Punyeto ni nini na nini madhara yake?
Itachukua miaka mingi sana mpaka nije kuamini punyeto ina madhara.
Nimepiga puli kwa muda wa miaka 13,nimekuja kuacha baada ya kuoa na sijapata tatzo lolote mpaka hivi sasa.
Wewe itakuwa una matatizo yako ya kiafya wala usisingizie punyeto
 
Habari wana jf nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now... Nliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri had juzi Kati tu nlpoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali so shwari, uume wangu husimama legelege na nktaka kuanza mchezo uume huzima kabsa.... Nashindwa kujua nofanye nn maana nimemalza vicngzio vyote kwa wasichana nlowahi kuwa nao.... Naomben masaada wenu
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
JANGA LA TAIFA HILI ILA LIMENYAMAZIWA TU.
Mojawapo kati ya magonjwa yasiyoambukizwa ila yenye madhara makubwa kwa nguvu kazi ya taifa.... Sipati picha taifa linapojaa wapiga nyeto na wasagaji... Kuzaana na kuongezeka kuijaza dunia ndio itakuwa basi tenaaa

Duuh... Ewe mwenyezi MUNGU tunusuru waja wako
 
1479712317452.jpg
 
Habari wana jf nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now... Nliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri had juzi Kati tu nlpoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali so shwari, uume wangu husimama legelege na nktaka kuanza mchezo uume huzima kabsa.... Nashindwa kujua nofanye nn maana nimemalza vicngzio vyote kwa wasichana nlowahi kuwa nao.... Naomben masaada wenu
Acha kabisa punyeto kama utatumia vitu hivyo walivosuggest then ukaendelea na punye mwishowe utakuwa hauwezi kabisa. Hili liwe funzo kwa wengine
 
Pole sana mkuu nlikuepo huko kwa kitambo kirefu kidogo kuanzia mwaka 2003 mpka 2014… sina uhakika kama nmeacha kweli au nmepumzka tu maana kuacha hyo kitu ni ngumu askwambie mtu...lkn nna mwaka wa pili sasa na zaid sijapiga nyeto nkupe njia nlizotumia mm...
1. Epuka kukaa peke yako na kukaa bila kaz yaan upoupo tu huna cha kufanya ndio hapohapo mawazo ya kupga puchu ndipo yatakapokujia kumbuka an empty mind is the devils workshop.

2. Acha kabisa kuangalia pornography zile image zinapostick kwny mind kila mda unakumbshia kujichua.

3. Acha kujishikashika nyeti.
Ukishaacha kkupga nyeto kama sku5 mfululzo utaanza kupiz kitandan usk usjali fanya kifuatacho hatua ya4.
4. Anza kupiga zoez hasa squats na kegeli ili kutumia nishat ya ziada ya mwili wako inayokufanya usisimke kila mara endelea hvyo mpka hzo wet dreams zitakapoisha then utaanza kuregain ur erection unaweza kugoogle ili kujua namna ya kufanya haya mazoez hata hom kwako.
5. Kula vyakula vnavyoongeza libido kama mihogo mibich nazi karanga mbich na maziwa fresh. Sio lazma upate vyote hata ukipata kimoja au viwili kat ya hvyo vyakula nakushaur maziwa ya moto na karanga. Kwa kipind hik zidisha mazoez hasa squats but avoid heavy load lifting tumia uzito mdogo lkn fanya repeatition nyng kadri uwezavyo.

5. Fanya mapenzi mara nying kadri uwezavyo practice makes perfect at the end uje utupe mrejesho.
Onyo: usijaribu kutumia dawa yoyte ya kuongeza maumbile au nguvu za kiume iwe ya kienyej au ya kizungu usitumie kabisa
 
Punyere lina madhara makubwa. Vijana sisi tunaendekeza mno kwa mwamvuli wa Kubana matumizi. Hii ni hatari kwa afya zetu. Punyere ni hatari zaidi kuliko Shisha. Uongozi waliangalie.
 
Back
Top Bottom