Thanx kaka ubarikiweAcha punyere kisha Anza mazoezi ya kegel na kukimbia, kunywa maji mengi, pumzika (usingizi) vya kutosha, acha vileo. Wk mbili za mwanzo utaona mabadiliko.
Nafkiri itakua busara kama vijana wataelezwa waziwazi athari za kuzidisha hii kituJANGA LA TAIFA HILI ILA LIMENYAMAZIWA TU.
Ukiwa na Shida yoyote ileHabari wana jf nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now... Nliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri had juzi Kati tu nlpoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali so shwari, uume wangu husimama legelege na nktaka kuanza mchezo uume huzima kabsa.... Nashindwa kujua nofanye nn maana nimemalza vicngzio vyote kwa wasichana nlowahi kuwa nao.... Naomben masaada wenu
kegel ndio nini hiyoUko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yote
Unaichukia ili iwejeKaka nina hakika hapa ni mwisho naichukia hii kitu
Mojawapo kati ya magonjwa yasiyoambukizwa ila yenye madhara makubwa kwa nguvu kazi ya taifa.... Sipati picha taifa linapojaa wapiga nyeto na wasagaji... Kuzaana na kuongezeka kuijaza dunia ndio itakuwa basi tenaaaJANGA LA TAIFA HILI ILA LIMENYAMAZIWA TU.
Acha kabisa punyeto kama utatumia vitu hivyo walivosuggest then ukaendelea na punye mwishowe utakuwa hauwezi kabisa. Hili liwe funzo kwa wengineHabari wana jf nimeona niandike tu hata sasa maana nimeshindwa kabisa kulala, nina miaka 26 now... Nliwahi kuwa mpiga punyeto mashuhuri had juzi Kati tu nlpoamua kuacha lakini toka nimeacha na kuhamia kwa viumbe aliotuandalia Mungu hali so shwari, uume wangu husimama legelege na nktaka kuanza mchezo uume huzima kabsa.... Nashindwa kujua nofanye nn maana nimemalza vicngzio vyote kwa wasichana nlowahi kuwa nao.... Naomben masaada wenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uongozi wa Chaputa tunasikitika kumpoteza huyu kijana
Sina huku inaitwa 'utakuja tu'[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahh amerudisha kadi huyoo
Kegeli ndo nini ???Uko sahihi kabisa.kegeli ndo mwisho wa yote