MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa Systems za Mataifa yanayojielewa na yasiyotaka Upuuzi Mtu kama huyu hivi sasa angekuwa Anaoza tu Udongoni, ila ya Tanzania ilimlea, ilimdekeza na akaharibu mambo mengi mpaka Kugharimu Utendaji wa Hayati na iliyokuwa Serikali yake.Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010778
Makonda siku akifikishwa mahakamani jiji la dar litazizima kwa furahaAlimteka tajiri
Hivi anaweza kumteka rafiki yake kweli?Alimteka tajiri
Itamuongezea kujiamini mama Samia kama kweli atafikishwa kwenye mahakamaKwa Systems za Mataifa yanayojielewa na yasiyotaka Upuuzi Mtu kama huyu hivi sasa angekuwa Anaoza tu Udongoni, ila ya Tanzania ilimlea, ilimdekeza na akaharibu mambo mengi mpaka Kugharimu Utendaji wa Hayati na iliyokuwa Serikali yake.
Tuliza mshono baabuInamhusu nini we panya gasho
Hapo ni pa kuanzia. Kuna yale ya kuwanyima watu haki ya kuishi - Ben Saanane, shambulip dhidi ya Lisu, kupotea kwa Gwanda, utekwaji wa Mo na Roma, n.k.Bora hilo litakuwa kosa jepesi, yako makosa alitenda amuombe Mungu amuepushie mbali asishtakiwe nayo.
Wasisahau na makosa ya kughushi vyeti.Ok, ngoja tuone.
Ila Makonda awe makini, hilo kosa linaweza "kutengenezwa" lifanane na lile la Sabaya limpeleke jela na yeye, nikiangalia kwa jicho la tatu naliona litamkalia vibaya sana, na awe makini zaidi kwenye utetezi.
Ameua watu wengi sn huyu mpuuziHuyu akipelekwa ubaoni hachomoki especially hilo kosa la matumizi mabaya ya madaraka watamdaka mapema mno maana alikuwa anasumbua watu then mwishoni hakuna kinachotokea zaidi ya kuwapakazia watu Mambo ambayo amekosa ushahidi.
Siasa haina urafiki.Porojo tu hizi
Huyo ni Kipenzi cha mama hicho
Kabisa afungwe harakaHapo ni pa kuanzia. Kuna yale ya kuwanyima watu haki ya kuishi - Ben Saanane, shambulip dhidi ya Lisu, kupotea kwa Gwanda, utekwaji wa Mo na Roma, n.k.
Siamini hapo maana Makonda na Sabaya wote walikuwa ni watoto wa mwenye nyumbaPorojo tu hizi
Huyo ni Kipenzi cha mama hicho
Nchi ilikuwa kama mali yake binafsiMwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Anaweza kushitakiwaSiamini hapo maana Makonda na Sabaya wote walikuwa ni watoto wa mwenye nyumba
Ashitakiwe na yoote ili naye apigwe 30yrsBora hilo litakuwa kosa jepesi, yako makosa alitenda amuombe Mungu amuepushie mbali asishtakiwe nayo.
Wamechelewa sana tu Kumalizana nae.Itamuongezea kujiamini mama Samia kama kweli atafikishwa kwenye mahakama
Ashitakiwe tu mshenzi yuleAnaweza kushitakiwa
Nitafanya sherehe kabisaWamechelewa sana tu Kumalizana nae.
Afungwe kabisa maana ni mshenzi snAshitakiwe tu mshenzi yule
Sabaya ni Papa na Makonda ni Nyangumi.Anaweza kushitakiwa