Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Tuliza ball sasa.Mvua 30 kaanza kuzipata jambazi mwenzenu Sabaya hivyo siyo ajabu akizipata mwingine maana itakuwa ni zilipendwa tu au marudio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliza ball sasa.Mvua 30 kaanza kuzipata jambazi mwenzenu Sabaya hivyo siyo ajabu akizipata mwingine maana itakuwa ni zilipendwa tu au marudio.
Wewe tuliza kidonda hicho na uendelee kuilinda kaburi vizuriTuliza ball sasa.
Wafanyabiashara wa Madawa ya kulevya hawajawahi kushindwa, hatimaye watafanikiwa kwa namna yoyote ile dhidi ya MakondaKama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010908
===
Linaandaliwa la mwamba baada ya mvua 30Wewe tuliza kidonda hicho na uendelee kuilinda kaburi vizuri
Wazazi wamefikaje humu tena? Acha washughulikiwe magaidi kina Mbowe na kina DABWananyooshwa wazazi wako maana kukuleta mtu kama wewe hapa duniani ndiyo maana tanzania ni masikini.
Anaishi sehemu gani hapo,kapicha na mtaa wake.eti walisema anaishi TandaleHivi pale anapoishi makonda mfanyakazi wa serikali atachukua miaka mingapi kukusanya pesa ya kupanunua na kufanya ukarabati mkubwa kama ule?
Kuna awamu iliharibu nchi km awamu .....? rushwa hazarani, wizi wazi wazi mpaka nyingine inasadikika kubebwa kwenye viroba kutoka bank. km ni watu kumwagiwa tindikali. Tegambwage, mhalili wa gazeti la Mtanzania, Dr ulimboka na nk. sema mna chuki nae.Mwendazake aliharibu nchi katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea.
HeheheheeKama ambavyo kichwa cha habari kinaeleza, ni mwendo wa kutafuta haki zilizocheleweshwa kwa muda mrefu. Sasa Bwanamdogo kumfuata jamaa yake Sabaya.
View attachment 2010908
===
Umeelewa maana ya matumizi mabaya ya madaraka?? it is a broad rangeGazeti lisiloaminika!! Wanataka alimradi kumpanikisha bashit. Wamshtaki kwa kuchafua majina ya watu kuhusu madawa alipe mabilioni afilisikie mbali
Mataga wamechanganyikiwaKama ni kweli itakuwa pigo lingine kwenye mshono kwa mataga.
Unaposhitakiwa hayo matumizi mabaya hutaja specifically sio jumlajumla chaajabu nini? Hujui maana ya kuandikiwa mashtaka na kupimwa kama yanashtakika?umeelewa maana ya matumizi mabaya ya madaraka?? it is a broad range
Pale jiwe linapogeuka kifusiLinaandaliwa la mwamba baada ya mvua 30
Gaidi ni Hamza mwana ccmWazazi wamefikaje humu tena? Acha washughulikiwe magaidi kina Mbowe na kina DAB
Alijipa vyeo vingi kama Idd Amin Dadaa Field marshalNaibu raisi mstaafu
Acha wapige kwenye mshonoKama ni kweli itakuwa pigo lingine kwenye mshono kwa mataga.
Gaidi ni Hamza mwaMbowe gaidi kama kina sabaya tu acha washughulikiwe kabisa