ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,197
Mafuta ulikiw unatumia?nguvu ulikuwa unatumia?Na mkono mkuu tena wa kulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta ulikiw unatumia?nguvu ulikuwa unatumia?Na mkono mkuu tena wa kulia
Kweli kabisaJihadhari sana kijana, sio kila jambo ni la kujaribu, usigeuze mwili wako kuwa specimen ya kufanyia majaribio. Aidha, acha ngono, kuwa mchamungu, nguvu zako zitarejea zenyewe taratibu. Mwili una mechanism nzuri sana ya kujitibu wenyewe. Tafuta kuweka heshima kwa mwanamke asiye mke wako uone utakavoendelea kuangamia. Ni hayo tu kijana.
Nina mwezi 1 na nusu
mkuu unauhakika hautasimama daima ??Ndo imetoka hiyo hautasimama vizuri tena daima
hahaha ttzo kumbe ni style mkuuYaan nishajaribu ila kuna style siwezi mueka mwanamke kwa sababu ya ulegelege wa uume
Mkuu hii si kama boost tu, yeye anataka suluhisho la kudumu
Enheee wapiga puli acheni puli jamaniKama kichwa cha habari kinavojieleza.nimekuwa na hili tatizo miaka kadhaa na nimejitaidi kuacha mara nyingi sanaa na hatimae nimeacha kabisa na ninakili hilo
Tatizo nililonalo saiv ni katka uume wangu kutoweza kusimama vizuri na kuplay mechi, yaani uume unasimama legelege ambavyo mimi siliziki ata kidogo kusimama kwa uume wang
Wana jf naomba msaada ili niweze rudisha hali yangu ya kawaida ili niweke heshima kwa mwanamke wangu. Msaada tafadhal hili tatizo linanisumbua sanaa na linanifanya nisiwe na raha kabisa
Note:naomba ushauri
Hapo mwishoni kuna neno umesahau au mimi ndo sijaelewaNashauri serikali swala la punyeto liondolewe kwenye syllabus uko primary tumefundishwa kama njia nzuri ya kuzuia ukimwi ndo michezo inakoanziaga, nakumbuka mwalimu philibert Raphael ndo ulinifundish huu mchezo darasa la sita namshukuru mungu nimeacha na sijawai kuwa na nguvu za kiume
[emoji23] [emoji23]Wanaume tumeumbiwa mateso
Kweli nilitaka niandike sijawai kuwa na upungufu wa nguvu za kiumeHapo mwishoni kuna neno umesahau au mimi ndo sijaelewa
Nashauri serikali swala la punyeto liondolewe kwenye syllabus uko primary tumefundishwa kama njia nzuri ya kuzuia ukimwi ndo michezo inakoanziaga, nakumbuka mwalimu philibert Raphael ndo ulinifundish huu mchezo darasa la sita namshukuru mungu nimeacha na sijawai kuwa na upungufu wa nguvu za kiume