Habari zenu bandugu,
Once again nahitaji msaada wenu nikiamini hiki ni chuo cha mafunzo .
Jamani miaka kadhaa huko nyuma enzi za sekondari nilijikuta napenda sana huu mchezo wa punyeto(naomba kusahihishwa kwanza kama kuna jina muafaka kwa wanawake la punyeto).Enzi hizo niliamini ni njia mbadala ya kuniepusha na majaribu ya mafataki na kweli nilifanikiwa ,sasa baada ya kukua kimwili na kisaikolojia nikaachana nao kabisa huu mchezo.
Sasa kama miezi miwili hivi nimejikuta na majaribu ya kuurudia huu mchezo baada ya kua in distance love(relationship),naombezi msaada wa mawazo
(i)kuna njia yeyoye mbadala wa kuepuka hili au kama hakuna .
(ii)kuna madhara yeyote atayopata mwanamke anayejihusisha na hili,naomba nisisitize hapa nahofia zaidi madhara kwenye mahusiano yangu au ndoa hapo mbeleni if ikizoeleka hali hii maana hizi mada nazofatilia humu nyingi zimekua zikionyesha madhara upande wa pili kama kupungukiwa nguvu za kiume.sasa kuna kupungukiwa nguvu za kike au kuna madhara mengine.
Naomba ushauri toka kwa wadada kama wameexperience hii au wameweza vipi be in distance love kwa kuepuka hii kitu
Naomba ushauri kwa wanaume kama walifanikiwa kukutana na mwanamke aliyeathirika na hili tatizo I min addicted na walihandle vipi mahusiaono yao
Naomba kuwasilisha ,
NB,Kila side effect ije na constructive way forward kusolve