Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

huyu kenge angeenda kwanza kumalizana na vita vyaukabila vinavyoendelea hapa Kenya kabla yakuongelea mambo yawanaume mbuzi huyu
 
Nato wakiingia Inamaana Putin atasimama peke yake?
Sasa huyo Beralus, atamsaidia nini?!!mchina kwenye vita ambayo haimuhusu moja kwa moja hawezi tia mguu.NATO iamue kweli kuingia vitani putin hataweza, kuhimili, kwanza uchumi wenyewe ndio huo, wa kawaida, akiminywa kwa vikwazo vizito tu, inatosha, kwa kuanza tu ujerumani wame stopisha mradi wa nordic 2, Uk, tayari mabenki makubwa 5, ya urusi, yamewekewa vikwazo!!!muulize boss wa chelsea kinachomkuta , hawezi kuingia UK, kisa ni ukaribu na Putin!!
Yaani siasa za KAGAME, uzitumie kwa watu waliostarabika utagombana na watu tu!!hizo ni siasa za huku kwa NYANI WALIOCHANGAMKA TU.
 
Nato hawaingiliii vta vinavyopiganwa jirani yao hata siku moja
Putin amepewa ruhusa kushambulia nchi yoyote na bunge lao leo

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Belarus atampa Russia eneo zuri la kuipiga Kiev na Poland
 
kwasababu hivi ndio vitakua vikwazo vyakwanza vya west kwa RUSSIA uko sahihi watamla nyama
 
Nato hawaingiliii vta vinavyopiganwa jirani yao hata siku moja
Putin amepewa ruhusa kushambulia nchi yoyote na bunge lao leo

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Urusi kuna bunge bana!!ni kama la nchi ile ya porto rico tu!!hakuna sheria/mkataba huo kuwa hawawezi pigana vita vilivyo jirani nao!!
Putin ile nchi ni kama familia yake tu, hakuna uongozi pale.
 
hili naliona RUSSIA kupeleka majeshi VENEZUELA na CUBA
acha tuone
 
Belarus atampa Russia eneo zuri la kuipiga Kiev na Poland
Kwenye vita kuna mambo mengi, zaidi ya eneo tu, japo ukaribu una umuhimu wake!!
Kwa mtizamo wangu hakuna vita hapo, ni putin ana piga mkwala tu, ili kutaka matakwa yake hasa ya ukraine kutojiunga na NATO, yakubaliwe!!lakini USA, aamue sasa jiunge, utamuona ataufyata tu, sema NATO, haaoni umuhimu wa vita hivyo kwa sasa.
 
inangojea nn iamue ss [emoji2][emoji23][emoji23]
 
wanangojea nn kuamua [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Urusi kuna bunge bana!!ni kama la nchi ile ya porto rico tu!!hakuna sheria/mkataba huo kuwa hawawezi pigana vita vilivyo jirani nao!!
Putin ile nchi ni kama familia yake tu, hakuna uongozi pale.
sio mbaya MKUU maadam inchi inaenda vyema
 
inangojea nn iamue ss [emoji2][emoji23][emoji23]
Hahaaa!!NATO, wanaangalia mambo mengi, kwani muungano wa nchi nyingi na bahati nzuri zina mabunge /wananchi wanaojitambua, hivyo lazima mpime mambo mengi!!lakini li PUTIN, likisema tayari ndio hivyo.
Hapana bana wasipigane, kwani hatutakawia kuambiwa bana mafuta ya kula , nyama zimepanda, kutokana na vita hivyo!!
 
[emoji2][emoji2][emoji2] kama havina umuhimu vikwazo vua nn?
 
kila nchi namaamuzi yake kama wao wameamua kuishi hvyo na RUSSIA wanaishi vile hakuna shida
 
[emoji2][emoji2][emoji2] kama havina umuhimu vikwazo vua nn?
Madhara ya vita kiuchumi pande zote ni makubwa, ila wanapokuwekea vikwazo, ni kuwa asilimia kubwa wanauathiri uchumi wako!!kiuchumi urusi anaitegemea sana EU, kuliko Eu, inavyoitegemea Urusi
 
kila nchi namaamuzi yake kama wao wameamua kuishi hvyo na RUSSIA wanaishi vile hakuna shida
Sio kwa dunia ya sasa, hizo ni siasa za miaka ya 40 huko, yaani mtu akiwa mpinzani wako, tu kisiasa unachokiona ni kumuua/kumfunga? Wameamua vipi?au ni kulazimishwa tu, ina maana hata hapa kwetu tumeamua kuwa na bunge la chama kimoja, uongozi kuanzia kijiji hadi taifa ni CCM tu?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…