Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Ukraine wanatumika mamluki wenye uzoefu, pia ukumbuke Urusi ni Taifa lenye nguvu za kijeshi na Kuna siraha anafanyia mazoezi Kama islander.
 
Hhhhh huyu putin wa mchongo- nikama jibwa zee linabweka lakini haliumi.
 
[emoji1][emoji1] wavaa MAKUBAZI sio wa mchezo mchezo.View attachment 2251427
Hawa jamaa huwa wanadai kuwa “nyie mna saa, sie tuna muda”! You have the watches; we have the time! Wakati nyinyi mmepanga muda wa kukamilisha misheni mrudi nyumbani, sisi hii ndiyo kazi yetu; ndiyo ajira; ndiyo career yetu!

Halafu wanasubiri kwa hamu fursa ya kwenda peponi. Huwezi kuwashinda kwa vita. Utawaua kwa mamilioni lakini utakutana hadi na wajukuu: moto ule ule.
 
Amejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
Unawajua kgb !? Kamuulize baba Yako Biden analijua vizuri Hilo shirika .. kama watu waliweza kuhack uchaguzi mkuu wa USA na kumuweka Trump madarakani Hawa wezi kupata Siri za kijeshi linalo husu taifa pinzani
 
Enhee endelea kujijaza upepo [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…