TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

Hii barabara ya chalinze- kibaha ni ndogo Ina magari mengi Sana yaani haimuhitaji dereva azembee hata kidogo ni juzi tu naenda mlandizi barabara ilikuwa Inaonekana nyeupe mbele lakini lilipotokea gari la mkuu wa mkoa likiovetake lorry hata hapajulikani. Nusura tuangukie korongoni. Tulibaki kumshukuru Mungu tu.
 
Inawezekana dereva alisinzia lori ikaacha njia.
Nashauri serikali iongeze mabehewa na Injini mizigo yote isafirishwe na treni njia ya Kati na Tazara njia ya mbeya / zambia / Drc .

Malori yamekuwa na Fujo Sana mabarabarani.
Juzi nimetoka Mbeya aisee hayo matenka ya mafuta niyokutana nayo barabarani in one day ni zaidi ya mia tano!! Nikajiuliza hivi lile Bomba la mafuta la TAZARA na reli ya TAZARA vina kazi gani?? Na hapo ni njia ya Dar to Mbeya only..
 
Sijui ni kujibu nini ndugu. Huyu Professor kwenye kipindi mashuhuri cha Uchumi wetu ITV hukumuona? Mwanahabari nguli Simbeye akimhoji kila uchwao hukumuona? Ana Ngowi TV na Clubs za Ujasirismali ziko online. Wewe ukishika smart phone unaingia site za kutafuta kachumbari za game la usiku au pia unatumia mitandao kujiongezea maarifa? Mimi ni mtu mzima Sana kiumri Ila umaarufu wa Prof Ngowi hata kama sikuwa namfahamu kwa sababu ya KAZI zangu bado ningemfahamu mno. Amekufa mitandao imelipuka kila Kona mpaka Facebook. Amemzidi hata Prof Mathew Luhanga alipofariki ilikuwa normal. Ila huyu ni exceptional figure. Nenda mitandaoni ukasome Ecology za watu ndiyo utamjua vyema. Siku zote tuchimbe issues zaidi kuliko kulaumulaumu. Usiku mwema.
Well said kiongozi, kuna watu humu wao smartphone hutumia kuingia Instagram kutafuta udaku tuu na mambo ya kipuuzi..
 
Mmefukuza madereva wazuri kwa sababu za kipuuzi za vyeti fake mara sijui dereva naye awe form four wakati mbunge ni darasa la saba, pumbavu kabisa.

Qualification ya driver ni driving license na siyo hawa waliokosa ajira kwenye soko la ajira na kukimbilia udereva, kuendesha Passo yako ni tofauti kabisa na professional driving.

Ukiwa unasafiri jihadhari sana na hizi plate namba za STL, DFP na SU, hakuna madereva humo siku hizi ndio mitambo ya kupeleka watu kuzimu.
Umewaza ujinga sana umefatilia sababu? Semi ilikuwa inakwepa noa ikiwa katika mwendo ndio wimbi likapush contena na kuangakia kwa gari ya prof


Ajari zipo na sio kila a ayepata ajari ni mzembe
Acha ujinga
 
Barabara ya Upanga ukitokea Mnazi Mmoja kuelekea Posta mpya, baada ya kupita kituo cha dala dala "Baridi" kabla ya kufika maktaba kuu ya Taifa kuna barabara inakunja kushoto 1 kwa 1 hadi MUDC ambapo ni kwa umbali wa robo 3 ya kilometers toka kona ya barabara kuu.
Ahsante kwa ufafanuzi.
 
Mmefukuza madereva wazuri kwa sababu za kipuuzi za vyeti fake mara sijui dereva naye awe form four wakati mbunge ni darasa la saba, pumbavu kabisa.

Qualification ya driver ni driving license na siyo hawa waliokosa ajira kwenye soko la ajira na kukimbilia udereva, kuendesha Passo yako ni tofauti kabisa na professional driving.

Ukiwa unasafiri jihadhari sana na hizi plate namba za STL, DFP na SU, hakuna madereva humo siku hizi ndio mitambo ya kupeleka watu kuzimu.
Unao uhakika kuwa alikuwa akitumia moja ya gari ulizozitaja? Mbona wengi wana madereva kwenye gari binafsi.
 
Mmefukuza madereva wazuri kwa sababu za kipuuzi za vyeti fake mara sijui dereva naye awe form four wakati mbunge ni darasa la saba, pumbavu kabisa.

Qualification ya driver ni driving license na siyo hawa waliokosa ajira kwenye soko la ajira na kukimbilia udereva, kuendesha Passo yako ni tofauti kabisa na professional driving.

Ukiwa unasafiri jihadhari sana na hizi plate namba za STL, DFP na SU, hakuna madereva humo siku hizi ndio mitambo ya kupeleka watu kuzimu.
Unao uhakika kuwa alikuwa akitumia moja ya gari ulizozitaja? Mbona wengi wana madereva kwenye gari binafsi.
 
Juzi nimetoka Mbeya aisee hayo matenka ya mafuta niyokutana nayo barabarani in one day ni zaidi ya mia tano!! Nikajiuliza hivi lile Bomba la mafuta la TAZARA na reli ya TAZARA vina kazi gani?? Na hapo ni njia ya Dar to Mbeya only..
Sasa mmeelewa lengo la Magufuli kujenga reli ya kisasa ?
 
Back
Top Bottom