Kweli kabisa
 
Nina mwezi 1 na nusu

Ndugu mwezi mmoja ni mda mdogo sana,mm nilianza huu mchezo 2004-2013 june,nilikua addicted sana,kwa siku nilipga hadi mara4

ila nilipoamua kuacha kutoka moyoni,nilizingatia mazoezi coz mm ni mcheza mpira,,nilipokutana na msichana 2014,nilipiga kimoja tu tena haraka nikaishiwa nguvu

2014 nkaingia jeshini mwaka jana nmetoka huko nilimaliza mafunzo,mpaka sasa niko vizuri japo chakwanza natumia dakka 6+,,,jitahd sana

ukiweza niPM nikushauri,,sihitaji chochote toka kwako,,ila hili swala linaumiza sana
 
Tatizo mnatumia sabuni na kutumia nguvu
Nikufunze mbinu yangu niliyoitumia toka darasa la 5 hadi leo na bado nadunda?
 
Enheee wapiga puli acheni puli jamani
 
Hapo mwishoni kuna neno umesahau au mimi ndo sijaelewa
 
 
Nashauri serikali swala la punyeto liondolewe kwenye syllabus uko primary tumefundishwa kama njia nzuri ya kuzuia ukimwi ndo michezo inakoanziaga, nakumbuka mwalimu philibert Raphael ndo ulinifundish huu mchezo darasa la sita namshukuru mungu nimeacha na sijawai kuwa na upungufu wa nguvu za kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…