kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Unaongea ukweli bila ushabiki, Hongera.Japo msimamo wangu ni kila nchi iwe huru kujiamulia mambo yake na Urusi hana haki ya kuamua maslahi ya Ukraine lakini sioni ulazima wa Ukraine kujiunga NATO kwa gharama ya kuhatarisha amani ya dunia, na pia sioni umuhimu wa USA/NATO kuweka silaha zake Ukraine kwa gharama hiyo hiyo ya kuhatarisha amani ya dunia.
Utajua wapi mambo hayo wewe mUkraine wa Tandahimba!kwani dozi ilipungua ndugu mrusi wa buza?
mbona anagawa kipigo na hatuoni kipigo chake zaidi ha kupiga maeneo ya raia tu
Weww muongo, watu wanakimbilia poland unasema watapambana na urusi? Vikosi vya Russia wapo ukraine unadhani nchi itatawalika? Wanaoumia ni raia wa Ukraine sio nyinyi waganga njaa na mashabiki wa mitandao.Hivi vita ni complicated, maana ataishia kupigana na Wa-Ukraine, sio jeshi tu, kadiri anavyozidi kushindwa kuiteka Kiev ndio raia wanazidi kuamini kumbe alikua nguvu ya soda na kupata ujasiri wa kujichimbia.
Hamna kitu kigumu kama kupigana na wananchi kwenye yao....
Atakua mkenya huyo maana hao akili wamekaliaMasaa 24 unaenda kukomboa mateka sehemu au unaenda kuvamia nchi?.acha kuwa na akili ndogo
Putin atapigwa kichapo cha paka nyau.
Huenda akapigwa hadi Moscow na kupinduliwa kabisa
Wewe muongo, thibitisha iraq alijiaandaje kwa vita? Nchi mbili USA na UK ziliungana kumpiga unasema alijiandaa??Sasa Iraq na Ukraine sawa? Iraq alijiaandaa na alikuwa na uchumi mzuri kuliko maskini Ukraine
Atakua mkenya huyo maana hao akili wamekalia
Kwa iyo toka aingie ukraine kasharudishwa mpaka tu kwenye mpaka wake, zaidi ya kila siku kuteka maeneo.sasa inafaida gani kujisifia umeuwa Warusi wengi huku kila kukicha wanazidi kujiongezea majimbo.Naongea kuhusu matamko ya huyo Putin, mwenyewe alianza kwa kusema ni special operation ya masaa 24, leo imeshindikana, hawezi kugeuza na pia kuingia ndani imekua mtihani.
Kadiri anavyo onyesha kulemewa ndivyo watu wa Ukrane wanapata mzuka.
Haha mbona povu mkuu kwamba Russia ataikalia Ukraine kama atashidwa kufata hayo masharti yake?BBC, CNN and the like, wameshindwa kabisa kushawishi dunia. Sanctions childish propaganda zao zimezimwa. Russia is very Serious wenyewe wanaleta mbwembwe. Ni wakati wa kujua sasa mbabe ni nani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapo Ukraine anakung'utwa mpaka ajute kufanya comedy.
Jinga Sana Hilo jamaa na Wana kung'utwa kweli kweli Hadi hurumaWenzako wanachezea kichapo huko ww unaleta porojo hapa [emoji16][emoji23]
Hilo popoma Hilo [emoji16]Vita ya mbali gani na wakati Marekani ana base kibao Middle East na pia washirika wake lukuki walioingia nae vitani wapo karibu na Iraq. Au kwa akili zako wadhani umbali wa kuruka kwa ndege toka UK/France ni sawa na umbali toka Kenya hadi Iraq?
Kama ni gharama sana nani alimtuma? Kwanza wewe nani hadi uzungumzie kuwa ni gharama sana? Ulichangia hata thumni kwenye kupeleka hao wanajeshi?
Kambambane na uchafuzi wa mazingira kule Kibera kwanzaSasa special operation alisema ya masaa 24 ndio hiyo imelamba wiki, kwenye huu ugomvi Urusi imedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kainchi jirani yake kamemsumbua licha ya yeye kutoka na all-out-war, Marekani hufanya deployment za nchi za mbali na anapiga huko hadi kunakalika.
Naona Urusi atapoteza sana soko la silaha maana wanunuzi wanafuatiilia kwa mbali uwezo wake.
Iraq akiivamia Kuwait kuanzia saa1jioni mpaka saa 5 usiku kaimalizaMasaa 24 unaenda kukomboa mateka sehemu au unaenda kuvamia nchi?.acha kuwa na akili ndogo
Warusi wako busy kutoa pesa zao benkiPutin kishaminywa makende anatafuta pa kutokea na inaonekana hakujiandaa kiuchumi, ukiona central bank wameanza kuhaha ujue kinachofuata ni vita ya ndani, nasikia wamepandisha interest rate to 20% kutoka 9% na international bank zote sasa ni useless kutokana na sanctions alizopigwa, subiri warusi waanze kubeba pesa kwenye matoroli kwenda kununua mikate ndio utajua tumbo halina uzalendo
Hivi una akili kweli !? Hebu tazama hzi picha na uache porojo ,wenzio wapo katika wakati mgumu huko ,, wewe unapiga porojo hapa unadhani Vita na mrusi Ni. MasiharaHivi vita ni complicated, maana ataishia kupigana na Wa-Ukraine, sio jeshi tu, kadiri anavyozidi kushindwa kuiteka Kiev ndio raia wanazidi kuamini kumbe alikua nguvu ya soda na kupata ujasiri wa kujichimbia.
Hamna kitu kigumu kama kupigana na wananchi kwenye yao....
Sio wametenga wasiwasi wa kucheza na mjinga ni hatari tambua mjinga hana cha kupoteza mkuu Putin ni kama amepatwa wazimu anakurupuka tu sasa amepeleka 70%ya jeshi lote Ukraine wanajeshi wanapiga mabom raiya jamaa saivi alipo anaropoka tu hapo alipo.Makubaliano ndio muhimu Ukraine arudi chini tu maana hana nguvu za kupambana na Russia na hao anaowategemea wamemtenga
I always see him as a very weak madman, ndio maana kila wakati anapenda kujitutumua,He is a serial narcissistic controlling
Sadist .Century Hii anawaza ukoloni vita .Narcisstics tend to destroy themselves .Putin 8 days a go nilikuwa name ona very strong leader very colorful resume patriotic Kumbe he is a thug na a serial
Killer using his own people to do what he wants .Putin ameniacha hoi na anatishia nuclear very dangerous men
*Total Area- kuwait 17, 000 kmIraq akiivamia Kuwait kuanzia saa1jioni mpaka saa 5 usiku kaimaliza