Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

Huyo Assadi ni wa kupuuza tu, anatetea kwa sababu rais ni Mzanzibari mwenzake.

Ndiyo aina ya profesa tulio nao, upuuzi mtupu.
 
Sasa makamanda uchwara akina Erythrocyte wataanza kumchukia huyu jamaa🤣
Ndiyo tabia yao mwanzo walikuwa wanamsifia sana mpaka kumuonea huruma katolewa u cag walimuona kicha cha maana leo hii watakuja na stori nyingine ya kumponda CHADEMA akili zao wanazijuwa wenyewe tu wanazo za kuvukia barabara tu mengine wawaachie wenye akili timamu
 
Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi

👉🏾 Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu. (Sikiliza zaidi)

👉🏾 Ukomo hauwekwi kwenye IGA, bali kwenye mikataba ya chini (Projects Agreements). (Sikiliza Zaidi)

Profesa Assad ametoa majibu mazuri kabisa, na huyu ndio Profesa wa kweli sasa, sio wale wengine akina Tibaijuka na Shivji, wachumia tumbo tu, Sikilizeni nondo kutoka kwa Prof.

View attachment 2712096
View attachment 2712097
View attachment 2712098
View attachment 2712099


Prof. Assad: Kuongeza kodi hakusaidii pato la Nchi
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amesema Nchi zilizofanikiwa sio ambazo zilifanikiwa kuongeza kodi.

Akizungumza katika mahojiano na Channel Ten, Profesa Assad amesema “Kwa mfano kiwango cha Kodi ya Kampuni Nchini ni 30%, hicho ni kiwango kikubwa sana, Taifa kama Ireland ni moja ya Nchi zilizovutia wawekezaji wengi Ulaya, kiwango chao cha Kodi ni 18%.”

Ameongeza kuwa haungi mkono kupanda kwa kodi kwa kuwa ikishushwa makusanyo yake yatapanda na kusaidia Nchi.


Prof. Assad: Mamlaka zishiriki kukuza wafanyabiashara wadogo sio kusubiri mpaka wakue
“Tuwafundishe watu umuhimu wa uwekaji wa hesabu za fedha, si kwa sababu ya kukusanya kodi, akiweka hesabu zake vizuri miaka mitano sita atahitaji mkopo wa benki, baada ya hapo atakata leseni na tutatoa kodi kidogokidogo,” - Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (#CAG), Profesa Mussa Assad.

PROF. ASSAD: MKATABA WA BANDARI UNAHUSU HAKI ZA ARDHI SIO UMILIKI
Akitoa maoni kuhusu uwekezaji wa DP World katika Bandari, aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (#CAG), Profesa Mussa Assad amesema tatizo ni dhana ambazo si nzuri kufikiri kuwa wawekezaji watafanya vitu ambavyo havifai pamoja na watu ambao sio wataalam husika kulisemea jambo hilo.

Akizungumza katika mahojiano na Channel Ten, amesema “Kuna wataalam wa uwekezaji wakiwemo Wanasheria wa Uwekezaji japo ni wachache lakini sisi tunawasikiliza Wanasheria wa Kodi, Wanasheria za Familia, Wanasheria wa mambo ya kampuni ambao ndio wameingia katika maeneo ambayo hayana tija na kusababisha dhana mbaya.”

Ameongeza “Watu wengi si wataalam wa uwekezaji, kipengele kinachozungumziwa katika mkataba ni Haki za Ardhi, sio umiliki, wanachomaanisha ni haki ya utumiaji lakini mmiliki ataendelea kubaki Shirika la Bandari, kuhusu suala la ukomo wanaweza kuweka hata miaka 25 au 30 basi ili watu wakafurahi.”

Maghufuli alikuwa sahihi kumfukuza kazi huyu mhuni
 
Tuna nchi ya ajabu sana na wasomi wetu ni wa ajabu

Kwa nini wasomi wetu hawaheshimiani?

Mtu aliyesoma uchumj, badala azungumzie uchumi, unakuta ndio kwaanza ametoka na misuri ya shingo anaongelea mambo ya kisheria, kitu ambacho si sawa

Unamkuta mtu aliyesomea Sheria, anekalia kuzungumzia mambo ya uchumi akiwaaminisha wananchi kwamba, wamsikilize? Stupid!

Na ndiyo maana hata kwenye kuandaa mawaziri mbalimbali, kinachokuwa kinazingatiwa, ni Professional zao na siyo blablaa!

Tunakwama wapi kuheshimu fani za wengine?

Hi la juzi kwa Msomi nguli wa uchumi Prf Hasadi kuhitimisha eti wanasheria wamepotoka, mandate hiyo aliitoa wapi?

Yeye ni nani katika fani ya sheria?
mmeanza kumgeuka kwa kusema ukweli mytaanza kumponda sasahivi nyie watu tulkieni dawa iwaingie msikurupuke hovyo
 
Unajua kwanini shivji hajawahi kupewa nafasi yeyote serikalini ya uongozi tangu baba wa taifa mpaka anastaafu utawala wa kikwete alikua mwalimu tu?
Tafuta kazi za Prof.Issa Shivji kuhusu masuala ya ardhi, na haki ardhi nchini.

Hilo ndilo eneo ambao amebobea na kutoa mchango mkubwa hapa nchini.

Sio kweli kwamba Prof. Shivji hajawahi kupewa nafasi yoyote na Rais yeyote hapa Tanzania.

Nakumbuka kulitokea matatizo ktk Shirika la Bia Tanzania wakati huo halijabinafsishwa.

Raisi Mwinyi alimteua Prof.Shivji kuwa Mwenyekiti wa Bodi / au Mwenyekiti Mtendaji.

Pia Rais Mkapa alimteua Prof. Shivji kuwa mwenyekiti wa Tume ya marekebisho ya sheria ya ardhi.

Kama tunajivunia sheria yetu ya ardhi basi tunajivunia mchango wa Prof.Shivji na tume aliyoiongoza.
 
Huyu nitamuamini zaidi kwenye hesabu, Shivji nitamuamini kwenye sheria, wote nawaheshimu sana, hivyo kwenye hili wacha nibaki na Shivji.
 
Udini tu ndio unamsubua! Anafikiri rasilimali za nchi zikiuzwa kwa waarabu waislamu wenzie yeye, familia yake na ndugu zake maisha yakikaza mtaani wao watasalimika?

Mpuuzi! IGA ndio mkataba mama kama ilivyo katiba ya nchi! Mikataba ya utekelezaji inaangalia IGA inasemaje!
 
Tuna nchi ya ajabu sana na wasomi wetu ni wa ajabu

Kwa nini wasomi wetu hawaheshimiani?

Mtu aliyesoma uchumj, badala azungumzie uchumi, unakuta ndio kwaanza ametoka na misuri ya shingo anaongelea mambo ya kisheria, kitu ambacho si sawa

Unamkuta mtu aliyesomea Sheria, anekalia kuzungumzia mambo ya uchumi akiwaaminisha wananchi kwamba, wamsikilize? Stupid!

Na ndiyo maana hata kwenye kuandaa mawaziri mbalimbali, kinachokuwa kinazingatiwa, ni Professional zao na siyo blablaa!

Tunakwama wapi kuheshimu fani za wengine?

Hi la juzi kwa Msomi nguli wa uchumi Prf Hasadi kuhitimisha eti wanasheria wamepotoka, mandate hiyo aliitoa wapi?

Yeye ni nani katika fani ya sheria?
Ni mtanzania mwenye uzoefu wa uhasibu katika taasisi zetu, tena wa kutosha tu.

Alipomkosoa hayati JPM tulimuimbia mapambio ya kila aina leo ametukusoa sisi wakosoaji wa bandari kwa hoja zenye kueleweka amegeuka shubiri kwetu.

Ni mtanzania mwenye kutoa maoni yake kama walivyoyatoa kina Prof Shivji, Lissu na Nshala.
 
Mkataba wa TPA na DP World uko wazi kabisa na wala hauhitaji mtaalamu wa sheria kuufafanua

Huyo Alhaj Prof Assad apingwe kwa hoja na siyo taaluma yake!

Nawatakia Siku njema!
Huyu jamaa ni mdini hata hajitambui! Heti kwa vile waarabu ni waislamu wenzake! Maisha mtaani yakikaza na yeye yumo! IGA ni mkataba mama!

Contracts zitakazosainiwa habibu rejea ni IGA! IGA kama ni kandamizi hakuna jinsi ya kunyoosha maelezo kwenye mikataba inayofuatwa!

Wajinga nyie kadanganyane kwenye vijiwe vyenu vya kahawa!
 
Huyu jamaa ni mdini hata hajitambui! Heti kwa vile waarabu ni waislamu wenzake! Maisha mtaani yakikaza na yeye yumo! IGA ni mkataba mama! Contracts zitakazosainiwa habibu rejea ni IGA! IGA kama ni kandamizi hakuna jinsi ya kunyoosha maelezo kwenye mikataba inayofuatwa! Wajinga nyie kadanganyane kwenye vijiwe vyenu vya kahawa!
Wewe unayeamini Waarabu ni Waislam ndio mjinga 😂😂
 
Mkataba wa TPA na DP World uko wazi kabisa na wala hauhitaji mtaalamu wa sheria kuufafanua

Huyo Alhaj Prof Assad apingwe kwa hoja na siyo taaluma yake!

Nawatakia Siku njema!
Kweli sasa tumeanza kukubali nguvu ya Serkali
 
Tuache wataalamu wa uchumi na uwekezaji watuelemishe faida za kiuchumi na uwekezaji kutokana na uwekezaji wa bandari. Tukiacha Kila mtu akawa mchambuzi wa uchumi itakuwa haina maana kuwa na wachumi.
Wee"POPOMA" toka Lumumba hoja ya DP world since day one ni hoja za kisheria kutokana na ukakasi wa baadhi ya articles!! Hakuna anaepinga uwekezaji!! Posho za elf saba zimewahatibu akili kbs.
 
Awamu hii udini ndio utakuwa ni base ya kuiunga mkono serikali au la
 
Huyu mzee sijui uprofessor alipataje, na amekuwa akifundisha nini kwa vijana wetu.

Anakomaa na watanzania kutokuwa na uwezo au uwezo mdogo wakati yeye ni kati ya walioharibu vijana.

Au ndio professorial rubbish za Lissu
 
Maghufuli alikuwa sahihi kumfukuza kazi huyu mhuni
tukijuwa tu ukweli mchungu sasa maprof. wanaanza kuwaambia ukweli mnakuja juu?

Kwanza english ya mikataba imewashinda kuisoma prof kaisoma vizuri kaona haina shida mnaanza tena kumnanga?

Rafiki yenu huyo lakini
 
Hizo nafasi mbona hata professor lipumba na wakina lissu wamezifanya sana. Nazungumzia teuzi nafasi kama nafasi hujaelewa nini hapo?

..sio sahihi kupima weledi na utendaji wa Prof.Shivji kwa kuangalia kigezo kwamba hakuwahi kuteuliwa na Raisi kutumikia serikalini au ktk chama.

..kama unataka kupima weledi wa Prof.Shivji basi umpime huko alikotumikia yaani Udsm akiwa na ACADEMICIANS wenzake.

..Kitu cha kwanza upime weledi na mchango wake ktk kufundisha wanafunzi aliokabidhiwa.

..Jambo la pili upime mchango wake ktk kufanya kazi mbalimbali za kitafiti, yeye mwenyewe, au kwa kusimamia wengine.

..Jambo la tatu upime kama wasomi wenzake wanamkubali na kuheshimu kazi na mchango wa Prof.Shivji as an academician.

NB:

.." kutokuteuliwa " kumemuepusha Prof.Shivji na mambo mengi ikiwemo kupoteza heshima na utu wake.

..angalia wasomi walioteuliwa kama Prof.Ibrahim, Prof.Mruma, Dr.Daudi Balali, Prof.Kabudi, jinsi walivyotumika kufanya mambo ya hovyo, na kama wametunza heshima zao mbele ya wasomi wenzao,na jamii kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom