Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Kuwapelekea hawa washamba kombe la dunia ilikuwa ni kosa kubwa

Hawa waarabu ndio watakaoharibu mpira wa dunia miaka ijayo watatumia pesa za mafuta kumiliki vilabu vyote vikubwa baadae wataingiza sheria zao uwanjani

Hii jamii ya kiarabu ni primitive na haitakuja kubadilika

Hapo wangepiga ban mashoga kuingia katar tu
Unakataza pombe kweli?
Wazungu nao watakushangaa kupiga ban mashoga,watakuona primitive
 
Kilichonikera ni pombe sio kila mnywaji pombe ni mlevi blatter yule Mzee mpumbavu sana
Hawajakataza pombe ,isipokua unakunywa sehemu maalumu kuepuka kulewa kupitiliza ukavunja Sheria,Ina maana sehemu hiyo wewe lewa tu ata uvue nguo,na pia ukiwa hotelin pombe unaletewa
 
Hivi mbona mnaumia hivi? kwa hiyo mlitaka waruhusu mashoga!!??
 
Kila nchi inataratibu zake na lazima ziheshimiwe kama kwenu umezoea kutembea uchi ukienda ugenini lazima uendane na mazingira, najaribu kupiga picha kwamba ingekuwa kombe hilo linafanyikia Tz halafu hao hao waarabu wangehudhuria watu wangekula vifiro vya kufa mtu kuanzia dada zetu wababa ma blaza n.k watu wangefumuliwa marinda ukizingatia huu umasikini ingekuwa taabu sana. Haya yangefanyika kwakuwa hatujaweka vizuizi na hatuna mashart na hata kama hapo hatuyadhibiti vilivyo.
 
Hayo yoote hayajanishangaza kinachonishangaza walianzaje kukubali kuhost world cup
 
Hivi hizi haki za binadamu huwa ni za upande mmoja tu

Kwanini anaepinga huwa hapewi haki hyo ila anaepingwa tu ndio anapewa hiyo haki ya binadamu

Mbona sioni maana ya demokrasia sasa kama ikiwa kile wanachotaka wamagharibi ndio demokrasia na ukipinga ni dikteta.
 
Qatar ambaye ni mwenyeji wa FIFA World Cup 2022 ameweka mfano mpya ambao nchi za Kiafrika hatunabudi kujifunza, hili ni Kombe la Dunia la pekee.

Kumbe ina wezekana kuanda Kombe la Dunia na kufanikiwa bila kuleta malaya, makahaba nchi jirani kuhudumia mashabiki kingono, bila kutetea upinde (mashoga) na kuepuka ulevi uwajani.

Wazungu walikua wanatuaminisha kwamba pombe, umalaya na ushoga unaenda sambamba na michezo wa mpira kwa lengo la kuharibu nchi za Afika zisizokuwa na msimamo.

Qatar imetumia hii FIFA World Cup kuonyesha Dunia tamaduni zao, dini yao na maendeleo yao ya nchi.
 
Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.

Huo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu
 
Una content nzuri sana ila tatizo lipo kwenye uandishi.
 
Waarabu wanajifcha kwenye ushoga tu ila kusema kweli kupeleka kombe la dunia urabuni ilikuwa makosa

Nje ya muda wa kabumbu ni very boaring

Kwenda kombe la dunia ni zaidi ya mpira ni km upi holiday ila wenyeji wanatambulisha sheria za kipumbuvu mara no bar upuuzi mtupu
 
Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.

Huo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu
Na tunasema hivi Qatar washikilie hapohapo
 
Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.

PHuo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu

Na tunasema hivi Qatar washikilie hapohapo
Wapi wewe huko watu wanakazana kama kawa.
Sitetei dhambi bali naongea uhalisia
 
Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.

Huo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu
Epukana na chuki dhidi ya dini za wenzako, utakosa Amani bure na kupata stress hapo tunaongelea mpira sio dini za watu.
 
Back
Top Bottom