Mazoezi ni dawa
Pia ondoa hayo mawazo kwamba haisimami we forcus kwenye mambo mengine tu utashtukia mambo yanarudi as normal.
 
Kula tikitimaji na mbegu zake bila kuchanganya na kitu chochote( wakati ukiwa na njaa asa asa mchana ), chukua punje za vitunguu swaumu zikate Kate, meza na maji mara 3au2 kwa siku. Kitunguu swaumu kinachochea kufufua mishipa ilio sinyaa/ kukosa nguvu..
 
Asante hii nzurii
 
Asante mkuu
 
Nitakupa dawa ndogo inayosaidia be connected na wanawake penda kushika mkono wanawake kuwaangalia kushika bega yaan mda mwingine tumia kuwa karibu na wanawake itakusaidia kias flan...punyeto yako ulikuwa unapigaje
 
Nitakupa dawa ndogo inayosaidia be connected na wanawake penda kushika mkono wanawake kuwaangalia kushika bega yaan mda mwingine tumia kuwa karibu na wanawake itakusaidia kias flan...punyeto yako ulikuwa unapigaje
Na mkono mkuu tena wa kulia
 
Kwa kweli hakuna udhalili mkubwa kwa mwanaume kama uume kushindwa kusimama haswa wakat wa tendo. Halafu usiombe hali hii ikukute ukiwa na mtoto mkaliiii tena aliekusumbua kwa muda mrefu .Hatare sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…