TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

Alale salama Prof. mzalendo wa nchi yake.
Alikataa kufundisha nje, alisema mimi wa hapa hapa nyumbani. Ni mtu mmoja alikua muungwana mno. Hii mitakataka barabarani itatuua sana. Nachelea kusema TZ ni moja ya sehemu hatari sana unapokua barabarani.
 
Prof wa kwetu kabisa home R.I.P msibani nitafika kukusindikiza.
 
Pole sana kwa Familia yake, pole kwa Wanataaluma Wote, pole kwa Taasisi za Elimu ya Juu zote nchini ( hasa hasa Chuo Kikuu cha Mzumbe ), na pole nyingi mno kwa Watanzania kwa huyu Mwamba wa Tasnia ya Uchumi nchini Tanzania.

Kifo chake Kimenisikitisha Binafsi kwakuwa Marehemu alikuwa ni Mtafsiri na Mchambuzi mahiri wa Masuala ya Kiuchumi na alikuwa hachoshi ama Kumsikiliza au hata Kumsoma katika Gazeti la The Citizen ambako alikuwa na Ukurasa wake Maalum wa Kuchambua Uchumi.

Somo la Uchumi ni gumu ila Marehemu Profesa Ngowi alikuwa akilifanya liwe rahisi Kueleweka na hata Mtu wa Kawaida tu Kulipenda na Kupenda kulifuatilia na Kujifunza mengi. Namfananisha Profesa Ngowi ( Marehemu ) kuwa ni Mtaalam Mahiri wa Uchumi kama walivyo Wachezaji wangu Wapendwa Clatous Chama ( Simba SC ) na Khalid Aucho ( Yanga SC ) ambao huufanya Mpira wa Miguu Kuonekana ni Mchezo rahisi Kuucheza wakati kumbe ni mgumu.

Nitamkumbuka hasa kwa tabia yake ya kutokupenda Sifa kama Wanazuoni ( Wanataaluma ) wengine na muda mwingi kuwa mtaratibu, msikilizaji na Mwalimu mahiri aliyeshiba vyema Somo la Uchumi.

Chuo Kikuu cha Mzumbe najua kuwa mmempoteza Mtu Muhimu ( Mhadhiri Mwandamizi ) huyu na najua Pengo lake si rahisi Kuzibika ila hata na Sisi Watanzania wengine tu tena wa Kawaida ( kama Mimi GENTAMYCINE ) tumeguswa na huu Msiba wake.

Namuombea Makazi Mema Mbinguni.
Asante Sana GENTAMYCINE
 
R.I.P

Hii barabara isipotanuliwa na kuweka dual carriage way tutaisha sana kwa kweli lawama tutawapa sana madereva lakini ukweli tuuseme barabara hii ni bado ya kizamani hailingani na matumizi ya idadi ya magari iliyopo sasa.

Wanasiasa hebu tumieni hicho kiwango cha posho zenu kuokoa maisha ya watu kwa ajali ambazo huenda zingeepukika.

Hivi nchi mnazoenda kutembelea hamjifunzi tu kitu cha kufanya?

Oneni aibu kwa kuchelewa kujenga dual carriage way ya dar to morogoro tunazidiwa na nchi kama Zambia kweli?
Kama wana akili watakusikia.
 
Hizi semi ni hatari kuna siku nzega dereva wa semi alisinzia na kutufata upande wetu mungu mkubwa dereva wetu alichangamka kuingia majarubani
 
Wazee wa ndumba bana😃😃😃
Kifo Cha Prof Ngowi kimeniuma kama nimempoteza kaka yangu Genius. Yani nilimpenda na kiukweli taifa tumepoteza kichwa. Jambo lakutisha sana uwenda mpaka sasa kama Taifa hatujajuwa umuhimu wa hiz think tank. Usije ukashanga Hit team ya taifa fulani imemmaliza. Why 😭 mtu mmoja aweza kuwa mchawi wa mapinduzi ya uchumi nakuliokoa taifa ktk dhiki na ukimuondoa huwez pata kichwa kama hiko tena.

Nilazima kama Taifa tujuwe tupo ktk mabadiliko makubwa ya uchumi na kama sijakosea huyu Prof was among RC that team. Kubadili fikra za vijana kutoka kuajiriwa na kujiajiri.

Prof Amelala amelala na maujanja yote yakulikomboa Taifa. Kiukweli Mungu ndie anajuwa ila nadiriki kusema Prof hajafa bali ameondoshwa na viumbe tusivyo viona je aligusa nini au alitegewa nini Mungu Mungu ndie anajuwa. Kifo Cha Prof Ngowi kinatukumbusha kumbukizi zakutisha kwenye same barabara Moja Waziri Mkuu Sokoine, Pili Mch Mtikila tatu Mzee Kombe na mwisho😭😭😭.

Tusipo fungua macho tutakuwa vipofu natusipo kuwa vipofu tutakuwa mazezeta... 😭😭😭🤐🤐🤐🤐

Hii barabara inatisha sana wajuvi tujuzen.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
 
Kulikua na haja gani kuja kulia lia hapa kwamba ulimfanyia marehemu kazi? Ili iweje? Tukuonee huruma au? Kijana wa hovyo sana wewe.
Inaonesha wazi ww ni jinsia Gani, sihangaiki kukujibu k*ma ww
 
Inaonesha wazi ww ni jinsia Gani, sihangaiki kukujibu k*ma ww
Hehehee, tusifike huko, jibu swali. Mifugo ya marehemu inatuhusu nini sisi? Kulikua na haja gani ya kuja kutuambia habari ya kutibu mifugo yake? Ili iweje? Kwani mifugo nayo imekufa? Acha uzuzu kijana.
 
Hehehee, tusifike huko, jibu swali. Mifugo ya marehemu inatuhusu nini sisi? Kulikua na haja gani ya kuja kutuambia habari ya kutibu mifugo yake? Ili iweje? Kwani mifugo nayo imekufa? Acha uzuzu kijana.
Kwani ww kimekuuma nn? Ulilazimishwa ku comment? Balance shobo
 
Kwani ww kimekuuma nn? Ulilazimishwa ku comment? Balance shobo
Siku nyingine usichanganye habari za UDAKU kwenye taarifa kama hizi, wewe KULISHA MIFUGO ya marehemu sio jambo la KUJITAPA kupitia msiba wake. Sawa sawa?
 
Siku nyingine usichanganye habari za UDAKU kwenye taarifa kama hizi, wewe KULISHA MIFUGO ya marehemu sio jambo la KUJITAPA kupitia msiba wake. Sawa sawa?
Una ushowadina flani hivi..hongera umesikika.
 
Kifo Cha Prof Ngowi kimeniuma kama nimempoteza kaka yangu Genius. Yani nilimpenda na kiukweli taifa tumepoteza kichwa. Jambo lakutisha sana uwenda mpaka sasa kama Taifa hatujajuwa umuhimu wa hiz think tank. Usije ukashanga Hit team ya taifa fulani imemmaliza. Why 😭 mtu mmoja aweza kuwa mchawi wa mapinduzi ya uchumi nakuliokoa taifa ktk dhiki na ukimuondoa huwez pata kichwa kama hiko tena.

Nilazima kama Taifa tujuwe tupo ktk mabadiliko makubwa ya uchumi na kama sijakosea huyu Prof was among RC that team. Kubadili fikra za vijana kutoka kuajiriwa na kujiajiri.

Prof Amelala amelala na maujanja yote yakulikomboa Taifa. Kiukweli Mungu ndie anajuwa ila nadiriki kusema Prof hajafa bali ameondoshwa na viumbe tusivyo viona je aligusa nini au alitegewa nini Mungu Mungu ndie anajuwa. Kifo Cha Prof Ngowi kinatukumbusha kumbukizi zakutisha kwenye same barabara Moja Waziri Mkuu Sokoine, Pili Mch Mtikila tatu Mzee Kombe na mwisho😭😭😭.

Tusipo fungua macho tutakuwa vipofu natusipo kuwa vipofu tutakuwa mazezeta... 😭😭😭🤐🤐🤐🤐

Hii barabara inatisha sana wajuvi tujuzen.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Unapenda kuhamisha mijadala ww jamaa....
unajaribu kuleta vionjo ambavyo havipo?
 
Rip.

20220330_203309.jpg
20220330_203258.jpg
 
Back
Top Bottom