MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa Systems za Mataifa yanayojielewa na yasiyotaka Upuuzi Mtu kama huyu hivi sasa angekuwa Anaoza tu Udongoni, ila ya Tanzania ilimlea, ilimdekeza na akaharibu mambo mengi mpaka Kugharimu Utendaji wa Hayati na iliyokuwa Serikali yake.Kama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010778