Systems za CCM ni kwa CHADEMA tu, Bashite ni CCM. Ameua na Kutesa watu amewaita wapingaji wa utawala wa babake.Kwa Systems za Mataifa yanayojielewa na yasiyotaka Upuuzi Mtu kama huyu hivi sasa angekuwa Anaoza tu Udongoni, ila ya Tanzania ilimlea, ilimdekeza na akaharibu mambo mengi mpaka Kugharimu Utendaji wa Hayati na iliyokuwa Serikali yake.
Hujaona hapo nimeitaja na Rwanda pia?Ni vipi kwa Mr Slim hakuna hii system.
Wakati hawaivi baada ya Dogo kuwa anamfitinisha kwa Hayati Baba yake wa Hiari? Kaeni kimya hakuna mkijuacho...!!Bibi ushungi mwenyewe anamtegemea sn kwa nguvu za giza
Mkuu tuna taarifa zate ujueWakati hawaivi baada ya Dogo kuwa anamfitinisha kwa Hayati Baba yake wa Hiari? Kaeni kimya hakuna mkijuacho...!!
Mpaka bimkubwa kuususa mjengoWakati hawaivi baada ya Dogo kuwa anamfitinisha kwa Hayati Baba yake wa Hiari? Kaeni kimya hakuna mkijuacho...!!
, chambo eti chambo..... Mbowe Ndio alimtuma Badhite kuuwa? Mbowe Ndio alikuwa anamtuma makonda kuvamia studio mbele ya CCTV? Mbowe Ndio alimtuma makonda kwenda kufanya uhalifu?Chadema msishangilie, hizi zote ni Chambo za kummaliza Mbowe.
Tatizo alikuwa anajivunia sana babake pale jengo kuuTena mno tu mngewaomba msaada wangeshamalizana nae Kitambo sana na leo angekuwa ni Historia ila System yenu ya sasa Ina Ulokole + Uwoga mwingi ndiyo maana Washenzi kama huyu mpaka leo bado tunapishana nao tu Kigamboni Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Shinyanga.
Ashitakiwe na yoote ili naye apigwe 30yrs
Mkuu labda nikuondoe wasiwasi juu ya mh Mbowe.Kwa mtazamo wangu, hii kesi kama kweli itafunguliwa kipindi hiki,, inaweza kutumika kama justification ya kumfunga Mbowe na mwisho wa siku unaweza sikia Makonda hajakutwa na hatia yoyote wakati huo Mbowe tayari yuko jela.
Hivyo, taarifa hii sio ya kufurahia sana, bali tuichukue kwa tahadhari kubwa. Hoja hapa ki kuwa, mkilalamika Mbowe kufungwa, watawajibu mbona hata Makonda kashitakiwa?
Tuwe makini.
Nimekuelewa sana kiongozi wangu.Mahala panapomfaa ni Udongoni tu Ok?
Mapeeeeemaaaa tu watu wapo tayariHalafu tubakie mtaani na Mama Kegan !!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yah!hata mimi naamini hivyoKusaga hawezi kumshtaki Makonda hata siku moja!
Maharamia ya kijani hayashindwiKwa mtazamo wangu, hii kesi kama kweli itafunguliwa kipindi hiki,, inaweza kutumika kama justification ya kumfunga Mbowe na mwisho wa siku unaweza sikia Makonda hajakutwa na hatia yoyote wakati huo Mbowe tayari yuko jela.
Hivyo, taarifa hii sio ya kufurahia sana, bali tuichukue kwa tahadhari kubwa. Hoja hapa ki kuwa, mkilalamika Mbowe kufungwa, watawajibu mbona hata Makonda kashitakiwa?
Tuwe makini.
Hakuna lolote. Yule mama anajua Makonda alikuwa anachongea watu kwa Magufuli. Halafu mzenj awe na kipenzi mbara ?Labda kama kuna maslahi tu.Porojo tu hizi
Huyo ni Kipenzi cha mama hicho