Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Putin asaini waraka wa kuamuru Majeshi ya Urusi kuingia Ukraine kulinda amani majimboni

Ngome ambayo haina hata commanding post hata moja? Tukubali urusi kwa sasa hakuna cha USA au NATO anaeweza kuisumbua Russia [emoji635]
Nakazia
Screenshot_20220222-155139.jpg
 
Silaha zao mikwara yao yote waliyotoa waliamini Russia ataogopa ona misaada yao yote inaweza kuchukuliwa na Russia wao sa ivi wanawaza kuweka vikwazo
Mda wote walisema wataweka vikwazo na kuwasidia silaha hao Ukraine.

Wenye wajibu wa kupigana ni Ukraine,Rais wao kaomba NATO waweke vikwazo na wawape silaha Ili Russia akivuka mpaka kuelekea Kiev wapambane.
 
Tunajua vita inagharimu sana maisha ya watu na uchumi. Russia ikiwekewa vikwazo vya kiuchumi wataishi vipi baada ya vita? Wana mpango mbadala au watasalimu amri Kwa NATO? Don't you think USA na NATO kama wamemtoa chombo Ukraine ili wamuingize kwenye 18 Urusi kwenye uchumi then wamle nyama?
Russia wamepigana na watabe wa dunia kawatoa kamasi sause Hao nato kaishi na vikwazo mpka vikwazo vyenyewe vinajiuliza au sisi sio vikwazo na tuseme putin ni mpango wa Mungu


Putin yavlyatetsya luchshim prezidentom vetoy vselennoy.
 
Oyaaaa kimeumana huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] timu west mko wapi njooni huku, mda sio mrefu tunaikamatw Kiev [emoji23]

#UPDATE Russian lawmakers gave Vladimir Putin the green light to deploy forces abroad, paving the way for the Russian leader to send troops into Ukraine despite a fierce global backlash https://t.co/TaradSdBXP
 
Haya sasa Biden amesema ikiwezekana watajibu hata kwa VITA.
 
22 February 2022
White House WH.GOV

Executive Order to Impose Costs for President Putin’s Action to Recognize So-Called Donetsk and Luhansk People’s Republics​


Today,President Biden signed an Executive Order (E.O.) to respond to President Putin’s action to purportedly recognize the so-called Donetsk and Luhansk People’s Republics (DNR and LNR) as “independent” states. President Putin’s action contradicts Russia’s commitments under the Minsk agreements, refutes Russia’s claimed commitment to diplomacy, and undermines Ukraine’s sovereignty and territorial integrity.

This E.O. is distinct from the swift and severe economic measures we are prepared to issue with Allies and partners in response to a further Russian invasion of Ukraine. We are continuing to closely consult with Ukraine and with Allies and partners on next steps and urge Russia to immediately deescalate.

Today’s E.O. prohibits:

  • New investment in the so-called DNR or LNR regions of Ukraine by a United States person, wherever located;
  • The importation into the United States, directly or indirectly, of any goods, services, or technology from the so-called DNR or LNR regions of Ukraine;
  • The exportation, reexportation, sale, or supply, directly or indirectly, from the United States, or by a United States person, wherever located, of any goods, services, or technology to the so-called DNR or LNR regions of Ukraine;
  • And any approval, financing, facilitation, or guarantee by a United States person, wherever located, of a transaction by a foreign person where the transaction by that foreign person would be covered by these prohibitions if performed by a United States person or within the United States.
The E.O. also provides authority to impose sanctions on persons determined:

  • To operate or have operated since the date of the order in the so-called DNR or LNR regions of Ukraine;
  • To be or have been since the date of the order a leader, official, senior executive officer, or member of the board of directors of an entity operating in the so-called DNR or LNR regions of Ukraine;
  • To be owned or controlled by, or to have acted or purported to act for or on behalf of, directly or indirectly, any person whose property and interests in property are blocked pursuant to this order;
  • Or to have materially assisted, sponsored, or provided financial, material, or technological support for, or goods or services to or in support of, any person whose property and interests in property are blocked pursuant to this order.
The Department of the Treasury is issuing six General Licenses to ensure that humanitarian and other related activity can continue in these regions:

  • The purpose of this E.O. is to deny Russia the chance to profit from its blatant violations of international law. These actions are not directed at the people of Ukraine or the Ukrainian government.
  • Treasury’s General Licenses are designed to support the innocent people who live in the so-called DNR and LNR regions who did not have a choice in Russia’s destabilizing and illegitimate actions today.
  • The licenses allow a short-term wind down of activities, as well as for the export to the regions of food, medicine and medical devices, and ensure personal remittances can continue to flow.
  • The licenses also allow telecommunications and internet services to remain operational, and mail services to continue.
  • The licenses allow international organizations to be able to provide aid to the people in these two regions.
The United States will not hesitate to use its authorities to target those supporting efforts to undermine Ukraine’s sovereignty and territorial integrity. This authority provides the United States with the flexibility to impose similar restrictions on any other regions of Ukraine as appropriate.

Source : FACT SHEET: Executive Order to Impose Costs for President Putin’s Action to Recognize So-Called Donetsk and Luhansk People’s Republics | The White House
 
labda hio vita ipiganwe humo humo ndani ya UKRAINE maana hamna ataeweza rusha hata jiwe ndani ya mipaka ya RUSSIA nasema tena.hakuna
NATO wamemuingiza chakike UKRAINE wakamvimbisha kichwa halaf wanamacha
Putin kawaaibisha, yaani wameonekana ni wachumba Tu, US na NATO Yao!
Katangaza kaingia,
Ukraine anabung'aa Tu kaachawa solemba! Shame!
Mazoezi ya kijeshi yamefeli!! Mwamba kaingia
 
US, haitaki Vita karibu na nyumbani yeye vita ipiganwe huko,
Mjerumani alusoma alama za nyakati long time!
 
Hii hoja yako inakosa uhalisia. Putin bado ana mawazo ya kuirejesha upya ile iliyokuwa USSR, kikwazo kikubwa ni baadhi ya mataifa yameshajiunga NATO na mengine yapo kwenye mchakato. Kwa yale ambayo yapo ndani ya NATO, ni kama Urusi kayapoteza tayari kwani huko hawezi kurusha hata jiwe, kikubwa anatafuta yale ambayo bado yapo kwenye
mchakato.Kwa muda mrefu Urusi inaamini Ukraine ni muhimu la kimkakati na usalama wa Urusi.
Kama Urusi ataridhika na hayo majimbo mawili itakuwa afadhali kwa Ukraine ili aweze kujipanga upya.
Bila Ukraine kutafuta nuclear tena kwa haraka, Urusi ataendelea na huu utaratibu wake wa kujimegea eneo kila akitaka.
na atamega mpaka iishe c hawana adabu
 
Kitakachofuata ni hayo majimbo kuitisha kura ya Maoni wataamua wawe sehemu ya Urusi na ndio mchezo umeisha .....Nadhani kwasasa tukubali ipo siku zitawaka kati ya US na Hao jamaa zake na Urusi kwa upande mwingine.

Lakini pia Upande Mwingine simlaumu Mrusi nalaumu Ukraine kutokujitambua wao wanaambiwa usijiunge na hao wauaji wa NATO watakuja Kutusumbua hapa Jirani wajangangania.

Mtu mwenyewe wanahangaika nae Putin ambae hajali kitisho kabisaaa. . .Putin ni Mwamba kweli....atawapelekea moto mkali na itakua shida
Putin yeye bado ana siasa zile za ubabe wa kiafrika, sasa ukraine kuna warusi ambao ndio walijitenga na kuhamia kwenye hayo majimbo mawili, na kuleta upinzani wa kutaka kuiondoa serikali ya kiev, kwa msaada wa putin, mwaka 2014, aliivamia krimea na kuichukua, na bado anataka kuichukua ukraine, ndio maana , ukraine anajiona atakuwa salama endapo akijiunga na NATO.wewe waangalie marafiki zake putin , ndio wale wale wenye akili za kifrika.
Hivi kweli NATO nao sasa waamue liwalo na liwe kama ni vita potelea mbali, URUSI, ataweza, ?uchumi wenyewe ndio huo, ukilinganisha na nchi za ulaya!!sema NATO, wao kimaamuzi ni tofauti kidogo na URUSI, viongozi wake, hawana mamlaka ya moja kwa moja kuamua , tofauti na URUSI, yaani ni mizungu yenye akili za kiafrika, putin akisema kesho hivi amemaliza hakuna wa kupinga!! Rais wa
Beralusi naye ni kinyago cha putin, kwani toka apigwe pin na EU, kwa siasa za kifrika kwa watu waliostarabika akaona, wa kumuokoa ni putin!!
NATO HAIJAAMUA TU,
 
Chechnya ,Georgia, Syria na hatimaye Ukraine muendelezo wa umwagaji damu ya wasio na hatia. Putin siyo wa kuchekewa. Civilized world must come together as one and teach Vladmir Putin a lesson or two on civility and peaceful co-existence.
vietnam Somalia Afghanistan Iraq Libya Venzuela Cuba Iran Syria
US namashoga zake sio wakuchekewa hawa mbwa
hitimisho hata muungane dunia nzima hamna funzo mnaweza kumpa PUTIN jamaa anawezwa na alie muumba tu no-more na msijidanganye
 
Mm sijaelewa jambo moja, haya majimbo ni sehemu ya Ukrain au ni majimbo yaliyo huru kujichagulia?
Hayo majimbo yalishakua na vuguvugu kujiondoa Ukraine...sasa yamejitangaza kua huru ...Russia jana wamekubali kua yapo huru na wamesign watashirikiana....Russia kaingiza jeshi kuwalinda ...askari wa Ukraine hawatakiwi kuwepo
...UN hawatbui hayo majimbo kama nchi



Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom