Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Wananyooshwa wazazi wako maana kukuleta mtu kama wewe hapa duniani ndiyo maana tanzania ni masikini.
Wazazi wamefikaje humu tena? Acha washughulikiwe magaidi kina Mbowe na kina DAB
 
I
Hivi pale anapoishi makonda mfanyakazi wa serikali atachukua miaka mingapi kukusanya pesa ya kupanunua na kufanya ukarabati mkubwa kama ule?
Anaishi sehemu gani hapo,kapicha na mtaa wake.eti walisema anaishi Tandale
 
Mwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
Kuna awamu iliharibu nchi km awamu .....? rushwa hazarani, wizi wazi wazi mpaka nyingine inasadikika kubebwa kwenye viroba kutoka bank. km ni watu kumwagiwa tindikali. Tegambwage, mhalili wa gazeti la Mtanzania, Dr ulimboka na nk. sema mna chuki nae.
 
Gazeti lisiloaminika!! Wanataka alimradi kumpanikisha bashit. Wamshtaki kwa kuchafua majina ya watu kuhusu madawa alipe mabilioni afilisikie mbali
Umeelewa maana ya matumizi mabaya ya madaraka?? it is a broad range
 
umeelewa maana ya matumizi mabaya ya madaraka?? it is a broad range
Unaposhitakiwa hayo matumizi mabaya hutaja specifically sio jumlajumla chaajabu nini? Hujui maana ya kuandikiwa mashtaka na kupimwa kama yanashtakika?
Tulia baunsa wenu feki anyolewe!! Rolimodo wenu kimeumana mnahaha-haha kiboya
 
Mfano mzuri ni baba wa taifa letu mwl JK Nyerere alifungwa, mzee Jomo Kenyatta alifungwa, Mandela alifungwa,Mugabe alifungwa na wengi wengi ambao baadae walikuja kuzikomboa nchi zao.

Ili dhahabu ing'ae vema na kuitwa dhahabu ni lazima ipitie kwenye moto mkali.

mwl JK Nyerere alifungwa mwaka gani na gereza lipi?
 
Kama ni kweli itakuwa pigo lingine kwenye mshono kwa mataga.
Acha wapige kwenye mshono

20211104_165647.jpg
 
Back
Top Bottom