Profesa Shivji ashangazwa na uteuzi wa wafanyabiashara kwenye uongozi wa TANESCO

Profesa Shivji ashangazwa na uteuzi wa wafanyabiashara kwenye uongozi wa TANESCO

Utawala wa Trump ulijaa ufisadi ndio maana hakuchaguliwa tena mara ya pili na bunge lilimu impeach.

Wananchi walio wengi wakiamua kumchagua yoyote kupitia uchaguzi huru kuwa Rais wao hakuna tatizo, hata akiwa na "faili Mirembe".
Kama magufuli alikua na faili mirembe lakini bado akapitishwa
 
Naomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?

Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!

Mgongano wa kimaslahi naamini haihitaji hata katiba. Huyo mama kupaswa kuwa hapo.
 
Wewe pia hapa na ujinga wako! Balozi ana law firm ambayo inatetea kampuni zinazoishitaki Tanesco, huyo mama huoni kuwa katika Bodi ya tanesco si sahihi? Je, vetting imefanyika Sawa? Au kwa vile walimwajiri Ridiwani Kikwete wakati huo
Ndo maana nikaomba nielimishwe kiongozi au kuna tatizo katika hilo?!!
 
Naomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?

Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Hoja yako ni mufilisi, kwani unafikiri kila wanachofanya wamarekani ni sahihi?
 
WaTanzania hamueleweki!! Kuna thread ipo humu ikidai TZ inahitaji watu wa private sector wenye exposure ndio wasimamie taasisi za umma ili ziwe na ufanisi..... Leo tena oooh wafanya biashara wasiwe kwenye kusimamia hizi taasisi?? Which is which.

Muda mwingine naona Magufuli alikua sahihi tu kufanya alichojisikia yeye hata kama ni mistake sababu waTZ hawaeleweki wanataka nini.

Mkuu na wewe unashamirisha kauli za ujumla jumla za kimkakati kama “Watanzania hawaeleweki wanataka nini”? Tena kwa maoni yanayotolewa na “the privileged few” hapa JF? Unadiriki hadi kujustify matendo ya ujahili ya Magufuli kwa hili?

Hakuna mtu aliyeelimika asiyejua umuhimu wa mchango wa sekta binafsi. Lakini lazima tutizame hili katika context ya Tanzania, nchi ambayo haina wala haitilii maanani kanuni za kudhibiti migongano ya maslahi. Nchi ambayo sekta binafsi inategemea na inashindana kupata access kwenye rasilimali za umma ili kuneemeka. These are genuine concerns.

Shivji anaweza kutokuwa sahihi kupinga sekta binafsi kushiriki uongozi wa sekta ya umma in any context. Anajulikana kuwa bado ni muumini wa ujamaa wa enzi zile uliofeli.

Lakini uzoefu wetu umetuonyesha jinsi wajanja walioko sekta binafsi wanavyotumia ukaribu wao na sekta ya umma/serikali kujitengenezea mazingira ya kuneemesha mitaji na biashara zao ambayo ni pure conflict of interest. Je, teuzi zilizofanywa TANESCO hazina shaka kwenye hilo? Endapo litatokea au kwa lengo la kuzuia hali hiyo isijitokeze, nini kifanyike? Huo ndio uwe mjadala.
 
Acheni kelele, anzeni kusafisha Machemli kwa Walalahoi wenzangu, wale wa daraja la kati anzeni kuangalia angalia Majenereta yenu yapo sawa!
Mchango wako unachekesha lakini naona kuna kitu umekiona, tujipe mda.
 
Hakuna mtu aliyeelimika asiyejua umuhimu wa mchango wa sekta binafsi. Lakini lazima tutizame hili katika context ya Tanzania, nchi ambayo haina wala haitilii maanani kanuni za kudhibiti migongano ya maslahi. Nchi ambayo sekta binafsi inategemea na inashindana kupata access kwenye rasilimali za umma ili kuneemeka. These are genuine concerns
Mkuu labda unisaidie, hivi bodi inaweza amua mambo tu kiholela bila hata waziri au Rais/vyombo vya usalama kushauri otherwise prior to maamuzi? Mbona wakiboronga huwa wanatimuliwa? Maadam wanafanya kazi ndani ya sheria na kanuni basi wakizivunja watatimuliwa tu.

2. Ni kheri uchukue wafanya biashara wanaojua soko linahitaji nini na market patterns ni zipi kuliko profesa wa UDSM ambaye anajua theories tu lakini hana practical experience ya kuendesha taasisi pana kama TANESCO!!

3. Kingine Tanzania na dunia nzima inaendeshwa kwa ubepari ama market economy lakini ni ngumu sana kuchora mstari kati ya private sector na public sector.
Mfano tunajua kuna mawaziri ambao wana biashara na hisa kwenye sekta binafsi je Mwigulu au Jenista wawe disqualified kuwa viongozi serikalini kisa wana biashara binafsi? Au double standards ni pale mfanya biashara mkubwa tu anapokua kwenye bodi ya TANESCO ila akiwa mwanasiasa ni halali ???

VERDICT: Mimi siungi mkono mafisadi kuwepo kwenye bodi ila naunga mkono 100% kujaza watu wa private sector kwenye taasisi za umma ili waweze kuongeza ufanisi. Imagine TTCL inavyoendeshwa!! leo hii wakihamisha management nzima ya Vodacom/Tigo kwenda TTCL unadhani ufanisi hautongezeka?

kikubwa ni sheria za kudhibiti bodi, manunuzi, tenda, matumizi n.k ziangaliwe na zisimamiwe 100% trust me kutakua hakuna madhara hata Seth akipewa TANESCO!!
 
Hii ni 50/50 kwa kweli....

Watu wengi walioko serikalini tamaduni zao zinafanana sana.... wakati mwingine unahitaji akili na tamaduni mpya.

Lakini tuwe makini pia, tusijekuta watu wanatengeneza mirija ya kunufaisha biashara zao.
 
Utawala wa Trump ulijaa ufisadi ndio maana hakuchaguliwa tena mara ya pili na bunge lilimu impeach.

Wananchi walio wengi wakiamua kumchagua yoyote kupitia uchaguzi huru kuwa Rais wao hakuna tatizo, hata akiwa na "faili Mirembe".
Hivi unadhani wote humu ni wajinga?😆😆
 
Yes kwenye uadilifu kuna hoja ya msingi ila sio eti kwa kuwa wapo private sector au ni wafanya biashara basi hawafai kuongoza bodi za taasisi ya umma?
Nakubaliana na wewe, Ila kwa bongo ni maumivu matupu. Hao watu wapo tayari kushinikiza shirika kuingia mkataba na kampuni fulani ili wapige 10%, Kama ilivyofanyika kwa dowans
 
Huyu bibi huwa hata hausiki kwenye teuzi, yeye kazi yake ni kusaini tu, nadhani ingekuwa vyema angejiuzulu kabisa maana hakuna kitu cha maana anafanya
Si mnasema anawakomoa sukuma gang
 
Mkuu labda unisaidie, hivi bodi inaweza amua mambo tu kiholela bila hata waziri au Rais/vyombo vya usalama kushauri otherwise prior to maamuzi? Mbona wakiboronga huwa wanatimuliwa? Maadam wanafanya kazi ndani ya sheria na kanuni basi wakizivunja watatimuliwa tu.

2. Ni kheri uchukue wafanya biashara wanaojua soko linahitaji nini na market patterns ni zipi kuliko profesa wa UDSM ambaye anajua theories tu lakini hana practical experience ya kuendesha taasisi pana kama TANESCO!!

3. Kingine Tanzania na dunia nzima inaendeshwa kwa ubepari ama market economy lakini ni ngumu sana kuchora mstari kati ya private sector na public sector.
Mfano tunajua kuna mawaziri ambao wana biashara na hisa kwenye sekta binafsi je Mwigulu au Jenista wawe disqualified kuwa viongozi serikalini kisa wana biashara binafsi? Au double standards ni pale mfanya biashara mkubwa tu anapokua kwenye bodi ya TANESCO ila akiwa mwanasiasa ni halali ???

VERDICT: Mimi siungi mkono mafisadi kuwepo kwenye bodi ila naunga mkono 100% kujaza watu wa private sector kwenye taasisi za umma ili waweze kuongeza ufanisi. Imagine TTCL inavyoendeshwa!! leo hii wakihamisha management nzima ya Vodacom/Tigo kwenda TTCL unadhani ufanisi hautongezeka?

kikubwa ni sheria za kudhibiti bodi, manunuzi, tenda, matumizi n.k ziangaliwe na zisimamiwe 100% trust me kutakua hakuna madhara hata Seth akipewa TANESCO!!
Mkuu chain inaanzia juu kabisa
Nadhani unakumbuka kipindi Cha Dowans, Maajar anaishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans huku akiwa sehemu ya dowans. Unafikiri waziri na raisi hawakuwepo?
 
Mkuu labda unisaidie, hivi bodi inaweza amua mambo tu kiholela bila hata waziri au Rais/vyombo vya usalama kushauri otherwise prior to maamuzi? Mbona wakiboronga huwa wanatimuliwa? Maadam wanafanya kazi ndani ya sheria na kanuni basi wakizivunja watatimuliwa tu.

2. Ni kheri uchukue wafanya biashara wanaojua soko linahitaji nini na market patterns ni zipi kuliko profesa wa UDSM ambaye anajua theories tu lakini hana practical experience ya kuendesha taasisi pana kama TANESCO!!

3. Kingine Tanzania na dunia nzima inaendeshwa kwa ubepari ama market economy lakini ni ngumu sana kuchora mstari kati ya private sector na public sector.
Mfano tunajua kuna mawaziri ambao wana biashara na hisa kwenye sekta binafsi je Mwigulu au Jenista wawe disqualified kuwa viongozi serikalini kisa wana biashara binafsi? Au double standards ni pale mfanya biashara mkubwa tu anapokua kwenye bodi ya TANESCO ila akiwa mwanasiasa ni halali ???

VERDICT: Mimi siungi mkono mafisadi kuwepo kwenye bodi ila naunga mkono 100% kujaza watu wa private sector kwenye taasisi za umma ili waweze kuongeza ufanisi. Imagine TTCL inavyoendeshwa!! leo hii wakihamisha management nzima ya Vodacom/Tigo kwenda TTCL unadhani ufanisi hautongezeka?

kikubwa ni sheria za kudhibiti bodi, manunuzi, tenda, matumizi n.k ziangaliwe na zisimamiwe 100% trust me kutakua hakuna madhara hata Seth akipewa TANESCO!!
Akili kubwa
 
WaTanzania hamueleweki!! Kuna thread ipo humu ikidai TANZANIA inahitaji watu wa private sector wenye exposure ndio wasimamie taasisi za umma ili ziwe na ufanisi. Leo tena oooh wafanya biashara wasiwe kwenye kusimamia hizi taasisi? Which is which.

Muda mwingine naona Magufuli alikua sahihi tu kufanya alichojisikia yeye hata kama ni mistake sababu waTZ hawaeleweki wanataka nini.
Taratibu utamkubali tu!

Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom