Kwa hiyo umepiga kwa miaka 11.
Mbona wewe ni cha mtoto!,kuna watu wamepiga kwa zaidi ya hiyo miaka 11 na wapo kawaida tu.
Kilichosababisha uwe katika hali hiyo,ni kuweka sana akilini maneno yanayosemwa na wasiowahi kupiga kwamba ina madhara,imesababisha kiwango kikubwa cha akili yako kuwaza madhara saa zote,hata maamuzi yako yanawaza kushindwa saa zote kwenye tendo la kujamiiana.
SULUHISHO:
Ili wazo la kushindwa lililoganda kwenye akili yako litoke,dawa ya kuanzia ni mwanamke tu,mwanamke ndiye atakayekupatia moyo wa hata kuanza kutumia vyakula unavyoshauriwa na wakuu hapa JF.
Mwanamke anakuwa chanzo cha wewe kupata moyo wa kuanza kutumia vitu vingine vya asili kivipi?,ni kwa tendo la ndoa tu,kivipi?,mtafute mwanamke ambaye hamjuani,yaani iwe ndiyo mara ya kwanza mnaonana,iwe mchana au usiku,asiwe wa mtaani kwenu,lengo la kumtafuta mwanamke msiyejuana,ni,hata ukichemka,huna wasiwasi wa kutangazwa kuwa umeshindwa mchezo,na hata yeye mwenyewe hatokuwa na wazo na wewe la kukutangaza kwa sababu hakujui,na kuhusu huyu mwanamke msiyejuana,tafuta yule ambaye hana confidence,ikiwezekana nusu kichaa,au ili mradi umzidi confidence,maana yake tafuta mwanamke ambaye hata ukiwa naye kitandani unakuwa huna hata wasiwasi naye,mwanamke makini au kiwango atakupotezea confidence kwenye hatua za mwanzo za kutafuta uponyo.Kwa hiyo fanya uwezavyo utafute mwanamke ambaye hakupi hofu muwapo kitandani.Inakuwaje kuwaje sasa kwenye zoezi la kujenga akili yako?,kwa mfano,umeshindwa kwa wa kwanza msiyejuana,usikate tamaa,pumzika kidogo kama siku mbili tatu halafu tafuta mwingine tena msiyejuana.Hivyo hivyo,ipo siku lazima utafanikiwa hata kuingia ndani ya zizi,ukifanikiwa kuingia ndani ya zizi utaona utamu wake,kwa sababu utakuwa umeshaujua utamu,kukukuruka kihisia ili uingie kwenye utamu litakuwa ni jambo la kawaida,kwa hiyo kuingia kwenye zizi litakuwa jambo la kawaida,yaani kusimamisha sasa litakuwa ni jambo la kawaida,kwa sababu sasa mjomba utakuwa anasimama,siku ya siku utajishangaa unapiga kamoja,utakuwa mzee wa kamoja,kamoja utakaona ka kawaida,siku nyingine utakuwa unapiga zaidi ya moja.Hata moyo wa kutumia natural diet utakuwa nao sasa.
Umeelewa?