Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weweee.chaputa chama tawala.Hongera sana kwa kutoka kwa hiari CHAWAPUTA, hakikisha unawaza khs pale kati ila usiwazie sabuni
Ni hayo tu
HahahahWeweee.chaputa chama tawala.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Weweee.chaputa chama tawala.
Chaputa oyeee tupo ngangariWeweee.chaputa chama tawala.
Nina mwezi 1 na nusuuna mda gani tangu uache
Asante mkuu ila sio rahisi kiivoHongera sana kwa kutoka kwa hiari CHAWAPUTA, hakikisha unawaza khs pale kati ila usiwazie sabuni
Ni hayo tu
Una muda gani tangu uache huo mchezo?Kama kichwa cha habari kinavojieleza.nimekuwa na hili tatizo miaka kadhaa na nimejitaidi kuacha mara nyingi sanaa na hatimae nimeacha kabisa na ninakili hilo
Tatizo nililonalo saiv ni katka uume wangu kutoweza kusimama vizuri na kuplay mechi, yaani uume unasimama legelege ambavyo mimi siliziki ata kidogo kusimama kwa uume wang
Wana jf naomba msaada ili niweze rudisha hali yangu ya kawaida ili niweke heshima kwa mwanamke wangu. Msaada tafadhal hili tatizo linanisumbua sanaa na linanifanya nisiwe na raha kabisa
Note:naomba ushauri
hahaha, haya mkuuAsante mkuu ila sio rahisi kiivo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kula protini nyingi na mkuyati
Mwambie huyo kuacha ngumuAsante mkuu ila sio rahisi kiivo