Benfamous
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 484
- 375
Nitafanya ivoooNitafute kwa Tiba
0714547830 wasap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafanya ivoooNitafute kwa Tiba
0714547830 wasap
Hiyo lazma nilete mrejeshoUsisite kuleta mrejesho mkuu
Hata ivoo najitaid kuwa busy na shughuri zangu mkuuJitahidi usifanye mapenzi kwa sasa mpaka hali itakapokuwa sawa .
Sante kwa kunitia moyo man p1Ondoa hofu na wasiwasi. Tabia ya kujichungulia chungulia kuona kama imesimama kwa kishindo ndo inakuletea hofu. Kwani mkeo haridhiki? haimkuni kisawa sawa?
Relaxxxxxx mannnn
Ila umewezaje kuacha huu mchezo mkuu?Hata ivoo najitaid kuwa busy na shughuri zangu mkuu
Ni baada ya kufikiria kwamba nitaishi kitumwa namna hii mpaka lini mkuu so nikaona nichukue maamuzi magumu kama hayaIla umewezaje kuacha huu mchezo mkuu?
Yani I mean ilikuwa kuaje mpaka ukaacha?.
Jihadhari sana kijana, sio kila jambo ni la kujaribu, usigeuze mwili wako kuwa specimen ya kufanyia majaribio. Aidha, acha ngono, kuwa mchamungu, nguvu zako zitarejea zenyewe taratibu. Mwili una mechanism nzuri sana ya kujitibu wenyewe. Tafuta kuweka heshima kwa mwanamke asiye mke wako uone utakavoendelea kuangamia. Ni hayo tu kijana.Sorry na ww ulitumiq hiyo njia mkuu.ngoja nifanye ivooo
WellHiyo lazma nilete mrejesho
Ushakutana na wahanga wa aina yangu hii mkuuChukua punje za vitunguu swaumu kumi katakata vipande vidogo vidogo meza Na maji glàsi Moja kutwa mara Moja and then shushia chai ya tangawizi,mdalasini,karafuu mixture na iriki Kila siku Kwa mda wa wiki mbili utanipa mrejesho,watakukimbia aisee wacha tu Ninaushahidi Mkubwa tu ndugu usikate tamaaa
Siku za mwanzoni hali ilikuaje?Ni baada ya kufikiria kwamba nitaishi kitumwa namna hii mpaka lini mkuu so nikaona nichukue maamuzi magumu kama haya
Ipi hiyooDawa ya kupaka kwenye uume ipo mkuu na mishipa ya uume itarudia katika uimara wake tu
Vitunguu swaumu vinasababisha mdomo unukeChukua punje za vitunguu swaumu kumi katakata vipande vidogo vidogo meza Na maji glàsi Moja kutwa mara Moja and then shushia chai ya tangawizi,mdalasini,karafuu mixture na iriki Kila siku Kwa mda wa wiki mbili utanipa mrejesho,watakukimbia aisee wacha tu Ninaushahidi Mkubwa tu ndugu usikate tamaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeshakabidhi kadi ya chama?
Vitunguu swaumu vinasababisha mdomo unuke
Eeeh kwan nani amesema ana matatizo hayo?Unaogopa kunuka mdomo kuliko tiba mkuu...
Mm huo mchezo sikuwa addicted nao kabisaUnaogopa kunuka mdomo kuliko tiba mkuu...