Huna akili wewe yaani unajifanya unazijua sheria za nchi kuliko wenzako?Huu ndio uhuru na Demokrasia tuitakayo, yaani gazeti linajiandikia tu habari zisizoeleweka...sasa hapo ukisoma habari yenyewe kichekesho...
Kwa mujibu wa mtonyaji wetu....halafu front page kabisa...
Wafungwe wote hao washenziSabaya ni Papa na Makonda ni Nyangumi.
Woote ni majambazi na wakubanwa wanaweza kuwataja watu wengi sana hasa wale wasiyo julikana.Sabaya ni Papa na Makonda ni Nyangumi.
Huyu siyo wa 30 years. Matumizi mabaya ya madaraka ni mlango wa kuingilia. Kosa lake kubwa na kuendesha operesheni za mauaji.Ashitakiwe na yoote ili naye apigwe 30yrs
Hiyo ya mauwaji ndiyo kifungo cha maishaHuyu siyo wa 30 years. Matumizi mabaya ya madaraka ni mlango wa kuingilia. Kosa lake kubwa na kuendesha operesheni za mauaji.
Walikuwa wanataka hela kwa unyang'anyi yeye ndiye alikuwa mkuu wa operation polisi walitekeleza amri ya makonda.Hivi anaweza kumteka rafiki yake kweli?
Afungwe tu jambazi huyoWalikuwa wanataka hela kwa unyang'anyi yeye ndiye alikuwa mkuu wa operation polisi walitekeleza amri ya makonda.
Nawalaumu mno SSIT kwa Kumchelewesha.Nitafanya sherehe kabisa
Siku zake zinahesabiwa tu za kuwa uraianiNawalaumu mno SSIT kwa Kumchelewesha.
Huyu anatakiwa awe anaoza Udongoni.Wafungwe wote hao washenzi
Huna akili wewe yaani unajifanya unazijua sheria za nchi kuliko wenzako?
Amenyima watu wengi haki ya kuishi ni mtu katili sana eti sasa ajifanya mlokoleMakonda siku akifikishwa mahakamani jiji la dar litazizima kwa furaha
Huyu mtu inawezekana kabisa uhalifu alioufanya unazidi wa sabaya! Ni nani alitumia jina la (wasiojulikana) ambae aliteka watu, kukuta maiti kwenye viroba haikuwa ajabu!Ok, ngoja tuone.
Ila Makonda awe makini, hilo kosa linaweza "kutengenezwa" lifanane na lile la Sabaya limpeleke jela na yeye, nikiangalia kwa jicho la tatu naliona litamkalia vibaya sana, na awe makini zaidi kwenye utetezi.
Kwa akili zako ndiyo unaona hazieleweki lkn wenzako wanazielewaKwako wewe ni sawa tu gazeti kuandika utumbo kama huo....habari front page na headline kuubwa huku kilichoandikwa hakieleweki...
Siyo rahisi ni mshirikina balaaHuyu anatakiwa awe anaoza Udongoni.
Huko kwenye kuokoka ndiyo wafanya maovu wengi wanafanya kichaka cha kujifichaAmenyima watu wengi haki ya kuishi ni mtu katili sana eti sasa ajifanya mlokole
Tuzidi kumuomba Mungu ili hiyo siku itimie ili afikishwe mahakamani.Huyu mtu inawezekana kabisa uhalifu alioufanya unazidi wa sabaya! Ni nani alitumia jina la (wasiojulikana) ambae aliteka watu, kukuta maiti kwenye viroba haikuwa ajabu!
Live tulimuona na kundi lake kavamia studio na mitutu, hata asiposhtakiwa ndani ya utawala huu siku zake zinahesabika!
Huyu wa sasa Maisha mapya ya Udongoni yalitakiwa yawe yameshaanza Kwake tokea mwaka 2019 ila kuna Mtu Mmoja ( sasa hayupo ) akawa anamkingia Kifua japo alishaonywa zaidi ya mara 20 kuwa anamharibia, hafai na ni Hatari pia Kwake na kwa Chama Matokeo yake leo anaanza Kuwasumbua.Woote ni majambazi na wakubanwa wanaweza kuwataja watu wengi sana hasa wale wasiyo julikana.