Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Sawa mkuu hata kama sio wewe!!Eeeh kwan nani amesema ana matatizo hayo?
Haya sorry!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu hata kama sio wewe!!Eeeh kwan nani amesema ana matatizo hayo?
Ila kunuka mdomo jau mkuuSawa mkuu hata kama sio wewe!!
Haya sorry!
Na fahamu vizuri tu mkuu hata kwenye interview unaweza kosa kibarua kwasababu ya hii!!Ila kunuka mdomo jau mkuu
Hata uwe msafi vipi ukinuka mdomo heshima yako inashuka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na fahamu vizuri tu mkuu hata kwenye interview unaweza kosa kibarua kwasababu ya hii!!
Usivitafune vikate Kate meza na maji Kama unavyomeza vidongeVitunguu swaumu vinasababisha mdomo unuke
Mimi mwenyewe nilikuwa mhanga sikulazimishi utumie Ila ni elimu tu nilikuwa nakupa maana ilishanisaidia SanaUshakutana na wahanga wa aina yangu hii mkuu
Asante hii nzuriiPia hakikisha vishawishi vya punyeto unakaa navyo mbali mfano picha za wadada warembo na ambao wameacha maeneo yao nyeti nje(pornographic) bila kuyafunika unazifutilia mbali kwenye simu yako au PC pia hakikisha hautazami videous za ngono maarufu x. (porno-videous)...
Pia ujumbe au hadithi za mapenzi pamoja na videous za bongo movies...
Kimsingi jitahidi kutengana na vishawishi uki shindwa hakikisha unaye wako wakupozea...
Kwenye suala la uume kutokuwa imara hakikisha haushiki mara kwa mara huko na pia kula tembele kama mboga na viazi vitamu(mbatata) na matunda ya kutosha bila kusahau maji na zoezi la kutosha!!
Ongeza na chai safi iliyotengenezwa kwa limau na tangawizi
Hope it's helpful!!
Asante mkuuKula tikitimaji na mbegu zake bila kuchanganya na kitu chochote( wakati ukiwa na njaa asa asa mchana ), chukua punje za vitunguu swaumu zikate Kate, meza na maji mara 3au2 kwa siku. Kitunguu swaumu kinachochea kufufua mishipa ilio sinyaa/ kukosa nguvu..
Sawa mkuuJitahidi kula vizuri
Mihogo na nguvu wapi na wapiPendelea kula mihogo mibichi
Na mkono mkuu tena wa kuliaNitakupa dawa ndogo inayosaidia be connected na wanawake penda kushika mkono wanawake kuwaangalia kushika bega yaan mda mwingine tumia kuwa karibu na wanawake itakusaidia kias flan...punyeto yako ulikuwa unapigaje
Ipi hiyoo