Putin atoa onyo kuhusu upelekwaji wa makombora ya masafa marefu Ukraine

Maneno meeeengi sisi tuna taka vitendo Rusha kombora kwenye base yoyote ya Us majibu mtayapata
Wakati Russia wanasema wataichapa Ukraine na USA na NATO wakawa wanasema Russia akiipiga Ukraine wataingilia mlikuwa mnasema hivyo hivyo kuwa Russia Hawezi kuivamia Ukraine Sasa hivi hamuamini macho yenu Kwa kile kinachotokea na USA na hao NATO wamefyata mikia wamekuwa mbwa Koko , kama ni wanaume kweli wasiishie kufund vijisilaha uchwara Kwa Ukraine wapeleke majeshi kabisa kama ilivyo fanya Russia Kule Syria baada ya USA NA NATO kuivamia Russia.. wanacho ogopa kufanya hivyo ni kipi !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hail to Putin
 
Haya ndio matendo ya USA [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Achana na nchi za Ulaya na US. Hawa watu kwanza kabisa wana pesa. Pili wana teknolojia za hali ya juu sana. Hawa wakiamua haswa Ukraine isianguke mikononi mwa Russia basi itakuwa hivyo. Lengo lao kubuma ni ngumu mno.
Acha ujinga [emoji16][emoji16][emoji16] walishindwa Nini !? Kumtoa bashar alsaad Kule Syria kama kweli Wana nguvu hiyo dhidi ya Russia!? Kinyume chake baada ya Russia kuingia battlefield na kumsaidis bashar tukaona hao USA na washirika wenzake Nato wakitoka mbio na mpango wao ukatibuka ,,

Pia walipo jaribu kutaka kufanya mapinduzi Venezuela dhidi ya Maduro pia wameshindwa baada ya Russia kutia maguu,

Hivi Huwa mnatumika Nini kufikiri mnashindwa kushurutisha bongo zenu na kung'amua hata hizi logic ndogo ndogo au sio weledi wazuri wa kufuatilia mambo , Russia ndiye baba Duniani Kwa Sasa Kwa sababu sio mara 1 amefanikiwa kutibua mipango ya hao USA na NATO na Wana kosa means nakubali kulia Lia tu [emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hizo bilogical weapons ni hatari Sana Bora waendelee kupigwa tu na Iskander
Hivi unajua Kuna wakimbizi wangapi waliondoka Ukraine au unabwabwaja tu
 
Amejuaje wenzake hawana, upuuzi wa kuonyesha gwaride la siraha upo Russia na China, nchi Kama US, Kuna baadhi ya siraha jamaa anazificha hazi-expose
Russia ni taifa lenye nguvu sana msidanganyike, toka kulipovunjika soviet wao walijikita wakijiimalisha kijeshi,hata sasa unaweza kuamini hilo kwa sababu hapigani na Ukraine pekee, anapigana na hao wanaojifanya wana nguvu,na hawajaweza kwenda kumpiga ndani ya taifa lake, Putin na Russia yake ni power isiyo ya kawaida
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ubalozi umemkosea nn
Waambie UKRAINE wakafiche silaha hapo ubalozini kama hujaona majivu tuuu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malengo ya RUSSIA yapi!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…