Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahii kabisa,Hawa wazee wakifikia miaka hiyo huwa wanatia huruma sana.
Maana hana tena nguvu ya kupambana anategemea fadhila tu.
Hapo sasa hana tofauti na mrema.
Kustaafia CCM ni bora kuliko upinzani maana kama haujajipanga unaweza jidhalilisha hadharani kabisa.
Yaani ukapiga ukunga watu waje wakusaidie.
Safi Sana piga kazi mama hadi Sukuma gang na saccos ya ukoo wasande
Yeye ndio kipofu analiwa...Anajua kula na kipofu
Ivyo ivyoYeye ndio kipofu analiwa...
Sasa unataka kutukana Bandugu?!Wapinzani wote wamelambishwa asali. Hata Mrema ni mpinzani lakini kila mkutano wa CCM yupo, yule mwingine anasema msifanye siasa za kuitukana serikali, kweli wananchi tu ndo hawajalamba asali.
KabisaSasa kama kila kitu ni Kosher, kwanini asijiunge tu CCM ili kuendeleza kazi nzuri ?, Anafanya nini huko alipo !!!!
Alitumia kila njia kujipiga ktk mwili wake hatimaye kaumia halafu hajijuwi kama ameumia.Asante sana Propesa pumba kwa utabiri wako mwanana, enenda kwa amani.