SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Mzee...Gari limeangukiwa na Container kwa bahati mbaya...Bado tu unamlaumu Dereva?
Mjinga sana huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee...Gari limeangukiwa na Container kwa bahati mbaya...Bado tu unamlaumu Dereva?
Khaaaaah sasa genye za wapi tena?Cocastic quote zako zinanipa genye. Sorry lakini
Asante Sana GENTAMYCINEPole sana kwa Familia yake, pole kwa Wanataaluma Wote, pole kwa Taasisi za Elimu ya Juu zote nchini ( hasa hasa Chuo Kikuu cha Mzumbe ), na pole nyingi mno kwa Watanzania kwa huyu Mwamba wa Tasnia ya Uchumi nchini Tanzania.
Kifo chake Kimenisikitisha Binafsi kwakuwa Marehemu alikuwa ni Mtafsiri na Mchambuzi mahiri wa Masuala ya Kiuchumi na alikuwa hachoshi ama Kumsikiliza au hata Kumsoma katika Gazeti la The Citizen ambako alikuwa na Ukurasa wake Maalum wa Kuchambua Uchumi.
Somo la Uchumi ni gumu ila Marehemu Profesa Ngowi alikuwa akilifanya liwe rahisi Kueleweka na hata Mtu wa Kawaida tu Kulipenda na Kupenda kulifuatilia na Kujifunza mengi. Namfananisha Profesa Ngowi ( Marehemu ) kuwa ni Mtaalam Mahiri wa Uchumi kama walivyo Wachezaji wangu Wapendwa Clatous Chama ( Simba SC ) na Khalid Aucho ( Yanga SC ) ambao huufanya Mpira wa Miguu Kuonekana ni Mchezo rahisi Kuucheza wakati kumbe ni mgumu.
Nitamkumbuka hasa kwa tabia yake ya kutokupenda Sifa kama Wanazuoni ( Wanataaluma ) wengine na muda mwingi kuwa mtaratibu, msikilizaji na Mwalimu mahiri aliyeshiba vyema Somo la Uchumi.
Chuo Kikuu cha Mzumbe najua kuwa mmempoteza Mtu Muhimu ( Mhadhiri Mwandamizi ) huyu na najua Pengo lake si rahisi Kuzibika ila hata na Sisi Watanzania wengine tu tena wa Kawaida ( kama Mimi GENTAMYCINE ) tumeguswa na huu Msiba wake.
Namuombea Makazi Mema Mbinguni.
Kama wana akili watakusikia.R.I.P
Hii barabara isipotanuliwa na kuweka dual carriage way tutaisha sana kwa kweli lawama tutawapa sana madereva lakini ukweli tuuseme barabara hii ni bado ya kizamani hailingani na matumizi ya idadi ya magari iliyopo sasa.
Wanasiasa hebu tumieni hicho kiwango cha posho zenu kuokoa maisha ya watu kwa ajali ambazo huenda zingeepukika.
Hivi nchi mnazoenda kutembelea hamjifunzi tu kitu cha kufanya?
Oneni aibu kwa kuchelewa kujenga dual carriage way ya dar to morogoro tunazidiwa na nchi kama Zambia kweli?
Mtoto mkali unafaa kupelekewa motoKhaaaaah sasa genye za wapi tena?
Kifo Cha Prof Ngowi kimeniuma kama nimempoteza kaka yangu Genius. Yani nilimpenda na kiukweli taifa tumepoteza kichwa. Jambo lakutisha sana uwenda mpaka sasa kama Taifa hatujajuwa umuhimu wa hiz think tank. Usije ukashanga Hit team ya taifa fulani imemmaliza. Why 😭 mtu mmoja aweza kuwa mchawi wa mapinduzi ya uchumi nakuliokoa taifa ktk dhiki na ukimuondoa huwez pata kichwa kama hiko tena.
Nilazima kama Taifa tujuwe tupo ktk mabadiliko makubwa ya uchumi na kama sijakosea huyu Prof was among RC that team. Kubadili fikra za vijana kutoka kuajiriwa na kujiajiri.
Prof Amelala amelala na maujanja yote yakulikomboa Taifa. Kiukweli Mungu ndie anajuwa ila nadiriki kusema Prof hajafa bali ameondoshwa na viumbe tusivyo viona je aligusa nini au alitegewa nini Mungu Mungu ndie anajuwa. Kifo Cha Prof Ngowi kinatukumbusha kumbukizi zakutisha kwenye same barabara Moja Waziri Mkuu Sokoine, Pili Mch Mtikila tatu Mzee Kombe na mwisho😭😭😭.
Tusipo fungua macho tutakuwa vipofu natusipo kuwa vipofu tutakuwa mazezeta... 😭😭😭🤐🤐🤐🤐
Hii barabara inatisha sana wajuvi tujuzen.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Inaonesha wazi ww ni jinsia Gani, sihangaiki kukujibu k*ma wwKulikua na haja gani kuja kulia lia hapa kwamba ulimfanyia marehemu kazi? Ili iweje? Tukuonee huruma au? Kijana wa hovyo sana wewe.
Hehehee, tusifike huko, jibu swali. Mifugo ya marehemu inatuhusu nini sisi? Kulikua na haja gani ya kuja kutuambia habari ya kutibu mifugo yake? Ili iweje? Kwani mifugo nayo imekufa? Acha uzuzu kijana.Inaonesha wazi ww ni jinsia Gani, sihangaiki kukujibu k*ma ww
Kwani ww kimekuuma nn? Ulilazimishwa ku comment? Balance shoboHehehee, tusifike huko, jibu swali. Mifugo ya marehemu inatuhusu nini sisi? Kulikua na haja gani ya kuja kutuambia habari ya kutibu mifugo yake? Ili iweje? Kwani mifugo nayo imekufa? Acha uzuzu kijana.
Siku nyingine usichanganye habari za UDAKU kwenye taarifa kama hizi, wewe KULISHA MIFUGO ya marehemu sio jambo la KUJITAPA kupitia msiba wake. Sawa sawa?Kwani ww kimekuuma nn? Ulilazimishwa ku comment? Balance shobo
Una ushowadina flani hivi..hongera umesikika.Siku nyingine usichanganye habari za UDAKU kwenye taarifa kama hizi, wewe KULISHA MIFUGO ya marehemu sio jambo la KUJITAPA kupitia msiba wake. Sawa sawa?
Kila shamba boy wake akijitokeza kulia lia hapa patatosha? Inasikitisha sana.Una ushowadina flani hivi..hongera umesikika.
Umeongea kwa philosophy kubwa.......... duniani hamna cha kudumu...kile cha kudumu ni mabadilikooo . RIP
Unapenda kuhamisha mijadala ww jamaa....Kifo Cha Prof Ngowi kimeniuma kama nimempoteza kaka yangu Genius. Yani nilimpenda na kiukweli taifa tumepoteza kichwa. Jambo lakutisha sana uwenda mpaka sasa kama Taifa hatujajuwa umuhimu wa hiz think tank. Usije ukashanga Hit team ya taifa fulani imemmaliza. Why 😭 mtu mmoja aweza kuwa mchawi wa mapinduzi ya uchumi nakuliokoa taifa ktk dhiki na ukimuondoa huwez pata kichwa kama hiko tena.
Nilazima kama Taifa tujuwe tupo ktk mabadiliko makubwa ya uchumi na kama sijakosea huyu Prof was among RC that team. Kubadili fikra za vijana kutoka kuajiriwa na kujiajiri.
Prof Amelala amelala na maujanja yote yakulikomboa Taifa. Kiukweli Mungu ndie anajuwa ila nadiriki kusema Prof hajafa bali ameondoshwa na viumbe tusivyo viona je aligusa nini au alitegewa nini Mungu Mungu ndie anajuwa. Kifo Cha Prof Ngowi kinatukumbusha kumbukizi zakutisha kwenye same barabara Moja Waziri Mkuu Sokoine, Pili Mch Mtikila tatu Mzee Kombe na mwisho😭😭😭.
Tusipo fungua macho tutakuwa vipofu natusipo kuwa vipofu tutakuwa mazezeta... 😭😭😭🤐🤐🤐🤐
Hii barabara inatisha sana wajuvi tujuzen.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Wana Kilimanjaro tumepoteza mtu muhimu katika Jamii yetu.Prof wa kwetu kabisa home R.I.P msibani nitafika kukusindikiza.