Sitetei wanachofanya Qatar nakataa unafiki wa Nchi za Magharib wao kila siku wanaua, wanaangusha serikali, ila kwao sio maovu ila wengine wakifanya hivyo ni tatizo.Wapi wewe huko watu wanakazana kama kawa.
Sitetei dhambi bali naongea uhalisia
Wakiondaka watapigwa ban wanao support msimamo wa Qatar ni wengi kuliko hao washogaKwenye harakati ya kuzisaka taarifa mbalimbali zinazohusu WORLD CUP #2022 nchini Qatar nikakutana na interview za makapteni wa nchi mbili za NETHERLANDS na ENGLAND yan VVD(jitu la Liverpool hili kubwa lkn punga) na Harry Kane,asee hawa jamaa hawataki kuelewa kabsa katazo lililotolewa na uongoz wa Qatar kuwa hawatak kuona harakat za aina yyte za upinde kufanyika nchini QATAR ikiwemo kuvaa armband za bendera za washkaj..
Jamaa wanalazimisha kabsa kwmb lazma wavae armband za bendera ya upinde asee ..
Sijui kuna shida hawa jamaa wa magharibi kufata taratibu za nchi zingine kwa mwez mmoja tu wa world cup..
Inavosemekana leo ikitokea Harry Kane akileta jeuri akavaa upinde mkononi game halitachezwa,na wachezaji wa england wamepanga kugoma kucheza na kutoka uwanjanii kabsa
Hili kombe la dunia mwaka huu kazi ipo,acha tuone itakavokua
Leo at 4PM Live
Ndo mjue kuwa mzungu hulazimisha utamaduni wake uwe utamaduni wa dunia.
Wanapotea mdogo mdogo
Bro kinachofanywa na Uholanzi na uingereza ni kulazimisha mzee,ambae halazimishi angeelewa kwny wenye nchi yao hawatak izo harakatiMzungu halazimishi ila wana embrace utamaduni wao. Tatizo ni mataifa husika ku copy kwa hiari yao
Inawezekana Afrika kuna malaya na walevi wengi wa pombe kuliko Ulaya, ila kwa kufuata mkumbo na kutaka sifa, tunajidai tunapinga kampeni za pombe na umalayaQatar ambaye ni host wa Fifa World Cup 2022 ameweka precedent mpya ambao nchi za kia Africa hatunabudi kujifunza hili ni kombe la dunia la peke,
Kumbe ina wezekana kuanda kombe la dunia na kufanikiwa bila kuleta Malaya makahaba nchi jirani kuhudumia mashabiki kingono, bila ku-promote rainbow (mashoga) na kuepuka ulevi uwajani
Bro kinachofanywa na Uholanzi na uingereza ni kulazimisha mzee,ambae halazimishi angeelewa kwny wenye nchi yao hawatak izo harakati
Tena malaya wa Africa wa buku bukuInawezekana Afrika kuna malaya na walevi wengi wa pombe kuliko Ulaya, ila kwa kufuata mkumbo na kutaka sifa, tunajidai tunapinga kampeni za pombe na umalaya
Kuwapelekea hawa washamba kombe la dunia ilikuwa ni kosa kubwa
Hawa waarabu ndio watakaoharibu mpira wa dunia miaka ijayo watatumia pesa za mafuta kumiliki vilabu vyote vikubwa baadae wataingiza sheria zao uwanjani
Hii jamii ya kiarabu ni primitive na haitakuja kubadilika
Hapo wangepiga ban mashoga kuingia katar tu
Unakataza pombe kweli?
Quran hairuhusu mpira
Ngoja vijana wa paulo waje hapa na wanaosapot ushoga!!
Huu ni upuuzi, hata Mungu hatumii nguvu kumbadilisha mtu vinginevyo wewe mwenyewe unhepigwa radi dushe likiwa ndani ya mbususu ukiwa lodge.
Huo wanaofanya Qatar ni dini ya kishamba...namna bora ya kumbadili binadamu ni kumionyesha upendo na tabia njema ili avutiwe kumwamini Mungu wako.
Vinginevyo ni uzuzu tu huku mkiendelea kulipua na kuwalipua watu
Mungu hashindwi kitu ataacha tu.Shoga akishazoe mshedede hawezi acha bwashee
tutawabonda waarabu wote jana 2 bila leo wajina weu kala mkono kasoro , tutafanya hv ili mkatunge sheria vzr maana mpira hamjui , mtatunga hadi sheria ya kufuga ndev kila mchezaj wa WCNa tunasema hivi Qatar washikilie hapohapo
Qatar wameleta ushamba sana , haya walipaswa kusema tangu awali , hata wazungu wana tamaduni zao ila walipoipokea dunia walikubali kila tamaduni ili kuwafanya wenyej wajihisi wapo nyumban , hao viongoz wa Qatar wakiwa Ulaya ni walevi sana na wapenda malaya sanaEpukana na chuki dhidi ya dini za wenzako, utakosa Amani bure na kupata stress hapo tunaongelea mpira sio dini za watu.
insh sio pesa insh ni qatar kavizia , na kafanya hv maana anajua hatokuja kufuzu tena kwenda world cupSitetei wanachofanya Qatar nakataa unafiki wa Nchi za Magharib wao kila siku wanaua, wanaangusha serikali, ila kwao sio maovu ila wengine wakifanya hivyo ni tatizo.
Nilichojifunza kwa Qatar ukiwa na pesa hakuna fala wa kukupangia maisha na jinsi ya kuishi. Kila kitu unafanya vile unataka
Chomoa taratibu kama inakuumiza Qatar shikilia hapo hapo.Qatar wameleta ushamba sana , haya walipaswa kusema tangu awali , hata wazungu wana tamaduni zao ila walipoipokea dunia walikubali kila tamaduni ili kuwafanya wenyej wajihisi wapo nyumban , hao viongoz wa Qatar wakiwa Ulaya ni walevi sana na wapenda malaya sana
Hayo mengine tunaweza kukubali lakini hizo dini ndio hatutaki tutaenzi mila zetu za kiafrika ambazo haziruhusu ushoga.Qatar ambaye ni mwenyeji wa FIFA World Cup 2022 ameweka mfano mpya ambao nchi za Kiafrika hatunabudi kujifunza, hili ni Kombe la Dunia la pekee.
Kumbe ina wezekana kuanda Kombe la Dunia na kufanikiwa bila kuleta malaya, makahaba nchi jirani kuhudumia mashabiki kingono, bila kutetea upinde (mashoga) na kuepuka ulevi uwajani.
Wazungu walikua wanatuaminisha kwamba pombe, umalaya na ushoga unaenda sambamba na michezo wa mpira kwa lengo la kuharibu nchi za Afika zisizokuwa na msimamo.
Qatar imetumia hii FIFA World Cup kuonyesha Dunia tamaduni zao, dini yao na maendeleo yao ya nchi.