Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Qatar yapiga marufuku mapenzi ya jinsia moja, ulevi na biashara ya ngono wakati wa Kombe la Dunia

Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.

Huo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu
Poleni sana ila ukifanya ushoga ndani ukilewa ndani

Usipofata sheria za qatar ndani

Kama mmekasirika kunyweni sumu mufe
 
Kwenye harakati ya kuzisaka taarifa mbalimbali zinazohusu Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar nikakutana na mahojiano za Makapteni wa nchi mbili za Netherlands na England yaani VVD na Harry Kane.

Aisee hawa jamaa hawataki kuelewa kabisa katazo lililotolewa na uongozi wa Qatar kuwa hawataki kuona harakat za aina yoyote za upinde kufanyika nchini Qatar ikiwemo kuvaa bangili za bendera za washkaji.

Jamaa wanalazimisha kabisa kwamba lazima wavae bangili za bendera ya upinde asee. Sijui kuna shida hawa jamaa wa Magharibi kufata taratibu za nchi zingine kwa mwezi mmoja tu wa Kombe la Dunia?

Inavyosemekana leo ikitokea Harry Kane akileta jeuri akavaa upinde mkononi mchezo hautachezwa na wachezaji wa England wamepanga kugoma kucheza na kutoka uwanjanii kabisa.

Hili Kombe la Dunia mwaka huu kazi ipo, acha tuone itakavyokua.

Leo at 4PM Live
Vp MKUU walivaa waligoma !!!??
 
tutawabonda waarabu wote jana 2 bila leo wajina weu kala mkono kasoro , tutafanya hv ili mkatunge sheria vzr maana mpira hamjui , mtatunga hadi sheria ya kufuga ndev kila mchezaj wa WC
Sawa ila ushoga wenu mubaki nao huko huko kwenu
 
Ww kaaa.na ukapuku wako,mpira.bila machoko inawezekana
Waarabu wanajifcha kwenye ushoga tu ila kusema kweli kupeleka kombe la dunia urabuni ilikuwa makosa

Nje ya muda wa kabumbu ni very boaring

Kwenda kombe la dunia ni zaidi ya mpira ni km upi holiday ila wenyeji wanatambulisha sheria za kipumbuvu mara no bar upuuzi mtupu
 
Ni simple tu mkuu kuzibua mtalo wa mwanaume mwenzio wala haihitaji imagination ya ukubwa wowote,
ni simple tu kama ilivyo simple kuzibua mtaro wa demu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wazibuaji wenyewee ndo hawa hawa wanaokataa humu ndani.

Unafiki.
 
Wenzetu wazungu ni wenzetu kwa vile nao ni binadamu.

Majuzi huko Qatar kuna wanaharakati wa ushoga walijitokeza kwa nguvu kueneza maivu yao ya ki Sodima na Gomorah.

Mmoja wao ni jamaa anaitwa Grant Wahl.
images.jpeg-2.jpg


Licha ya kuonywa kuwa ni marufuku kuupigia upatu uozo huo hakusikia.

Jamaa ametaka kumchezea Mungu, na siku mbili zilizopita amekufa hata bila kuumwa wala kukohoa.

Acheni Mungu aitwe Mungu.
 
Wenzetu wazungu ni wenzetu kwa vile nao ni binadamu.

Majuzi huko Qatar kuna wanaharakati wa ushoga walijitokeza kwa nguvu kueneza maivu yao ya ki Sodima na Gomorah.

Mmoja wao ni jamaa anaitwa Grant Wahl.
View attachment 2444580

Licha ya kuonywa kuwa ni marufuku kuupigia upatu uozo huo hakusikia.

Jamaa ametaka kumchezea Mungu, na siku mbili zilixopita amekufa hata bila kuumwa wala kukohoa.

Acheni Mungu aitwe Mungu.
Je kama wamemuua
 
Kufuatia Kipigo ilichokipata Ufaransa dhidi ya Argentina katika hatua ya Fainali ya Kombe la Dunia la soka, ni pigo kwa wafuasi wao ambao waliegemeza nguvu zao wakisubiri ushindi huo ili kushindilia zaidi hoja zao za LGBTO .
937BB4C2-D480-44D9-B000-F1FD80B90405.jpeg


Hili limekuja baada ya FIFA kupiga marufuku kampeni hizo za Rainbow kwa timu za taifa lakini pia Nchi ya Qatar kusimama imara kupiga marufuku tabia hizo katika msimu huu wa kombe la dunia so wengi walitegemea timu hizo zifanye vizuri warudi kivingine kutangaza harakati hizo kupitia Mabingwa watakaopatikana.

Lakini pia kufanya vibaya kwa mataifa mengine vinara yaliyokuwa yanashabikia mambo ya mapenzi ya jinsia moja (LGBTO) ikiwemo USA, Ujerumani, Uingereza, Poland, Ureno na mengineyo kumefifisha ndoto zao za ajenda hiyo kupenya kwenye fainali hizi za kombe la dunia.

Kushindwa kwa mataifa haya ni kushindwa kwa Kampeni ya Ushoga na masuala mengine ya kampeni za LGBTO.

Poleni LGBTO

Lakini pia niwape pole wale Machawa wabantu wanaoteswa na uafrika wao kwa kuhangaika na kushabikia timu ya taifa ambalo liliwafanya watumwa kipindi cha ukoloni, kisa tu kuna weusi wenzao wanacheza huko.
 

Attachments

  • BFB40819-1676-459A-B3C1-D1F20FC6AFCD.jpeg
    BFB40819-1676-459A-B3C1-D1F20FC6AFCD.jpeg
    48.1 KB · Views: 2
Hongera kwa Argentina..Mbappe kabeba kiatu..leo ni burudani.

Mleta mada ondoa upuuzi wako..unachokifanya hapa nikuusupport huo ushoga kwa mlango wa nyuma.

Kumbuka there is no bad publicity.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kufuatia Kipigo ilichokipata Ufaransa dhidi ya Argentina katika hatua ya Fainali ya Kombe la Dunia la soka, ni pigo kwa wafuasi wao ambao waliegemeza nguvu zao wakisubiri ushindi huo ili kushindilia zaidi hoja zao za LGBTO .
View attachment 2451061

Hili limekuja baada ya FIFA kupiga marufuku kampeni hizo za Rainbow kwa timu za taifa lakini pia Nchi ya Qatar kusimama imara kupiga marufuku tabia hizo katika msimu huu wa kombe la dunia so wengi walitegemea timu hizo zifanye vizuri warudi kivingine kutangaza harakati hizo kupitia Mabingwa watakaopatikana.

Lakini pia kufanya vibaya kwa mataifa mengine vinara yaliyokuwa yanashabikia mambo ya mapenzi ya jinsia moja (LGBTO) ikiwemo USA, Ujerumani, Uingereza, Poland, Ureno na mengineyo kumefifisha ndoto zao za ajenda hiyo kupenya kwenye fainali hizi za kombe la dunia.

Kushindwa kwa mataifa haya ni kushindwa kwa Kampeni ya Ushoga na masuala mengine ya kampeni za LGBTO.

Poleni LGBTO

Lakini pia niwape pole wale Machawa wabantu wanaoteswa na uafrika wao kwa kuhangaika na kushabikia timu ya taifa ambalo liliwafanya watumwa kipindi cha ukoloni, kisa tu kuna weusi wenzao wanacheza huko.

Uondoe ujinga wako hapa. Soka ni soka hayo mambo ya mashoga hatutaki kusikia.
 
Back
Top Bottom