Prophet Denis Tanzania: Tundu Lissu amebeba ajenda ya Mungu ndani yake. Asipopewa nafasi, hasara sio yake bali ni ya taifa na nchi...!!

Prophet Denis Tanzania: Tundu Lissu amebeba ajenda ya Mungu ndani yake. Asipopewa nafasi, hasara sio yake bali ni ya taifa na nchi...!!

Hii pekee ndiyo ishara ambayo Mungu kaiweka wazi ili kila mtu mwenye HEKIMA na UFAHAMU atambue ukuu wa Mungu..

Ni ajabu kuwa Kuna watu wakiwemo watawala wanamkufuru Mungu kusema "hazikumpata vizuri.."

Kule DRC Kuna askari wetu kadhaa wamekufa kwa risasi Moja Moja tu za mapajani na matakoni tu lakini huyu mwamba na mteule wa Mungu, kachapwa risasi 37 kwa dhamira ya makusudi ya kumuua kabisa huku wauaji wakiwa umbali usiozidi mita 8 lakini jamaa YU HAI HATA SASA..!!

This is a miraculous miracle...
Sifa na Utulufu ni Kwa Bwana.

Ilinishangaza kwamba Maamuzi ya kugombea Mwenyekiti aliyafanya in less than 1 month. Akamshinda Tajiri Mkubwa sana mwenye uwezo, nguvu, pesa, watu na Ukuu woote
 
Kwa Kuwa Kayasema Unayopenda Kuyasikia Basi Imekuwa Nongwa,,,Msalimie Nabii
Absolutely, Yes...

Lakini si tu kwa sababu napenda kuyasikia hayo..

Bali ni kwa sababu nimeyasikia, nikayapima ktk mizani ya HEKIMA na UFAHAMU wa Neno la Mungu, hatimaye nikasema moyoni mwangu, hii hakika ni kweli isiyo na shaka...

Aidha mfano wa Yusufu wa kwenye Biblia ambaye ndugu zake kabisa (watoto 11 wa mzee Yakobo aliyebadilishwa jina baadaye na kuwa Israel) waliokula njama za kumuua lakini miraculously Mungu akamwokoa, umenifanya nisiwe na shaka kabisa na mantiki ya unabii huu...

Kwanini Mungu hakuruhusu Yusufu afe?

Ni kwa sababu Yusufu alibeba kusudi la Mungu juu ya taifa la Israel na ulimwengu huu tuliomo sasa kwa ujumla. Kama Yusufu angekufa, mpango wa kuja kwa Yesu Kristo mkombozi na mwokozi wa ulimwengu wote na watu wake ungefia njiani na kumlazimu Mungu kuja na plan nyingine. Hili hakuruhusu litokee...!

Kwani Mungu hajaruhusu Tundu Lissu afe kwa risasi 16 mwilini mwake huku wengine wakifa kirahisi tu kwa shida ndogo tu ya upumuaji kama John P. Magufuli kwa kupigwa risasi Moja tu ya matakoni..?

JIBU: Ni kwa sababu Tundu Lissu amebeba kusudi la Mungu analopaswa kulitimiza kabla ya kufa kwake. Na kusudi hili ni kuiponya na kuikoa Tanganyika na watu wake toka MIKONONI mwa hayawani wa utawala wa CCM uliodumu kwa zaidi ya miaka 64 sasa...!!

Kwa hiyo KUTOAMINI kwako hakuwezi kumzuia Mungu kutekeleza kusudi lake juu ya nchi yetu kwa njia zake na kwa kumtumia mtu yeyote anayeweza kumchagua yeye...
 
Absolutely, Yes...

Lakini si tu kwa sababu napenda kuyasikia hayo..

Bali ni kwa sababu nimeyasikia, nikayapima ktk mizani ya HEKIMA na UFAHAMU wa Neno la Mungu, hatimaye nikasema moyoni mwangu, hii hakika ni kweli isiyo na shaka...

Aidha mfano wa Yusufu wa kwenye Biblia ambaye ndugu zake kabisa (watoto 11 wa mzee Yakobo aliyebadilishwa jina baadaye na kuwa Israel) waliokula njama za kumuua lakini miraculously Mungu akamwokoa, umenifanya nisiwe na shaka kabisa na mantiki ya unabii huu...

Kwanini Mungu hakuruhusu Yusufu afe?

Ni kwa sababu Yusufu alibeba kusudi la Mungu juu ya taifa la Israel na ulimwengu huu tuliomo Sasa kwa ujumla..

Kwani Mungu hajaruhusu Tundu Lissu afe kwa risasi 16 mwilini mwake huku wengine wakifa kirahisi tu kwa shida ndogo tu ya upumuaji kama John P. Magufuli kwa kupigwa risasi Moja tu ya matakoni..?

JIBU: Ni kwa sababu Tundu Lissu amebeba kusudi la Mungu analopaswa kulitimiza kabla ya kufa kwake. Na kusudi hili ni kuiponya na kuikoa Tanganyika na watu wake toka MIKONONI mwa hayawani wa utawala wa CCM uliodumu kwa zaidi ya miaka 64 sasa...!!

Kwa hiyo KUTOAMINI kwako hakuwezi kumzuia Mungu kutekeleza kusudi lake juu ya nchi yetu kwa njia zake na kwa kumtumia mtu yeyote anayeweza kumchagua yeye...
Nabii nq Mtume Josephat Mwingira aliposema Tundu Is a Victor no body can conquer him watu hawakueleleqa mpaka ile tarehe ilipo fika.
 

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..

Kuna Nabii Jacob Pia, Lolinga na Siguye wote wameshasema haya
 

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..

Kumeanza kuchangamuka, upako wa lissu unaanza kupenya kwa kasi ya ajabu, naunga mkono hoja , lissu pia inawezekana hajui ni mtu wa aina gani , wenda anajiona ni wakawaida sana ila sivyo.

Wanao shindana na lissu wenda wanaona kwa macho ya kibinadam wanashindana na mtu wa kawaida , mda mwalim
 
Sifa na Utulufu ni Kwa Bwana.

Ilinishangaza kwamba Maamuzi ya kugombea Mwenyekiti aliyafanya in lesa than 1month. Akamshinda Tajiri Mkubwa sana mwenye uwezo, nguvu, pesa, watu na Ukuu woote
Mwacheni Mungu aitwe MUNGU YEHOVA...

Mawazo yake, si mawazo yetu sisi binadamu..

Njia zake, si njia zetu sisi binadamu...

Yeye huvichagua na kuvitumia vitu dhaifu na vinyonge ili kutimiza kusudi lake huku akiviabisha vitu, watu wakuu na wejionao wenye nguvu..

Huwa nikifikiria maandiko hayo👆, picha hunijia jinsi Nabii Musa wa Agano la Kale ambaye alikuwa mchunga mbuzi na kondoo tu lakini aliokoa taifa zima la Israel toka mikononi mwa utumwa wa taifa kubwa na lenye nguvu kubwa ya kijeshi na kiuchumi la Misri wakati ule..

Na Farao na jeshi lake lote na magari yao ya vita na washawasha, farasi zao, mabomu yao, bunduki zao nk wenyewe kwa ujinga na upumbavu wao, wakajizika ndani ya vilindi vya bahari ya Shamu mpaka leo...!

Sina shaka na njia na maamuzi ya Mungu kabisa...
 
Msimtumie MUNGU kwenye ujinga wenu huko.
Hela zitafinywa mahali na huyo pungufu lissu hapati senti atakimbia
 
Kumeanza kuchangamuka, upako wa lissu unaanza kupenya kwa kasi ya ajabu, naunga mkono hoja , lissu pia inawezekana hajui ni mtu wa aina gani , wenda anajiona ni wakawaida sana ila sivyo.

Wanao shindana na lissu wenda wanaona kwa macho ya kibinadam wanashindana na mtu wa kawaida , mda mwalim
Na maandiko yanasema hivi: Kwa ushuhuda/ushaidi wa watu wawili au watatu, jambo/Neno huthibitika kuwa ni kweli na hakika...

Nakumbuka mimi kwa mara ya kwanza, upekee (uniqueness) ya mtu huyu ulisemwa na mtumishi wa Mungu Mtume Danstan Maboya na Josephat Mwingira mwaka 2018 siku chake baada ya tukio la kupigwa risasi kutokea..

Naitafuta hiyo video clip kisha nitaiweka hapa tukumbushane..
 
Huwa nikifikiria maandiko hayo👆, picha hunijia jinsi Nabii Musa wa Agano la Kale ambaye alikuwa mchunga mbuzi na kondoo tu lakini aliokoa taifa zima la Israel toka mikononi mwa utumwa wa taifa kubwa na lenye nguvu kubwa ya kijeshi na kiuchumi la Misri wakati ule..
Hakika, Mungu ni Mwenye nguvu siku zote
 

View: https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=h2rmCO7VUQwe_PWb
➡️Huu ni unabii mwingine kumhusu Tundu Lissu kutoka kwa nabii aitwaye "Prophet Denis wa Tanzania...."

➡️ Nimemsikiliza na kumtazama hadi mwisho ktk video clip hiyo. Nimemwelewa na kumuamini kwa kiasi kikubwa..

➡️Anasema kuwa, Mungu ameweka kusudi lake ndani yake juu ya nchi na taifa hili la Tanganyika. Na kusudi hili Mungu atalitimiza kupitia kwake. Kifo kimezuiliwa kabisa kwake hadi kusudi hilo litimie

➡️Anaendelea kusema kuwa, si kwamba hakuna watu wengine ambao Mungu angeweza kuwatumia. Ila kwa sasa ni wakati wa Tundu Lissu...

➡️ Anasema pia kuwa, inawezekana hata yeye Tundu Lissu hajui ni kwanini anafanya baadhi ya mambo na yanafanikiwa. Ni kwa sababu kila analofanya lina nguvu (msukumo wa Mungu) na litafanikiwa..

➡️Amemaliza kwa kusema, maisha yake si marefu sana. Mara atakapokuwa ametimiza kusudi la Mungu, hapo MUNGU ataruhusu kuondoka (kufa) kwake...

➡️Kwa Sasa hakuna wa kuzuia jambo lolote atakalopanga kulifanya lenye mwelekeo wa KUTIMIZA KUSUDI HILI LA MUNGU NDANI YAKE juu ya nchi na taifa hili kwa sababu SI YEYE BALI NI MUNGU YEHOVA NDANI YAKE ANATENDA KAZI...!

##Sasa jiulize swali hili:

Kwamba, kuna binadamu au shetani gani awezaye kuzuia mipango na makusudi ya Mungu? Je, Mungu akiamua jambo fulani liwe, haliwezi kuwa...?

##Chawa wa CCM na mama Samia karibuni kwa maoni yenu..

Aisee
 
Na maandiko yanasema hivi: Kwa ushuhuda/ushaidi wa watu wawili au watatu, jambo/Neno huthibitika kuwa ni kweli na hakika...

Nakumbuka mimi kwa mara ya kwanza, upekee (uniqueness) ya mtu huyu ulisemwa na mtumishi wa Mungu Mtume Danstan Maboya na Josephat Mwingira mwaka 2018 siku chake baada ya tukio la kupigwa risasi kutokea..

Naitafuta hiyo video clip kisha nitaiweka hapa tukumbushane..
Mwingira aliyasema wakati wa Kampeni za Uchaguzi 2020 November
 
Msimtumie MUNGU kwenye ujinga wenu huko.
Hela zitafinywa mahali na huyo pungufu lissu hapati senti atakimbia

1. Unawaza na kufikiri kibinadamu mno. Na hata hujui kuwa mawazo ya wanadamu siku zote ni corrupted kama tu haya yako yalivyo...

2. Kuna aliyezuia Yesu Kristo kutimiza kusudi la Mungu kuukoa ulimwengu hata baada ya watawala wa kiserikali ya Kiyahudi na Kutumia kutumia njia ya juu na ya mwisho kabisa kumdhibiti ya kumbambikia kesi ya uhaini na mwisho kumhukumu adhabu ya kifo...?

Je, Kaburi lilizuia kufufuka kwake Ili kulitimiza kusudi la Mungu..?

Bila shaka majibu ni LA HASHA...

3. Na hujui kuwa "...FEDHA NA DHAHABU NA VYOTE VYA MBINGUNI NA DUNIANI NI MALI YA MUNGU...?"

SASA SWALI KWAKE NI HILI: Unaweza vipi kuminya na kuficha kisicho Mali yako ewe mwanadamu mjinga na mpumbavu usiye na HEKIMA wala UFAHAMU...?
 
Msimtumie MUNGU kwenye ujinga wenu huko.
Hela zitafinywa mahali na huyo pungufu lissu hapati senti atakimbia
We ukishakutana ama.kusikia mtu kapigwa risasi 16 zilizoingia mwilini kwake na bado akapona anatembea na akili ipo sawa??
Magu kilichomponza ni kufanya hayo aliyoyafanya ambayo mengi yalikuwa ni machukizo kwa Mwenyezi Mungu.
Kuna huyu naye kaanza kuyarithi, awe tayari kukutana na mkono wa Mungu.
 
Kumeanza kuchangamuka, upako wa lissu unaanza kupenya kwa kasi ya ajabu, naunga mkono hoja , lissu pia inawezekana hajui ni mtu wa aina gani , wenda anajiona ni wakawaida sana ila sivyo.

Wanao shindana na lissu wenda wanaona kwa macho ya kibinadam wanashindana na mtu wa kawaida , mda mwalim
Ujasiri wa Watumishi wa siku hizi sio wa kawaida ukizingatia context ya kisiasa za Tzanzania


Ukienda Youtube kuna Watumishi wa Mungu zaidi ya 20 wana address Utukufu wa Mungu kupitia muujiza na matukio ya Lissu wakihusianisha na Kaanani ijayo
 
We ukishakutana ama.kusikia mtu kapigwa risasi 16 zilizoingia mwilini kwake na bado akapona anatembea na akili ipo sawa??
Magu kilichomponza ni kufanya hayo aliyoyafanya ambayo mengi yalikuwa ni machukizo kwa Mwenyezi Mungu.
Kuna huyu naye kaanza kuyarithi, awe tayari kukutana na mkono wa Mungu.
Bi Samia Suluhu Hassan anapitia njia ileile aliyopitia mwendazake John P. Magufuli...

Tena huyu yeye ni mjinga na mpuuzi kupindukia na mwepesi kuliko hata unyoya wa kuku..

After all ni "intruder" au kwa kiswahili "mvamizi". Yaani raia wa nchi ya kigeni iitwayo Zanzibar kuitawala nchi nyingine iitwayo Tanganyika..

Huyu asiposikia, hafikishi hata hiyo oktoba ya mwaka huu 2025...

Tupo hapa na tutakumbushana..
 
Back
Top Bottom