Aisee umesema jambo kubwa na la msingi sana ambalo ndiyo chimbuko na chanzo cha viongozi wengi kuwa wakatili sana.Ujisahau Sana wakiwa madarakani udanganywa Sana na waganga kwa kupewa utabiri hewa Ili waliwe pesa zao,alifanya upumbavu bila kutazama kesho,akiamini boss wake atatawala milele au hadi 2045 then anapewa yeye hadi maisha, kutumainia ndumba mbaya sana upunguza Sana uwezo wa kufikiri thus watawala wengi ufanya mambo ya kipumbavu mengi Sana wakiwa madarakani kwa kudanganywa na waganga.Mganga ni mtu tu hana uwezo wa kuicomand au kuibadili au kuizua nature isifanye Kazi yake.
Hili mbona liko wazi, katafutwa tu mtu wa kumvalisha paka kengele lakini kila kitu kiko on set with all the blessings, support and backups from those who are running the system.Ujinga umekujaa ww, sbb hujui how Government Systems work. Makonda atafikishwa mahakamani, indirectly there must be a blessing from top most authority..!! Nakazia, behind the scene/Indirectly kuna all blessings from above to go ahead with the case.
Ww ndio hujui kitu unaona tu on front page and you don't think deep. Ukiendelea kutokuelewa nakujibu hovyo, shit, sbb hutaki kuelewa.
Wamepanga kuanza na hii ambayo ushahidi uko dhahiri shahiri kama jinsi ulivyonaswa na CCTV cameras.Huyo yupo live kwenye CCTV na askari/watu wenye silaha wakiingia kituo cha Televion/Radio kwa nguvu kulazimisha ujinga wao
Wanachezewa Sana akili na wapumbavu kuwaaminisha hewaAisee umesema jambo kubwa na la msingi sana ambalo ndiyo chimbuko na chanzo cha viongozi wengi kuwa wakatili sana.
Kingozi kuamini sangoma ni kuhatarisha usalama wa maisha ya wananchi.Wanachezewa Sana akili na wapumbavu kuwaaminisha hewa
Musiba sasa hivi ni sawa na joka la kibisa tuHuyo mwanasheria wa kujitegemea ana watu wakubwa nyuma yake kama the legend Musiba,huitaji shule kujua hilo
Hilo ndiyo tatizo la kumtegemea binadamu mwenzako kama Mungu wako.Dogo kawa mpole mbwembe kwisha kabisa
Kama bashiru na polepoleMusiba sasa hivi ni sawa na joka la kibisa tu
Kwiiishaaa habari zao haoKama bashiru na polepole
Hicho kitu hakipo, ni magazeti na mitandao tu ndiyo inayojifurahisha kuandika taarifa za huyu mtuHuyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Hilo lijambazi halikubaliki kubakia mitaani
Wanajichoosha tu hakuna mwenye muda na kuhangaika na mambo haya kwa sasa
Sijakuelewa kwakweli Ila nimeona niachane na ishu zako. Just be informed.Nakushukuru kwa kunielewa. Ngoja niendelee kuelimisha wengine!
Naona amegundua hasikiki akaamua kujipa promo mpuuzi sana. Nimeuliza kwa majamaa zangu ofisi ya DPP wanasema hakuna hiyo kitu kwao labda io kwingine may be PCCB hukoambao nap walishatoa statement kwamba hawajamdaka na hawana ishu nae .Hicho kitu hakipo, ni magazeti na mitandao tu ndiyo inayojifurahisha kuandika taarifa za huyu mtu
Ila KIZIMBANI ni patamu!Wanajichoosha tu hakuna mwenye muda na kuhangaika na mambo haya kwa sasa
Kizimbani pale pamejengwa kwa ajili ya watu wala siyo nyani.Ila KIZIMBANI ni patamu!
lambowe Hilo nikubwa kwani lauonevu akati akina makonda watakua na makosa ya uhalali kwa makonda tutakua tunasubiria tarehe yahukumu tuDuuu wanamisha magoli......tuhame nae tuache ya msingi.....basi sawa mleteni huyo....tuhangaike nae
Mama katupia yaani kama mbele