuvuna tu kwa jasho la watanzania.Huu mkataba unapigiwa debe sana sana kwani kuna nini jamen? Mbona sio kawaida ya serikali kufanya hivi?
Ni lini mhasibu akafanya mikataba?Tuwaheshimu wana sheria huyu ni muhasimu na ndiyo maana watu walimuomba mwanasheria mkuu aelezee!Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi
👉🏾 Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu...
Sio IGA tu sheria yoyote inayopitishwa na bunge hata za ndani baadhi ya vipengele vyake ni sehemu ya mkataba (wanaita ‘implied terms by law).Mwabukusi said" this is a binding contract kwamba IGA ndio foundation ya mikataba midogomidogo itakayosainiwa baadae na serikali ikiwa kama umezingua kwenye IGA hautaweza kurekebisha kitu" mwsho
Hajui chochote kuhusu Sheria jina lisikutishe. Kasome vitabu vyake ni philosophy tupu hana loloteNilikuwa namsubili kwa hamu iliathibitishe
Inaweza kabda ujazaliwa mwenzio anafundisha sheria
Hahahaa hata Mwl nyerere hakumuona huyo?..Prof.Shivji kutokuteuliwa na Rais kuwa AG, CJ, haimaanishi kuwa sio miongoni mwa manguli wa sheria hapa Tanzania...
Wewe umejuaje kama alijulishwa kupata uteuzi akakataa?Elewa kwamba teuzi nyingi kabla ya kuteuliwa ujulishwa kuona kama utaridhia. Shivji ni miongoni mwa watu walio taka kujikita kwenye fani yake tu. Yeye anajua ukikutana nae atakuelezea....
Kwa hiyo yeye anauelewa?Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi
👉🏾 Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu...
Hizo project agreements foundation zake si ndo IGA?? yan wakiwa wanatengeneza hizo agreements kwenye hyo mikataba midogomidogo si wanaangalia IGA Inasemaje??Sio IGA tu sheria yoyote inayopitishwa na bunge hata za ndani baadhi ya vipengele vyake ni sehemu ya mkataba (wanaita ‘implied terms by law). But laws don’t cover all contract terms and clauses, some are expressed especially considerations; they occur after direct negotiations na hayo bado kwa sababu ni mambo ya project agreements; hao watu wanapotosha tu umma.
Biblia yenyewe imeandikwa kiswahili lakini wengi wetu hatuielewi, itakuwa mkataba wa DP world uliojaa jargons za sheria ya mikataba?Elewa kwamba teuzi nyingi kabla ya kuteuliwa ujulishwa kuona kama utaridhia. Shivji ni miongoni mwa watu walio taka kujikita kwenye fani yake tu....
Bro mm sio mjuzi wa sheria lakn kwa nilivyowaelewa wanasheria ni kwamba IGA ni msingi wa kwenda kufanya project agreements na ikiwa IGA imekaa vibaya lazma uliwe.Sio IGA tu sheria yoyote inayopitishwa na bunge hata za ndani baadhi ya vipengele vyake ni sehemu ya mkataba (wanaita ‘implied terms by law). But laws don’t cover all contract terms and clauses, some are expressed especially considerations; they occur after direct negotiations na hayo bado kwa sababu ni mambo ya project agreements; hao watu wanapotosha tu umma.
GO PROF ASSAD GOO GOOOOActually mahali tulipofikia kwenye huu mjadala,maoni yake ni yalitegemewa kuwa haya hivyo siyo habari sana.
Wenye sugu kwenye komwe na wakata suruali huwa hawafurukuti kwa mwarabu,ni mwenzao hasa...
Hata sheria ya kazi ina haki za mwajiri na mwajiriwa, unapoandaa mkataba wa kazi ndani ya Tanzania lazima uweke hizo terms zilizotajwa ndani ya sheria (hata usipoziweka mahakama inazitambua).Hizo project agreements foundation zake si ndo IGA?? yan wakiwa wanatengeneza hizo agreements kwenye hyo mikataba midogomidogo si wanaangalia IGA??
IGA ime cover basic terms tu za kulinda uwekezaji (ambazo ni complete terms) na kuna maelezo ya taratibu ya kuingia mikataba ya baadae. Maelezo ambayo yanahitaji makubaliano mengine hizo ndio zitakuwa expressed terms zenye kuongelea issue za consideration, huko bado.Bro mm sio mjuzi wa sheria lakn kwa nilivyowaelewa wanasheria ni kwamba IGA ni msingi wa kwenda kufanya project agreements na ikiwa IGA imekaa vibaya lazma uliwe. Ndiomaana wanasheria nguli wanasema huu mkataba umekaa kitumwa coz yalipo kwenye IGA huwez kuyabadili ukiwa unatengeneza hzo pj agremnts