pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Akimaliza akitaka kurudia round ya pili ni kwa kulazimishia yani anakuwa hayupo fully erect sometimes anaweza akawa anatamani kabisa kufanya lakini in the middle of kufanya tendo nasikia kabisa kwamba jogoo amesha sinyaa basi inabidi tuishie hapo mpaka after a while tunajaribu tena kuna kipindi mazoezi alikuwa anafanya lakini sasa naona ameacha
jaribu hivi kabla ya kwenda kwenye iyo kitu hakikisha amekula adi kashiba alafu asile vyakula ambavyo vinayeyuka mapema tumboni mfano chips make ukienda kwenye game ukiwa umekula chips utaumbuka endapo utakutana na mwanamke kama wewe ambae unakua umepania mechi. akishindwa kwa njia hiyo ndipo unipm kuna mtu anaweza msaidia.