Prophet Denis Tanzania: Tundu Lissu amebeba ajenda ya Mungu ndani yake. Asipopewa nafasi, hasara sio yake bali ni ya taifa na nchi...!!

Prophet Denis Tanzania: Tundu Lissu amebeba ajenda ya Mungu ndani yake. Asipopewa nafasi, hasara sio yake bali ni ya taifa na nchi...!!

Nabii au unabii wa uongo hupimwa ktk mizani ya Neno la Mungu..

Wewe unathibitishaje kuwa huyu ni nabii au huu ni unabii wa uongo..?

Imeandikwa "msiutweze kila unabii" bali tuuweke ktk mizani na hakima ya ki - Mungu kabla ya kusema huu ni kweli au uongo..

Mimi nimeupima. Una ukweli wa zaidi ya 200%...!!

Binafsi ningekuelewa kidogo iwapo ungesema "...huo sio unabii bali ni mtazamo na maoni yake binafsi ya kibinadamu..."

Though swali lingebaki kuwa lilelile: Justify that this is a false prophecy by using The Holy Bible...
Basi na mimi ninatabiri Mama Samia atashinda kwa zaidi ya 90% kwenye uchaguzi mkuu.
 
Na mimi ninatabiri kama hiyo 90% inatokana na mipango ya ccm iliyopo ya kuiba kura, miezi mitatu kabla ya uchaguzi samia atakufa. Malaika wa Mungu Azrael atam-delete samia.
Tusimwombee kifo huyu mama ndo weakness kubwa na breakthrough ya Lissu.

Ukweli utabaki kuwa mtu yeyote wa rohoni anajua Lissu ndo chaguo la Mungu Kwa Tanganyika yetu kwasasa, anayefikiria hili kwa ufahamu wake wa kibinadamu hawezi kuliona lililopo mbele ya taifa hili na obvious atakuwa mbishi na kupinga Kwa nguvu zote.

Ukitaka kuona dalili ya huu unabii. Anzia kwenye taratibu zilizotumika kumpitisha mgombea wa CCM. Hakika nawaambieni Mungu amewapiga UPOFU CCM kwa kuvunja katiba yao makusudi kabisa kitu ambacho hakijawahi tokea kwenye hiki chama. Mbili; wamevunja katiba na kumpitisha mgombea asiyekubalika na Watanganyika (wapambe wooote wanaosema mi5 tena ndo machawa, ndo wasanii wasaka pesa, ndo wateuliwa wanaopambania nafasi zao kwenye serikali inayokuja), ki ukweli huku mtaani Maza hauziki ndo mana narudi kwenye point yangu kuwa CCM wamepigwa UPOFU na Mungu Ili kusudi lake litimie.
 
Majini oyeee, safari hii majini yatarudi kuzimu kwa maumivu makubwa sana.

Ila ikumbukwe yapo majini yanayopenda haki, sasa itaanza kwao ujinini kati ya majini mahovu na yale ambayo hayapendi uhovu, yakimalizana , yatukuja kutana na sisi wabarikiwa wa Mungu , biashara mapema sana.
 
Absolutely, Yes...

Lakini si tu kwa sababu napenda kuyasikia hayo..

Bali ni kwa sababu nimeyasikia, nikayapima ktk mizani ya HEKIMA na UFAHAMU wa Neno la Mungu, hatimaye nikasema moyoni mwangu, hii hakika ni kweli isiyo na shaka...

Aidha mfano wa Yusufu wa kwenye Biblia ambaye ndugu zake kabisa (watoto 11 wa mzee Yakobo aliyebadilishwa jina baadaye na kuwa Israel) waliokula njama za kumuua lakini miraculously Mungu akamwokoa, umenifanya nisiwe na shaka kabisa na mantiki ya unabii huu...

Kwanini Mungu hakuruhusu Yusufu afe?

Ni kwa sababu Yusufu alibeba kusudi la Mungu juu ya taifa la Israel na ulimwengu huu tuliomo sasa kwa ujumla. Kama Yusufu angekufa, mpango wa kuja kwa Yesu Kristo mkombozi na mwokozi wa ulimwengu wote na watu wake ungefia njiani na kumlazimu Mungu kuja na plan nyingine. Hili hakuruhusu litokee...!

Kwani Mungu hajaruhusu Tundu Lissu afe kwa risasi 16 mwilini mwake huku wengine wakifa kirahisi tu kwa shida ndogo tu ya upumuaji kama John P. Magufuli kwa kupigwa risasi Moja tu ya matakoni..?

JIBU: Ni kwa sababu Tundu Lissu amebeba kusudi la Mungu analopaswa kulitimiza kabla ya kufa kwake. Na kusudi hili ni kuiponya na kuikoa Tanganyika na watu wake toka MIKONONI mwa hayawani wa utawala wa CCM uliodumu kwa zaidi ya miaka 64 sasa...!!

Kwa hiyo KUTOAMINI kwako hakuwezi kumzuia Mungu kutekeleza kusudi lake juu ya nchi yetu kwa njia zake na kwa kumtumia mtu yeyote anayeweza kumchagua yeye...
Napata furaha na amani kuu kila nisomapo andiko lako.
Kongole na uzidi kubarikiwa ndugu.
 

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..

🚮🚮
 
ujasiri huu wa kuyanena haya maneno umetokea kwa Mungu mwenyewe! Atamlinda!
Sasa hivi baadhi ya watumishi wanatumia kila sarakasi ili wa trend iwe kutoa unabii kwa mtu mpagani asiyeokoka kuwa atakuwa mtu mkubwa na stafanikiwa sana pamoja na kuwa muovu

Unabii wake wa kishetani na haukidhi viwango vya kinabii kama ana ujasiri alitakiwa akamhubirie Lisu aokoke kwanza na kubatizwa kisha baada ya hapo ndipo asiikilize Mungu anasemaje juu ya Lisu

Kujiita nabii na kumtabiria mtu mwovu kuwa atafanikiwa hivyo hivyo alivyo na midhambi yake ni unabii wa kipepo na kishetani

Hakuna nabii hapo .Kuna binadamu wa kawaida mwenye mapenzi tu na Lisu anayetumia jina la Mungu bure na kulitaja bure

Hakuna unabii toka kwa Mungu hapo

Anatumia tu jina la Lisu ku trend kidunia sababu Roho Mtakatifu kakataa ku m trend
 
Sasa hivi baadhi ya watumishi wanatumia kila sarakasi ili wa trend iwe kutoa unabii kwa mtu mpagani asiyeokoka kuwa atakuwa mtu mkubwa

Unabii wake wa kushetani kama ana ujasiri alitakiwa akamhubirie Lisu aokoke kwanza na kubatizwa kisha baada ya hapo ndipo asiikilize Mungu anasemaje juu ya Lisu

Kujiita nabii na kumtabiria mtu mwovu kuwa atafanikiwa hivyo hivyo alivyo na midhambi yake ni unabii wa kipepo na kishetani

Hakuna nabii hapo .Kuna binadamu wa kawaida mwenye mapenzi tu na Lisu anayetumia jina la Mungu bure na kulitaja bure

Hakuna unabii toka kwa Mungu hapo

Anatumia tu jina la Lisu ku trend kidunia sababu Roho Mtakatifu kakataa ku m trend

Utajua mwenyewe
 
Ameongea uhalisia haswa
Ukitaka kujua nabii wa uongo sio kazi kubwa

Mfano ukiona anatoa unabii kwa mtu ambaye ni muovu badala ya.kumtaka huyo mtu atubu dhambi anakimbilia kusema utafanikiwa hivyo na uovu wako. jua hamna nabii hapo kuna mganga njaa tu

Hicho alichotoa kuita ni unabii ni kudhalilisha huduma ya kinabii
 
Back
Top Bottom