Prophet Denis Tanzania: Tundu Lissu amebeba ajenda ya Mungu ndani yake. Asipopewa nafasi, hasara sio yake bali ni ya taifa na nchi...!!

Prophet Denis Tanzania: Tundu Lissu amebeba ajenda ya Mungu ndani yake. Asipopewa nafasi, hasara sio yake bali ni ya taifa na nchi...!!

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..
 
Chawa wa lissu tu, an

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia kila jambo atakalopanga kulifanya likiwa na wa mwelekeo wa KUTIMIAZA KUSUDI LA MUNGU juu ya nchi na taifa hili...!

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..
 
Hapo Ni Chawa Kuzmk anapaparuka atamwagaaaa.....mipesaaa kibaooo pesa za hongo za uchawiiiio l
 

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..

Nilitaka nitoe kauli nimeogopa ban!
 
Ni kama uraisi wa Trump, alionekana mlopokaji.... Yupo ikulu ya Marekani. Ngoja hizi mbio za huyu baba na bibi zije....
 
Tumwachie MUNGU.
Lakini nilishangaa huyu jamaa alipopona baada ya kupigwa risasi 10+ mwilini.
Looooo!!!.
Hii pekee ndiyo ishara ambayo Mungu kaiweka wazi ili kila mtu mwenye HEKIMA na UFAHAMU atambue ukuu wa Mungu..

Ni ajabu kuwa Kuna watu wakiwemo watawala wanamkufuru Mungu kusema "hazikumpata vizuri.."

Kule DRC Kuna askari wetu kadhaa wamekufa kwa risasi Moja Moja tu za mapajani na matakoni tu lakini huyu mwamba na mteule wa Mungu, kachapwa risasi 37 kwa dhamira ya makusudi ya kumuua kabisa huku wauaji wakiwa umbali usiozidi mita 8 lakini jamaa YU HAI HATA SASA..!!

This is a miraculous miracle...
 

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..

Prophet Atembee na Bullet proof, Yaani Bullet Proof ambazo ni Ulinzi wa Neno la Mungu. Sio zile za vyuma
 
Back
Top Bottom