Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Wapi wewe huko watu wanakazana kama kawa.
Sitetei dhambi bali naongea uhalisia
Sitetei wanachofanya Qatar nakataa unafiki wa Nchi za Magharib wao kila siku wanaua, wanaangusha serikali, ila kwao sio maovu ila wengine wakifanya hivyo ni tatizo.

Nilichojifunza kwa Qatar ukiwa na pesa hakuna fala wa kukupangia maisha na jinsi ya kuishi. Kila kitu unafanya vile unataka
 
Kwenye harakati ya kuzisaka taarifa mbalimbali zinazohusu Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar nikakutana na mahojiano za Makapteni wa nchi mbili za Netherlands na England yaani VVD na Harry Kane.

Aisee hawa jamaa hawataki kuelewa kabisa katazo lililotolewa na uongozi wa Qatar kuwa hawataki kuona harakat za aina yoyote za upinde kufanyika nchini Qatar ikiwemo kuvaa bangili za bendera za washkaji.

Jamaa wanalazimisha kabisa kwamba lazima wavae bangili za bendera ya upinde asee. Sijui kuna shida hawa jamaa wa Magharibi kufata taratibu za nchi zingine kwa mwezi mmoja tu wa Kombe la Dunia?

Inavyosemekana leo ikitokea Harry Kane akileta jeuri akavaa upinde mkononi mchezo hautachezwa na wachezaji wa England wamepanga kugoma kucheza na kutoka uwanjanii kabisa.

Hili Kombe la Dunia mwaka huu kazi ipo, acha tuone itakavyokua.

Leo at 4PM Live
 
Kwenye harakati ya kuzisaka taarifa mbalimbali zinazohusu WORLD CUP #2022 nchini Qatar nikakutana na interview za makapteni wa nchi mbili za NETHERLANDS na ENGLAND yan VVD(jitu la Liverpool hili kubwa lkn punga) na Harry Kane,asee hawa jamaa hawataki kuelewa kabsa katazo lililotolewa na uongoz wa Qatar kuwa hawatak kuona harakat za aina yyte za upinde kufanyika nchini QATAR ikiwemo kuvaa armband za bendera za washkaj..

Jamaa wanalazimisha kabsa kwmb lazma wavae armband za bendera ya upinde asee ..

Sijui kuna shida hawa jamaa wa magharibi kufata taratibu za nchi zingine kwa mwez mmoja tu wa world cup..

Inavosemekana leo ikitokea Harry Kane akileta jeuri akavaa upinde mkononi game halitachezwa,na wachezaji wa england wamepanga kugoma kucheza na kutoka uwanjanii kabsa

Hili kombe la dunia mwaka huu kazi ipo,acha tuone itakavokua

Leo at 4PM Live
Wakiondaka watapigwa ban wanao support msimamo wa Qatar ni wengi kuliko hao washoga
 
Ndo mjue kuwa mzungu hulazimisha utamaduni wake uwe utamaduni wa dunia.

Wanapotea mdogo mdogo

Mzungu halazimishi ila wana embrace utamaduni wao. Tatizo ni mataifa husika ku copy kwa hiari yao
 
Qatar ambaye ni host wa Fifa World Cup 2022 ameweka precedent mpya ambao nchi za kia Africa hatunabudi kujifunza hili ni kombe la dunia la peke,
Kumbe ina wezekana kuanda kombe la dunia na kufanikiwa bila kuleta Malaya makahaba nchi jirani kuhudumia mashabiki kingono, bila ku-promote rainbow (mashoga) na kuepuka ulevi uwajani
Inawezekana Afrika kuna malaya na walevi wengi wa pombe kuliko Ulaya, ila kwa kufuata mkumbo na kutaka sifa, tunajidai tunapinga kampeni za pombe na umalaya
 
Kwani huo ushoga wanaosema uko kwenye mavazi basi.
 
Bro kinachofanywa na Uholanzi na uingereza ni kulazimisha mzee,ambae halazimishi angeelewa kwny wenye nchi yao hawatak izo harakati

Unajua kulazimishwa kukoje mkuu?
Its up to wahusika kukubal au kukataa. But then mwenye nguvu hiyo ni mwenyeji.
 
Kila nchi ina taratbu zake bwashee,hao unaowaita washamba wamekuzidi akili mpaka mali
Kuwapelekea hawa washamba kombe la dunia ilikuwa ni kosa kubwa

Hawa waarabu ndio watakaoharibu mpira wa dunia miaka ijayo watatumia pesa za mafuta kumiliki vilabu vyote vikubwa baadae wataingiza sheria zao uwanjani

Hii jamii ya kiarabu ni primitive na haitakuja kubadilika

Hapo wangepiga ban mashoga kuingia katar tu
Unakataza pombe kweli?
 
Shoga akishazoe mshedede hawezi acha bwashee
Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.

Huo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu
 
Na tunasema hivi Qatar washikilie hapohapo
tutawabonda waarabu wote jana 2 bila leo wajina weu kala mkono kasoro , tutafanya hv ili mkatunge sheria vzr maana mpira hamjui , mtatunga hadi sheria ya kufuga ndev kila mchezaj wa WC
 
Epukana na chuki dhidi ya dini za wenzako, utakosa Amani bure na kupata stress hapo tunaongelea mpira sio dini za watu.
Qatar wameleta ushamba sana , haya walipaswa kusema tangu awali , hata wazungu wana tamaduni zao ila walipoipokea dunia walikubali kila tamaduni ili kuwafanya wenyej wajihisi wapo nyumban , hao viongoz wa Qatar wakiwa Ulaya ni walevi sana na wapenda malaya sana
 
Sitetei wanachofanya Qatar nakataa unafiki wa Nchi za Magharib wao kila siku wanaua, wanaangusha serikali, ila kwao sio maovu ila wengine wakifanya hivyo ni tatizo.

Nilichojifunza kwa Qatar ukiwa na pesa hakuna fala wa kukupangia maisha na jinsi ya kuishi. Kila kitu unafanya vile unataka
insh sio pesa insh ni qatar kavizia , na kafanya hv maana anajua hatokuja kufuzu tena kwenda world cup
 
Qatar wameleta ushamba sana , haya walipaswa kusema tangu awali , hata wazungu wana tamaduni zao ila walipoipokea dunia walikubali kila tamaduni ili kuwafanya wenyej wajihisi wapo nyumban , hao viongoz wa Qatar wakiwa Ulaya ni walevi sana na wapenda malaya sana
Chomoa taratibu kama inakuumiza Qatar shikilia hapo hapo.
 
Qatar ambaye ni mwenyeji wa FIFA World Cup 2022 ameweka mfano mpya ambao nchi za Kiafrika hatunabudi kujifunza, hili ni Kombe la Dunia la pekee.

Kumbe ina wezekana kuanda Kombe la Dunia na kufanikiwa bila kuleta malaya, makahaba nchi jirani kuhudumia mashabiki kingono, bila kutetea upinde (mashoga) na kuepuka ulevi uwajani.

Wazungu walikua wanatuaminisha kwamba pombe, umalaya na ushoga unaenda sambamba na michezo wa mpira kwa lengo la kuharibu nchi za Afika zisizokuwa na msimamo.

Qatar imetumia hii FIFA World Cup kuonyesha Dunia tamaduni zao, dini yao na maendeleo yao ya nchi.
Hayo mengine tunaweza kukubali lakini hizo dini ndio hatutaki tutaenzi mila zetu za kiafrika ambazo haziruhusu ushoga.
 
Back
Top Bottom